12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

“Niliona kwamba Biblia ilionyesha tu Mwokozi wa namna ninayehitaji: na nilifazaika<br />

kuona namna gani kitabu kisichoongozwa na Mungu kilipashwa kukuza kanuni zilizolingana<br />

kabisa kabisa kwa matakwa <strong>ya</strong> ulimwengu ulioanguka. Nikalazimishwa kukubali kwamba<br />

Maandiko <strong>ya</strong>napashwa kuwa ufunuo kutoka kwa Mungu. Yakawa mapenzi <strong>ya</strong>ngu; na katika<br />

Yesu napata rafiki. Mwokozi akawa kwangu mkuu kuliko miongoni mwa wakuu elfu kumi;<br />

na Maandiko, ambayo mbele <strong>ya</strong>likuwa giza na kinyume, sasa <strong>ya</strong>kawa taa kwa miguu <strong>ya</strong>ngu...<br />

Niliona Bwana Mungu kuwa Mwamba katikati <strong>ya</strong> bahari <strong>ya</strong> maisha. Biblia sasa inakuwa<br />

fundisho langu kuu, na ninaweza kusema kweli, niliitafuta kwa furaha kubwa... Nilishangaa<br />

sababu gani sikuona uzuri wake na utukufu mbele, na nikashangaa namna gani ningaliweza<br />

kuikataa... Nikapoteza onyo yote <strong>ya</strong> kusoma vitabu vingine, nikatumia moyo wangu kwa<br />

kupata hekima kutoka kwa Mungu.”<br />

Miller akaungama wazi wazi imani <strong>ya</strong>ke. Lakini rafiki zake wasiokuwa waaminifu<br />

wakaendele<strong>ya</strong> mbele na mabishano, hayo yote ambayo <strong>ya</strong>lishurutisha mwenyewe kupinga<br />

Maandiko. Akafikiri kwamba kama Biblia ni ufunuo wa Mungu, Kitabu hicho kinapaswa<br />

kujieleza chenyewe. Akakusudia kujifunza Maandiko na kupata kama kila mabishano <strong>ya</strong> wazi<br />

<strong>ya</strong>pate kupatanishwa.<br />

Akaacha maelezo yo yote, akalinganisha maandiko kwa maandiko kwa usaada wa<br />

kumbukumbu <strong>ya</strong> upande na upatanifu (concordance). Kuanzia kwa Mwanzo, kusoma shauri<br />

kwa shauri, alipoona kitu cho chote cha giza ilikuwa desturi <strong>ya</strong>ke kukilinganisha pamoja na<br />

maneno yote <strong>ya</strong>nayoweza kuwa na uhusiano na fundisho lenyewe. Kila neno likaruhusiwa<br />

kuwa na tegemeo lake juu <strong>ya</strong> maneno yenyewe. Kwa hiyo wakati wo wote alipokutana<br />

maneno magumu kwa kufahamu alipata maelezo katika sehemu ingine <strong>ya</strong> Maandiko.<br />

Akajifunza kwa maombi <strong>ya</strong> juhudi kwa ajili <strong>ya</strong> nuru <strong>ya</strong> kiMungu maneno <strong>ya</strong> mwandishi wa<br />

zaburi: “kufunua kwa maneno <strong>ya</strong>ko kunaleta nuru; Kunamupa mujinga ufahamu.” Zaburi<br />

119:130.<br />

Kwa usikizi mwingi akajifunza kitabu cha Danieli na Ufunuo na akaona <strong>ya</strong> kwamba<br />

mifano <strong>ya</strong> unabii inaweza kufahamika. Aliona <strong>ya</strong> kwamba mifano yote mbalimbali, mezali,<br />

vifani, kama ha<strong>ya</strong>kuelezwa kwa maneno <strong>ya</strong>liyotangulia ha<strong>ya</strong>, hupata penginepo maelezo <strong>ya</strong>ke<br />

kwa muunganiko wake mwenyewe ao kuelezwa kwa maandiko mengine na kufahamika kwa<br />

kweli. Kiungo kwa kiungo cha mnyororo wa kweli na kuwa ni shani <strong>ya</strong> bidii <strong>ya</strong>ke. Hatua kwa<br />

hatua akafuatisha mistari <strong>ya</strong> unabii. Malaika wa mbinguni walikuwa wakiongoza akili <strong>ya</strong>ke.<br />

Akatoshelewa kwamba maoni <strong>ya</strong> watu wengi <strong>ya</strong> miaka elfu (millennium) mbele <strong>ya</strong><br />

mwisho wa dunia ha<strong>ya</strong>kukubaliwa na Neno la Mungu. Mafundisho ha<strong>ya</strong>,<strong>ya</strong> kuonyesha miaka<br />

elfu <strong>ya</strong> amani mbele <strong>ya</strong> kuja kwa Bwana, ni kinyume cha mafundisho <strong>ya</strong> Kristo na mitume<br />

wake, waliotangaza kwamba ngano na magugu <strong>ya</strong>napashwa kukuwa pamoja hata wakati wa<br />

mavuno, mwisho wa dunia, na kwamba “watu waba<strong>ya</strong> na wadanganyifu wataendelea na<br />

kuzidi kuwa waovu.” 2 Timoteo 3:13.<br />

Kuja kwa Kristo mwenyewe<br />

127

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!