12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Wakahubiri habari iliyotolewa kwao, ingawa walikosa kufahamu maana <strong>ya</strong>ke. Wakati<br />

matangazo <strong>ya</strong>o msingi wake ulikuwa katika Danieli 9:25, hawakuona katika shairi lililofuata<br />

kwamba Masi<strong>ya</strong> alipashwa “kukatiliwa mbali.” Mioyo <strong>ya</strong>o ilikuwa juu <strong>ya</strong> utukufu wa utawala<br />

wa kidunia; jambo hili likapofusha akili <strong>ya</strong>o.<br />

Kwa wakati kabisa walipotumainia kuona Bwana wao kupanda kwa kiti enzi cha Dawidi,<br />

walimwona akikatwa, kupigwa, kuzihakiwa, na kuhukumiwa juu <strong>ya</strong> msalaba. Kukata tamaa<br />

kwa namna gani na uchungu <strong>ya</strong>liumiza mioyo <strong>ya</strong> wale wanafunzi!<br />

Kristo alikuja kwa wakati halisi uliotabiriwa. Maandiko <strong>ya</strong>litimia katika habari yote. Neno<br />

na Roho wa Mungu ilishuhudia agizo la Mwana wake. Lakini mafikara <strong>ya</strong> wanafunzi<br />

<strong>ya</strong>lifunikwa na mashaka. Kama Yesu alikuwa Masi<strong>ya</strong> wa kweli wangetumbukia katika<br />

sikitiko na uchungu? Hili ndilo swali lililotesa roho zao wakati wa saa za kukata tamaa za<br />

Sabato ile iliyokuwa katikati <strong>ya</strong> kifo chake nakufufuka kwake.<br />

Lakini hawakuachwa. “Nikikaa katika giza, Bwana atakuwa nuru kwangu... Atanileta inje<br />

kwa nuru na nitatazama haki <strong>ya</strong>ke.” “Kwa wenye haki nuru inangaa gizani.” “Nitafan<strong>ya</strong> giza<br />

kuwa nuru mbele <strong>ya</strong>o; na pahali pa kupotoka patanyoshwa. Maneno ha<strong>ya</strong> nitawafanyia, wala<br />

sitawaacha.” Mika 7:8, 9; Zaburi 112:4; Isa<strong>ya</strong> 42:16.<br />

Matangazo <strong>ya</strong>liyofanywa na wanafunzi <strong>ya</strong>likuwa halisi “Wakati umetimia, ufalme wa<br />

Mungu ni karibu.” “Kwa mwisho wa wakati” majuma makumi sita na tisa <strong>ya</strong> Danieli 9<br />

ambayo <strong>ya</strong>lipashwa kufikia kwa Masi<strong>ya</strong>, “Mupakaliwa”--Kristo alipokea mafuta <strong>ya</strong> Roho<br />

baada <strong>ya</strong> ubatizo wake kwa Yoane. “Ufalme wa Mungu” haikuwa, kama walivyofundishwa<br />

kuamini, ufalme wa kidunia. Wala ule ujao, ufalme wa milele ambao “na wote wenye<br />

mamlaka watamutumikia na kumutii.” Danieli 7:27.<br />

Neno hili “Ufalme wa Mungu” linatumiwa kutaja mambo yote mawili ufalme wa neema<br />

na ufalme wa utukufu Mtume anasema: “Basi, tukaribie kiti cha neema pasipo woga,” ili<br />

tupate huruma na kuona neema. Waebrania 4:16. Kuwako kwa kiti cha ufalme kunaonyesha<br />

kuwako kwa ufalme. Kristo anatumia neno la “Ufalme wa mbinguni” kutaja kazi <strong>ya</strong> neema<br />

juu <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong> watu. Kwa hiyo kiti cha utukufu kinaonyesha ufalme wa utukufu. Matayo<br />

25:31, 32. Ufalme huu ukingali wa wakati ujao. Hautasimamishwa hata wakati wa kuja kwa<br />

Kristo mara <strong>ya</strong> pili.<br />

Wakati Mwokozi alipotoa maisha <strong>ya</strong>ke na akalia kwa sauti kubwa, “imekwisha,” ahadi <strong>ya</strong><br />

wokovu iliyo fanywa kwa mme na mke wenye zambi katika Edeni ikatimilika. Ufalme wa<br />

neema, ambao ulikuwako mbele kwa ahadi <strong>ya</strong> Mungu, ukaimarishwa.<br />

Kwa hiyo kifo cha Kristo jambo ambalo wanafunzi walitazamia kama maangamizi <strong>ya</strong><br />

tumaini lao ilikuwa ni milele kwa kweli. Wakati ilileta uchungu mkali, ilikuwa ushahidi<br />

kwamba imani <strong>ya</strong>o ilikuwa halisi. Jambo lililowatumbukiza katika kukata tamaa likafungua<br />

mlango wa tumaini kwa waaminifu wote wa Mungu katika vizazi vyote.<br />

140

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!