12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Calvin hakuweza kubakia wakati mrefu bila kazi. Mara msukosuko ulipotulia akaenda<br />

kutafuta shamba mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kazi huko Poities, mahali makusudi map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> kufaa<br />

kukubaliwa. Watu wa namna zote walisikiliza kwa furaha habari njema. Kwa namna hesabu<br />

<strong>ya</strong> wasikilizaji ilivyokuwa ikiongezeka, wakafikiri kwamba ni vyema kukusanyikia inje <strong>ya</strong><br />

mji. Kwa pango mahali miti na miamba <strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> uficho pakachaguliwa kuwa mahali pa<br />

mkutano. Katika mahali hapa pa uficho Biblia ikasomwa na kufasiriwa. Hapo ibada <strong>ya</strong> meza<br />

<strong>ya</strong> Bwana ikafanyika kwa mara <strong>ya</strong> kwanza kwa Waprotestanti wa Ufransa. Kwa kanisa ndogo<br />

hilo kukatoka wahubiri wengi waaminifu.<br />

Mara ingine tena Calvin akarudi Paris, lakini akakuta karibu kila mlango wa kazi<br />

umefungwa. Yeye mwishowe akakusudia kwenda Ujeremani. Kwa shida aliacha Ufransa<br />

wakati zoruba ilitokea juu <strong>ya</strong> Waprotestanti. Watengenezaji wa Ufransa wakakusudia<br />

kupambana na pigo hodari juu <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> sanamu <strong>ya</strong> Roma ile iliyopashwa<br />

kuamsha taifa lote. Matangazo kwa kushambulia misa katika usiku moja <strong>ya</strong>kawekwa kwa<br />

Ufransa pote. Mahali pa kuendeleza kazi <strong>ya</strong> Matengenezo, tendo hilo la upumbavu likawapa<br />

Warumi sababu <strong>ya</strong> kudai kuangamizwa kwa “wapinga ibada <strong>ya</strong> dini” kama wafitini wa hatari<br />

kwa usitawi wa kiti cha mfalme na amani <strong>ya</strong> taifa.<br />

Mojawapo <strong>ya</strong> matangazo liliwekwa kwa mlango wa chumba cha pekee cha mfalme.<br />

Uhodari wa upekee wa kujiingiza kwa maneno <strong>ya</strong> kushangaza ha<strong>ya</strong> mbele <strong>ya</strong> mfalme na<br />

jambo hilo likaamsha hasira <strong>ya</strong> mfalme. Ghazabu <strong>ya</strong>ke ikapata usemi katika maneno makali:<br />

“Wote wakamatiwe bila tofauti wanaozaniwa kuwa wafuasi wa Luther. Nitawaangamiza<br />

wote.” Mfalme akajiweka kwa upande wa Roma.<br />

Utawala wa Hofu Kuu<br />

Mfuasi maskini wa imani <strong>ya</strong> matengenezo aliyezoea kuita waaminifu kwa mikutano <strong>ya</strong><br />

siri akakamatwa. Kwa kutishwa juu <strong>ya</strong> kifo cha gafula kwa mti wa kuchomwa, akaamuriwa<br />

kuongoza mjumbe wa Papa kwa nyumba <strong>ya</strong> kila mprotestanti katika mji. Hofu <strong>ya</strong> ndimi <strong>ya</strong><br />

moto ikawa nyingi sana, na akakubali kusaliti ndugu zake. Morin, polisi wa mfalme, pamoja<br />

na msaliti, kwa polepole na ukim<strong>ya</strong> akapita katika njia za mji. Walipofika mbele <strong>ya</strong> nyumba<br />

<strong>ya</strong> mtu mmoja wa Luther, msaliti akafan<strong>ya</strong> ishara, lakini bila kusema neno. Mwandamano<br />

ukasimama, wakaingia nyumbani, jamaa likakokotwa na kufungwa minyororo, na mfuatano<br />

wa kutisha ukaendelea katika kutafuta watu wengine wap<strong>ya</strong> wa kutesa. “Morin akatetemesha<br />

mji wote. ... Ulikuwa utawala wa hofu kuu.”<br />

Watu walioteswa wakauawa kwa mateso makali, ikaamriwa kwamba moto upunguzwe ili<br />

kuzidisha mateso <strong>ya</strong>o. Lakini walikufa kama washindaji, musimamo wao usiotikisika, amani<br />

<strong>ya</strong>o kamili. Watesi wao wakajiona wenyewe kwamba walishindwa. “Watu wa Paris wote<br />

wakapata nafasi <strong>ya</strong> kuona aina gani <strong>ya</strong> watu mawazo map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liweza kuleta. Hakuna<br />

mimbara ilikuwako kwa kulinganishwa na mjumba kubwa la wafia dini. Furaha ikaangazia<br />

nyuso kunjufu za watu hawa wakati walipokuwa wakielekea ... pahali pa kuuawa ... na<br />

kuomba kwa usemaji wa kushangaza kwa ajili <strong>ya</strong> injili.”<br />

87

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!