12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

ulishindwa, alitazama kwa Mungu peke <strong>ya</strong>ke. Aliweza kuegemea katika usalama juu <strong>ya</strong> ule<br />

mkono ulio wa guvu zote.<br />

Kwa rafiki Luther akaandika: “Kazi <strong>ya</strong>ko <strong>ya</strong> kwanza ni kuanza na ombi. ... Usitumaini<br />

kitu kwa kazi zako mwenyewe, kwa ufahamu wako mwenyewe: Tumaini tu katika Mungu,<br />

na katika mvuto wa Roho Mtakatifu.” Hapa kuna fundisho la maana kwa wale wanaojisikia<br />

kwamba Mungu amewaita kutoa kwa wengine ibada <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> kweli kwa wakati huu. Katika<br />

vita pamoja na mamlaka <strong>ya</strong> uovu kunakuwa na mahitaji <strong>ya</strong> kitu kingine zaidi kuliko akili na<br />

hekima <strong>ya</strong> kibinadamu.<br />

Luther Alikimbilia Tu kwa Biblia<br />

Wakati adui walikimbilia kwa desturi na desturi <strong>ya</strong> asili, Luther alikutana nao anapokuwa<br />

na Biblia tu, bishano ambayo hawakuweza kujibu. kutoka mahubiri <strong>ya</strong> Luther na maandiko<br />

kulitoka n<strong>ya</strong>li za nuru ambazo ziliamsha na kuangazia maelfu. Neno la Mungu lilikuwa kama<br />

upanga unaokata ngambo mbili, unaokata njia<strong>ya</strong>ke kwa mioyo <strong>ya</strong> watu. Macho <strong>ya</strong> watu, kwa<br />

mda mrefu <strong>ya</strong>liongozwa kwa kawaida za kibinadamu na waombezi wa kidunia, sasa<br />

walimugeukia Kristo katika imani na Yeye aliyesulubishwa.<br />

Usikizi huu ukaamsha woga kwa mamlaka <strong>ya</strong> Papa. Luther akapokea mwito kuonekana<br />

huko Roma. Rafiki zake walijua vizuri hatari ile iliyomngoja katika mji mwovu huo,<br />

uliokwisha kunywa damu <strong>ya</strong> wafia dini wa Yesu. Wakauliza kwamba apokee mashindano<br />

<strong>ya</strong>ke katika Ujeremani.<br />

Jambo hili likatendeka, na mjumbe wa Papa akachaguliwa kusikiliza mambo yenyewe.<br />

Katika maagizo kwa mkubwa huyu, alijulishwa kwamba Luther alikwisha kutangazwa kama<br />

mpingaji wa imani <strong>ya</strong> dini. Mjumbe alikuwa basi ni “kutenda na kulazimisha bila kukawia.”<br />

Mjumbe akapewa uwezo wa “kumufukuza katika kila upande wa Ujeremani; kumfukuzia<br />

mbali, kumlaani, na kutenga wale wote walioambatana naye”, Kuwatenga na cheo cho chote<br />

kikiwa cha kanisa ao cha serkali, ila tu mfalme, hatajali kumkamata Luther na wafuasi wake<br />

na kuwatoa kwa kisasi cha Roma.<br />

Hakuna alama <strong>ya</strong> kanuni <strong>ya</strong> kikristo ao hata haki <strong>ya</strong> kawaida inapaswa kuonekana katika<br />

maandiko ha<strong>ya</strong>. Luther hakuwa na nafasi <strong>ya</strong> kueleza wala kutetea musimamo wake; lakini<br />

alikuwa amekwisha kutangazwa kuwa mpingaji wa imani <strong>ya</strong> dini na kwa siku ile ile<br />

alishauriwa, kushitakiwa, kuhukumiwa, na kulaumiwa. Wakati Luther alihitaji sana shauri la<br />

rafiki wa kweli, Mungu akamtuma Melanchthon kule Wittenberg. Shida <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong><br />

Melanchthon, ikachanganyika na usafi (utakatifu) na unyofu wa tabia, ikashinda sifa <strong>ya</strong> watu<br />

wote. Kwa upesi akawa rafiki mwaminifu sana wa Luther--upole wake, uangalifu, na usahihi<br />

ikawazidisho la bidii na nguvu za Luther.<br />

Augsburg palitajwa kuwa mahali pa hukumu, na Mtengenezaji (Reformateur) akaenda<br />

huko kwa miguu. Vitisho vilifanywa kwamba angeuawa njiani, na rafiki zake wakamuomba<br />

asijihatarishe. Lakini maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>likuwa, “Ninakuwa kama Yeremia, mtu wa ushindano,<br />

51

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!