12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Hakuna mtu anayeweza kutumikia Mungu pasipo kujiweka kwa kosa yeye mwenyewe<br />

kinyume cha ushindani wa majeshi <strong>ya</strong> giza. Malaika waovu watamshambulia, kukilisha hatari<br />

<strong>ya</strong> kuwa mvuto wake unapata mawindo kutoka mikononi mwao. Waovu watatafuta kumtenga<br />

kwa Mungu kwa njia <strong>ya</strong> majaribu <strong>ya</strong> kutamanisha. Wakati ha<strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong>faulu, uwezo hutumiwa<br />

kwa kushurutisha zamiri.<br />

Lakini kwa namna Yesu anavyodumu kuwa Muombezi wa mtu katika pahali patakatufu<br />

juu, mvuto unaozuia wa Roho Mtakatifu huonekana kwa watawala na watu. Wakati watawala<br />

wetu wengi wanapokuwa wajumbe wa nguvu wa Shetani, Mungu vivyo hivyo anakuwa na<br />

wajumbe wake miongoni mwa watu wanaongoja katika taifa. Watu wachache watadumu kwa<br />

kuzuia maendeleo <strong>ya</strong> nguvu <strong>ya</strong> uovu. Ushindaji wa adui wa ukweli utazuiwa ili ujumbe wa<br />

malaika wa tatu uweze kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke. Onyo la mwisho litasimamisha uangalifu wa watu<br />

hawa waongozi, na wengine watalikubali nakusimama pamoja na watu wa Mungu kwa wakati<br />

wa taabu.<br />

Mvua Ya Mwisho Na Kilio Cha Nguvu<br />

Malaika anayeungana na malaika wa tatu ni kwa kuangazia dunia yote na utukufu wake.<br />

Ujumbe wa malaika wa kwanza ulipelekwa kwa makao yote <strong>ya</strong> utumishi ulimwenguni, na<br />

katika inchi zingine kulikuwa na usikizi wa dini kubwa sasa ulioshuhudiwa tangu wakati wa<br />

matengenezo. Lakini hizi zinapashwa kupita kwa onyo la mwisho la malaika wa tatu.<br />

Kazi itakuwa <strong>ya</strong> namna moja na ile <strong>ya</strong> Siku <strong>ya</strong> Pentecote. “Mvua <strong>ya</strong> kwanza” ilitolewa<br />

kwa kufungua wa habari njema kuwezesha kuotesha mbegu <strong>ya</strong> damani; vivyo hivyo “mvua<br />

<strong>ya</strong> mwisho” itatolewa kwa mwisho wake wa kuiv<strong>ya</strong> kwa mavuno. Hosea 6:3; Yoeli 2:23.<br />

Kazi kubwa <strong>ya</strong> habari njema si <strong>ya</strong> kufunga na onyesho ndogo zaidi la uwezo wa Mungu kuliko<br />

kutazama mwanzo wake. Unabii uliotimia katika kumiminiwa kwa mvua <strong>ya</strong> kwanza kwa<br />

kufungua kwa habari njema <strong>ya</strong>napashwa kutimia vile vile katika mvua <strong>ya</strong> mwisho wake. Hapo<br />

ndipo panakuwa “n<strong>ya</strong>kati za ufufuko” ambazo mtume Petro alikuwa akitazamia mbele.<br />

Matendo 3:19, 20.<br />

Watumishi wa Mungu, nyuso zao kungaa na utakaso mtakatifu, wataharikisha toka mahali<br />

mbali mbali kutangaza habari njema kutoka mbinguni. Miujiza itafanyika, wagonjwa<br />

wataponyeshwa. Shetani vivyo hivyo anatumika na maajabu <strong>ya</strong> kudangan<strong>ya</strong>, hata kushusha<br />

moto kutoka mbinguni. Ufunuo 13:13. Kwa hivyo wakaaji wa dunia watashawishiwa<br />

kuchagua upandeunao kuwa wao.<br />

Ujumbe huu utachukuliwa si kwa mabishano sana ni kwa tendo lauhakikisho wa ndani wa<br />

Roho <strong>ya</strong> Mungu. Mabishano <strong>ya</strong>meonyeshwa, vitabu vilitumia mvuto wavyo, lakini wengi<br />

wamezuiwa kwa kufahamu kabisa ukweli. Sasa ukweli umeonekana wazi kabisa. Mahusiano<br />

<strong>ya</strong> ujamaa, mahusiano <strong>ya</strong> kanisa ni zaifu kudumu kuwa waana waaminifu wa Mungu sasa.<br />

Lakini wajumbe waliochanganyika kupinga ukweli, hesabu kubwa huchukua kituo chao kwa<br />

upande wa Bwana.<br />

249

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!