12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kungali Wa<strong>ya</strong>hudi, wajinga ambao hawakujua tabia na kazi <strong>ya</strong> Kristo. Na watoto<br />

hawakufurahia nuru ambayo wazazi wao waliikataa kwa zarau katika mahubiri <strong>ya</strong> mitume,<br />

Mungu aliwezesha nuru kuangaza juu <strong>ya</strong>o. Waliona namna gani unabii ulitimia, si katika<br />

kuzaliwa tu na maisha <strong>ya</strong> Kristo, bali katika kifo chake na ufufuo. Watoto hawakuhukumiwa<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> zambi za wazazi; lakini wakati walipokataa nuru ingine waliopewa, wakawa<br />

washiriki wa zambi za wazazi na wakajaza kipimo cha uovu wao.<br />

Wa<strong>ya</strong>hudi katika ugumu wa mioyo <strong>ya</strong>o wakakataa shauri la mwisho la rehema. Ndipo<br />

Mungu akaondoa ulinzi wake kwao. Taifa likaachwa kwa utawala wa mwongozi lililo<br />

mchagua. Shetani akaamsha tamaa kali sana na mba<strong>ya</strong> kuliko za roho. Watu wakakosa akili<br />

wakatawaliwa na nguvu na hasira <strong>ya</strong> upofu, <strong>ya</strong> shetani katika ukaidi wao. Marafiki na ndugu<br />

wakasalitiana wao kwa wao. Wazazi wakaua watoto wao, na watoto wazazi wao. Watawala<br />

hawakuwa na uwezo wa kujitawala wao wenyewe. Tamaa ikawafan<strong>ya</strong> kuwa wajeuri.<br />

Wa<strong>ya</strong>hudi wakakubali ushuhuda wa uwongo kwa kuhukumu Mwana wa Mungu asiye na<br />

kosa. Sasa mashitaki <strong>ya</strong> uwongo <strong>ya</strong>kafan<strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>o kuwa si <strong>ya</strong> haki. Kuogopa Mungu<br />

hakukuwashitusha tena. Shetani alikuwa akiongoza taifa.<br />

Waongozi wa makundi <strong>ya</strong> upinzani wakaanguka mmoja juu za mwingine na kuwa bila<br />

huruma. Hata utakatifu wa hekalu haukuweza kuzuia ukali wao wa kutisha. Mahali patakatifu<br />

pakanajisiwa na miili <strong>ya</strong> waliouawa. Lakini washawishi wa kazi hii <strong>ya</strong> kishetani walitangaza<br />

kwamba hawakuwa na hofu yo yote kwamba Yerusalema ingeharibiwa! Ulikuwa mji wa<br />

Mungu. Hata wakati majeshi <strong>ya</strong> Waroma walipozunguka hekalu, makundi <strong>ya</strong>lisimama imara<br />

kwa wazo kwamba Aliye juu angejitia kati kwa kushinda kwa maadui wao. Lakini Israeli<br />

alitupia mbali ulinzi wa Mungu, na sasa hakuwa na ulinzi.<br />

Alama za Musiba<br />

Unabii uliyotolewa na Kristo kwa ajili <strong>ya</strong> uharibifu wa Yerusalema <strong>ya</strong>litimia wazi wazi.<br />

Dalili na maajabu <strong>ya</strong>litokea. Kwa muda wa miaka saba mtu aliendelea kupanda na kutelemuka<br />

katika njia za Yerusalema, kutangaza misiba itakayokuja. Kiumbe hiki cha ajabu kilifungwa<br />

gerezani na kuazibiwa, lakini kwa matusi maba<strong>ya</strong> hayo akajibu tu, “Ole, ole kwa<br />

Yerusalema”! Aliuawa katika mitego <strong>ya</strong> maadui aliyotabiri.<br />

“Hakuna Mkristo hata mmoja aliyeangamia katika uharibifu wa Yerusalema. Baada <strong>ya</strong><br />

Waroma chini <strong>ya</strong> uongozi wa Cestius walipozunguka mji, kwa gafula wakaacha mazingiwa<br />

wakati kila kitu kilionekana kuwa cha kufaa kwa shambulio. Mkuu wa Roma akaondoa<br />

majeshi <strong>ya</strong>ke bila sababu ndogo wazi. Alama iliyoahidiwa ilitolewa kwa Wakristo waliokuwa<br />

wakingojea. Luka 21:20,21.<br />

Mambo <strong>ya</strong>kafanyika kwa namna ambayo hata Wa<strong>ya</strong>hudi ama Waroma hawakupinga<br />

kukimbia kwa Wakristo. Katika kushindwa kwa Cestius, Wa<strong>ya</strong>hudi wakafuata, na wakati<br />

majeshi hayo mawili <strong>ya</strong>lipokutana, Wakristo popote katika inchi waliweza kufan<strong>ya</strong> kimbilio<br />

lao bila kusumbuliwa mahali pa salama, kwa mji wa Pella.<br />

8

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!