12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 8. Mbele <strong>ya</strong> Korti<br />

Mfalme mp<strong>ya</strong>, Charles V, akamiliki kwa kiti cha ufalme wa Ujeremani. Mchaguzi wa<br />

Saxony ambaye alisaidia Charles kupanda kwa kiti cha ufalme, akamwomba kutotendea<br />

Luther kitu chochote mpaka wakati atakapo ruhusu kumusikiliza. Kwa hiyo mfalme akawa<br />

katika hali <strong>ya</strong> mashaka na wasiwasi. Watu wa Papa hawangerizishwa na kitu chochote<br />

isipokuwa kifo cha Luther. Mchaguzi akatangaza “Mwalimu Luther anapashwa kutolewa<br />

haki (ruhusa <strong>ya</strong> usalama), ili apate kuonekana mbele <strong>ya</strong> baraza <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong> waamzi wenye<br />

elimu, watawa, na wa haki wasio na upendeleo.”<br />

Makutano wakakusanyika huko Worms. Kwa mara <strong>ya</strong> kwanza watoto wa kifalme wa<br />

Ujeremani walipashwa kukutana na mfalme wao kijana katika mkusanyiko. Wakuu wa kanisa<br />

na wa serkali na mabalozi wa inchi za kigeni wote wakakusanyika kule Worms. Bali jambo<br />

ambalo lililoamusha usikivu mwingi lilikuwa la Mtengenezaji. Charles alimuamuru mchaguzi<br />

kumleta Luther pamoja naye, kumuhakikishia ulinzi na kuahidi mazungumzo huru juu <strong>ya</strong><br />

maswali katika mabishano. Luther akamwandikia mchaguzi: “Ikiwa kama mfalme ananiita,<br />

siwezi kuwa na mashaka huo ni mwito wa Mungu mwenyewe. Kama wakitaka kutumia nguvu<br />

juu <strong>ya</strong>ngu, ... Ninaweka jambo hili mikononi mwa Bwana. ... Kama hataniokoa, maisha <strong>ya</strong>ngu<br />

ni <strong>ya</strong> maana kidogo. ... Unaweza kutazamia lolote kutoka kwangu ... isipokuwa kukimbia na<br />

mimi kukana maneno <strong>ya</strong> kwanza. Kukimbia siwezi, na tena kukana ni zaidi.”<br />

Kwa namna habari ilienea kwamba Luther alipashwa kuonekana mbele <strong>ya</strong> baraza,<br />

msisimuko ukawa pahali pote. Aleander, mjumbe wa Papa, kwa kujulishwa hatari na<br />

akakasirika. Kuchunguza juu <strong>ya</strong> habari ambayo Papa alikwisha kutolea azabu <strong>ya</strong> hukumu<br />

ingekuwa kuzarau mamlaka <strong>ya</strong> askofu. Na tena, zaidi mabishano yenye uwezo <strong>ya</strong> mtu huyu<br />

<strong>ya</strong>naweza kugeuza watoto wa wafalme wengi kutoka kwa Papa. Akamuon<strong>ya</strong> Charles juu <strong>ya</strong><br />

kutoruhusu Luther kufika Worms na akashawishi mfalme kukubali.<br />

Bila kutulia juu <strong>ya</strong> ushindi huu, Aleander akaendelea kuhukumu Luther, kushitaki<br />

Mtengenezaji juu <strong>ya</strong> “fitina, uasi, ukosefu wa heshima, na matukano”. Lakini ukali wake<br />

ukafunua roho ambayo aliyokuwa ndani <strong>ya</strong>ke. “Anasukumwa na fitina na kulipisha kisasi.<br />

Kwa juhudi zaidi tena Aleander akasihi sana mfalme kutimiza amri za Papa.<br />

Aliposumbuliwa sana na maombi <strong>ya</strong> mjumbe Charles akamwomba kuleta kesi <strong>ya</strong>ke kwa<br />

baraza. Kwa wasiwasi mwingi wale waliopendelea Mtengenezaji wakaendelea ku<strong>ya</strong>tarajia<br />

maneno <strong>ya</strong>kasomewa na Aleander. Mchaguzi wa Saxony hakuwa pale, lakini baazi <strong>ya</strong><br />

washauri wake wakaandika <strong>ya</strong>liyosemwa na mjumbe wa Papa.<br />

Luther Anashitakiwa kuwa Mpinga Imani <strong>ya</strong> Dini<br />

Kwa kujifunza na usemaji unaokolea, Aleander akajitahidi mwenyewe kuangusha Luther<br />

kama adui wa kanisa na serekali. “Haki,, makosa <strong>ya</strong> Luther <strong>ya</strong>metosha”, akatangaza kwa<br />

kushuhudia kuchomwa kwa mamia elfu wapinga imani <strong>ya</strong> dini.”<br />

56

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!