12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

watu elfu makumi sita wakaangamizwa. Bahari mara ikarudi, na ikaacha kivuko kikavu; na<br />

kurudi ndani <strong>ya</strong>ke, nakuinuka juu mita makumi tano ao zaidi juu <strong>ya</strong> daraja lake la kawaida.”<br />

Tetemeko la inchi lilifanyika kwa sikukuu, wakati makanisa na nyumba za watawa zilijaa<br />

na watu, wachache sana tu waliokoka.” “Hofu <strong>ya</strong> watu ilikuwa <strong>ya</strong> kupita kiasi kwa kuieleza.<br />

Hakuna mtu aliyelia; hapakuwa na machozi mbele <strong>ya</strong> msiba kama huo. Wakakimbia huko na<br />

huko, wakipayuka payuka na hofu na mshangao, wakipiga nyuso zao na vifua, kulia, `<br />

Mesericordia! Ni mwisho wa dunia?’ Wamama wakasahau watoto wao, na kukimbia njiani<br />

pamoja na sanamu za misalaba. Kwa bahati mba<strong>ya</strong>, wengi wakakimbilia kwa makanisa<br />

kutafuta kimbilio; lakini sacramenti iliwekwa kwa bure; kwa bure viumbe maskini<br />

walikumbatia mazabahu; masanamu, mapadri, na watu wakazikwa katika uharibifu moja<br />

mba<strong>ya</strong> wa wote pamoja.”<br />

Kutiwa giza kwa jua na Mwezi<br />

Miaka makumi mbili na tano baadaye ishara ingine iliotajwa katika unabii ikaonekana -<br />

Kutiwa giza kwa jua na mwezi. Wakati wa kutimilika kwake kulionyeshwa kabisa katika<br />

mazungumzo <strong>ya</strong> Mwokozi na wanafunzi wake juu <strong>ya</strong> mlima wa Mizeituni. “Katika siku zile<br />

nbaada <strong>ya</strong> mateso <strong>ya</strong>le, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa nuru <strong>ya</strong>ke.” Marko 13:24. Siku<br />

1260, ao miaka, zilimalizika katika mwaka 1798, robo <strong>ya</strong> karne mbele, mateso <strong>ya</strong>likuwa<br />

karibu kuisha kabisa. Kufuata mateso ha<strong>ya</strong>, jua likatiwa giza. Kwa tarehe 19 mai 1780, unabii<br />

huu ukatimilika.<br />

Shahidi aliyejionea kwa macho katika Massachusetts akaeleza jambo hili kama ifuatavyo:<br />

“Wingu nzito sana likatawanyika juu <strong>ya</strong> mbingu nzima isipokuwa ukingo mwembamba juu<br />

<strong>ya</strong> upeo wa macho, na ilikuwa giza kama inavyokuwa kwa kawaida saa tisa kwa majira <strong>ya</strong><br />

baridi jioni... “Woga, mashaka, na hofu polepole vikajaa mioyoni mwa watu. Wanawake<br />

wakasimama mlangoni, kutazama juu <strong>ya</strong> kipande cha inchi <strong>ya</strong> giza; watu wakarudi kutoka<br />

kazini mwao katika mashamba; sermala akaacha vyombo v<strong>ya</strong>ke, mhunzi kuacha kiwanda<br />

chake, mchuuzi kuacha meza <strong>ya</strong>ke. Vyuo vikafungwa, na kwa kutetemeka watoto<br />

wakakimbilia kwao. Wasafiri wakaenda kutafuta kimbilio karibu sana <strong>ya</strong> nyumba <strong>ya</strong><br />

mashamba. “Ni kitu gani kita kuja?” Swali hili lilikuwa katika midomo yote na ndani <strong>ya</strong><br />

moyo. Ilionekana kwamba zoruba kali ilitaka kupita inchini, ao siku <strong>ya</strong> maangamizi <strong>ya</strong> vitu<br />

vyote.<br />

“Mishumaa ikatumiwa, mioto <strong>ya</strong> nyumbani ikaangaza kwa mwangaza mwingi kama usiku<br />

wa wakati wa baridi, bila mwezi... Kuku wakatoka na kwenda kwa vituo v<strong>ya</strong>o na kwenda<br />

kulala, mifugo ikakusanyika kwa fito za malisho na kulala, vyura vikalia, ndege wakaimba<br />

nyimbo zao za jioni, na popo wakaruka. Lakini watu walijua kwamba usiku ulikuwa haujafika<br />

bado...<br />

121

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!