12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Maelfu <strong>ya</strong> Wachungaji (Pasteurs) Walifukuzwa<br />

Katika karne <strong>ya</strong> kumi na saba maelfu <strong>ya</strong> wachungaji walifukuzwa na watu wakakatazwa<br />

kuhuzuria mikutano yo yote <strong>ya</strong> dini isiyokuwa ile iliyoruhusiwa na kanisa. Ndani <strong>ya</strong> kimbilio<br />

la vilindi mwituni, wale watoto wa Bwana walioteswa walikusanyika kwa kumimina roho zao<br />

katika maombi (sala) na kusifu. Wengi waliteseka kwa ajili <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong>o. Gereza zilijaa,<br />

jamaa zikatengana. Lakini mateso ha<strong>ya</strong>kun<strong>ya</strong>mazisha ushuhuda wao. Wengi walilazimishwa<br />

kuvuka bahari kwenda Amerika na hapo ndipo paliwekwa msingi wa utaalamu na uhuru wa<br />

dini.<br />

Ndani <strong>ya</strong> gereza kulijaa na watu waliofan<strong>ya</strong> makosa makubwa, John Bun<strong>ya</strong>n, akapumua<br />

hewa <strong>ya</strong> mbinguni na akaandika mizali <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> ajabu <strong>ya</strong> safari <strong>ya</strong> msafiri kutoka kwa inchi<br />

<strong>ya</strong> uharibifu kwenda kwa mji wa mbinguni. Pilgrim’s Progress na Grace Abounding to the<br />

Chief of Sinners vimeongoza n<strong>ya</strong>yo nyingi kwa njia <strong>ya</strong> uzima.<br />

Katika siku <strong>ya</strong> giza <strong>ya</strong> kiroho Whitefield na Wesleys wakatokelea kama wachukuzi wa<br />

nuru kwa ajili <strong>ya</strong> Mungu. Chini kanisa lililoanzishwa watu wakarudia zambini ambayo ni<br />

vigumu kutofautisha kwa ushenzi. Watu wa vyeo v<strong>ya</strong> juu wakacheka uchaji wa Mungu; watu<br />

wa vyeo v<strong>ya</strong> chini wakazamishwa kwa maovu. Kanisa halikuwa na uhodari ao imani kwa<br />

kusaidia maanguko <strong>ya</strong> neno la kweli.<br />

Kuhesabiwa Haki kwa Imani<br />

Mafundisho makubwa <strong>ya</strong> kuhesabiwa haki kwa imani, <strong>ya</strong>liyofundishwa wazi wazi na<br />

Luther, <strong>ya</strong>likuwa karibu kusahauliwa kabisa; kanuni <strong>ya</strong> kanisa la Roma <strong>ya</strong> kutumaini matendo<br />

mema kwa ajili <strong>ya</strong> wokovu <strong>ya</strong>kakamata nafasi <strong>ya</strong>ke. Whitefield na Wesleys wawili walikuwa<br />

watafuti wa kweli kwa ajili <strong>ya</strong> wema wa Mungu. Hii walifundishwa kuwekwa salama kwa<br />

njia <strong>ya</strong> wema na kushika maagizo <strong>ya</strong> dini.<br />

Wakati Charles Wesley kwa wakati moja alipopata ugonjwa na akatumaini kwamba kifo<br />

kilikuwa karibu, akaulizwa, msingi wa tumaini lake la uzima wa milele ulikuwa juu <strong>ya</strong> kitiu<br />

gani. Jibu lake: “Nimetumia juhudi <strong>ya</strong>ngu bora kumtumikia Mungu.” Rafiki ilionekana<br />

hakutoshelewa kabisa kwa jibu hili. Wesley akafikiri: “Nini! ... Anatamani kunin<strong>ya</strong>ngan<strong>ya</strong><br />

juhudi <strong>ya</strong>ngu? Sina kitu kingine cha kutumainia.” Hiyo ndiyo ilikuwa giza ambayo iliyoimara<br />

kwa kanisa, kugeuza watu kutoka kwa tumaini lao pekee la wokovu--damu <strong>ya</strong> Mkombozi<br />

aliyesulubiwa.<br />

Wesley na washiriki wake wakaongozwa kufahamu kwamba sheria <strong>ya</strong> Mungu inafikishwa<br />

mawazoni pia kwa maneno na matendo. Kwa juhudi za kazi na maombi wakafan<strong>ya</strong> bidii <strong>ya</strong><br />

kushinda maovu <strong>ya</strong> moyo wa asili. Wakaishi maisha <strong>ya</strong> kujinyima na kujishusha,<br />

wakachunguza kwa uaminifu kila mpango waliochukua ambao ungeweza kuwa wa kusaidia<br />

kwa kupata utakatifu ule ambao uliweza kutunza wema wa Mungu. Lakini juhudi zao<br />

wenyewe hazikuweza kuwapa uhuru kutoka kwa hukumu <strong>ya</strong> zambi ao kuvunja uwezo wake.<br />

100

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!