12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

“Nawaagiza mbele <strong>ya</strong> Mungu na malaika wake wenye kubarikiwa kwamba munifuate si<br />

mbali kama nilivyomfuata Kristo. Kama Mungu angepashwa kufunua kitu cho chote kwenu<br />

kwa chombo kingine chake, muwe ta<strong>ya</strong>ri kukikubali kwa furaha mliyokuwa nayo kukubali<br />

ukweli wa kazi <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong> kuhubiri; kwa maana ninakuwa na tumaini kwamba Bwana anakuwa<br />

na ukweli zaidi na nuru kuangazia <strong>ya</strong> neno lake takatifu.”<br />

“Kwa upande wangu mimi, siwezi kusikitikia <strong>ya</strong> kutosha hali <strong>ya</strong> makanisa <strong>ya</strong><br />

matengenezo, ambayo ...haitaenda sasa mbali zaidi kuliko wasimamizi wao wa matengenezo.<br />

Haiwezekani kuvuta watu wa dini <strong>ya</strong> Luther kufan<strong>ya</strong> hatua moja zaidi mbali kuliko Luther<br />

alivyoona; ... na watu wa imani <strong>ya</strong> Calvin, munawaona wanabakia pale ambapo mutu mkuu<br />

wa Mungu aliwaacha, ambaye hata hivyo hakuona mambo yote. ... Ijapo walikuwa taa za<br />

kuwaka na kuangaza katika wakati wao, lakini hawakujua shauri lote la Mungu, lakini kama<br />

wangaliishi leo, wangekubali nuru mp<strong>ya</strong> zaidi kama ile waliyokubali mara <strong>ya</strong> kwanza.”<br />

“Kumbukeni ahadi yenu na agano pamoja na Mungu na pamoja na mtu kwa mwenzake,<br />

kukubali nuru yo yote na ukweli utakaojulishwa kwenu kutoka kwa neno lake lililoandikwa;<br />

lakini zaidi, mjihazari, nawasihi, kuhusu mnayokubali kwa ajili <strong>ya</strong> kweli, na kuilinganisha na<br />

kupima uzito wake kwa maandiko mengine <strong>ya</strong> ukweli mbele <strong>ya</strong> kuikubali; kwani haiwezekani<br />

kwa dunia la Kikristo ambayo ilitoka giza nzito kwa kuchelewa ifikie maarifa kamili mara<br />

moja.”<br />

Haja <strong>ya</strong> uhuru wa zamiri ikaongoza Wasafiri kuvuka bahari, kuvumukia magumu <strong>ya</strong><br />

jangwani, na kuweka msingi wa taifa kubwa. Lakini Wasafiri hawakufahamu bado kanuni <strong>ya</strong><br />

uhuru wa dini. Uhuru ambao walijitolea kafara sana kwa ajili <strong>ya</strong>o wenyewe, hawakuwa ta<strong>ya</strong>ri<br />

kuutolea wengine. Mafundisho ambayo Mungu alitolea Kanisa haki <strong>ya</strong> kuongoza zamiri na<br />

kuleza wazi na kuazibu uzushi ni mojawapo <strong>ya</strong> makosa makubwa <strong>ya</strong> Kanisa la Roma.<br />

Watengenezaji hawakuwa na uhuru kabisa kwa roho <strong>ya</strong> Roma <strong>ya</strong> kutovumilia. Giza kubwa<br />

sana ambayo Roma ilifunika Kanisa la Kikristo haikuondolewa kabisa.<br />

Kanisa la serkali lilitengenezwa na wagandamizi, waamuzi walioruhusiwa kukomesha<br />

uzushi. Kwa hiyo uwezo wa serkali ulikuwa mikononi mwa Kanisa. Mipango hii haikuleta<br />

matokeo mengine isipokuwa mateso.<br />

Roger Williams<br />

Kama vile Wasafiri wa kwanza, Roger Williams akaja kwa Dunia Mp<strong>ya</strong> kufurahia uhuru<br />

wa dini. Lakini aliufahamu kwa namna ingine si kama Wasafiri, akaona mambo ambayo watu<br />

wachache tu waliona, kwamba uhuru huu ulipashwa kuwa haki kwa watu wote. Alikuwa<br />

mtafuti (atafutaye) wa bidii wa kweli. Williams alikuwa mtu wa kwanza katika Ukristo wa<br />

kisasa kwa kuanzisha serkali inayosimamia kwa mafundisho <strong>ya</strong> uhuru wa zamiri.” “Watu ao<br />

waamuzi wanaweza kukata shauri,” akasema, “ni nini inastahili kati <strong>ya</strong> mtu na mtu; lakini<br />

wanapojaribu kufafanua wajibu wa mtu kwa Mungu, hapa wanaachana na Mungu, na hapo<br />

hapawezi kuwa na salama; kwani ni wazi kwamba kama mwamuzi anakuwa na uwezo,<br />

116

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!