12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

la Wakristo. Mpango wa kwanza wa kulazimisha watu wote kushika Siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma<br />

ilikuwa sheria iliyotolewa na Constantine. Ingawa ilikuwa kweli sheria <strong>ya</strong> kipagani, ilikazwa<br />

na mfalme akiisha kukubali dini <strong>ya</strong> Kikristo.<br />

Eusebius, kama askofu aliyetafuta upendeleo wa watawala, na aliyekuwa rafiki wa<br />

kipekee wa Constantine, akaendesha matangazo <strong>ya</strong> kwamba Kristo alihamisha Sabato na<br />

kuiweka kwa siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche). Hakuna ushuhuda wa Maandiko uliotolewa kuwa<br />

uhakikisho. Eusebius yeye mwenyewe, bila kuwa na hakikisho akatangaza uwongo wake.<br />

“Vitu vyote,” anasema, “Kila kitu kilichokuwa kazi <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> kwa Sabato, hivi<br />

tumevihamisha kwa siku <strong>ya</strong> Bwana”. 2<br />

Kwa namna Kanisa la Roma lilipoimarishwa, kutukuzwa kwa Siku <strong>ya</strong> Kwanza<br />

kukaendelea. Kwa wakati mfupi siku <strong>ya</strong> saba iliendelea kushikwa kama Sabato, lakini<br />

baadaye badiliko likafanyika. Baadaye Papa akatoa maagizo <strong>ya</strong> kwamba padri wa wila<strong>ya</strong><br />

alipaswa kukaripia wanaoharibu siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche) wasilete msiba mkubwa juu <strong>ya</strong>o<br />

wenyewe na kwa jirani.<br />

Amri za baraza zilizo hakikisha upungufu, wakubwa wa serkali wakaombwa sana kutoa<br />

amri ambayo ingeogopesha mioyo <strong>ya</strong> watu na kuwalazimisha kuacha kazi kwa siku <strong>ya</strong><br />

kwanza (dimanche). Kwa mkutano wa wakubwa wa kanisa uliofanywa Roma, mipango yote<br />

<strong>ya</strong> mbele ikahakikishwa tena na kuingizwa katika sheria <strong>ya</strong> kanisa na kukazwa na wakubwa<br />

wa serikali1]<br />

Lakini ukosefu wa mamlaka <strong>ya</strong> maandiko kwa ajili <strong>ya</strong> kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche)<br />

ukaleta mashaka. Watu wakauliza haki <strong>ya</strong> waalimu wao kwa ajili <strong>ya</strong> kutia pembeni tangazo<br />

hili, “Siku <strong>ya</strong> saba ni Sabato kwa Bwana Mungu wako,” ili kuheshimu siku <strong>ya</strong> jua. Kwa<br />

kusaidia ukosefu wa ushuhuda wa Biblia, mashauri mengine <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> lazima.<br />

Musimamizi wa nguvu wa siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche), ambaye karibu mwisho wa karne<br />

<strong>ya</strong> kumi na mbili alizuru makanisa <strong>ya</strong> Uingereza, akapingwa na washuhuda waaminifu kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> kweli; na kwa hivi nguvu <strong>ya</strong>ke ilikuwa <strong>ya</strong> bure hata akatoka kwa inchi wakati moja.<br />

Wakati aliporudi, akaleta mkunjo waonyesho ambayo alidai kutoka kwa Mungu mwenyewe,<br />

iliyokuwa na agizo la kulazimisha watu kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche), pamoja na<br />

matisho <strong>ya</strong> ajabu kuogopesha wasiotii. Maandiko ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> damani <strong>ya</strong>lisemwa wala kutajwa<br />

kuwa <strong>ya</strong> kuanguka kutoka mbinguni na kupatikana pale Yerusalema juu <strong>ya</strong> mazabahu <strong>ya</strong><br />

Simeona Mtakatifu, katika Golgotha. Lakini, kwa kweli <strong>ya</strong>liandikwa katika jumba kubwa la<br />

askofu kule Roma. Madanganyo na maandiko <strong>ya</strong> uwongo <strong>ya</strong>likuwa katika miaka yote<br />

<strong>ya</strong>kihesabiwa <strong>ya</strong> kweli kwa watawala wa kanisa la Roma. (Tazama kwa Mwisho wa Kitabu<br />

(Nyongezo), hati kwa ukarasa 37.)<br />

Lakini ijapo walifan<strong>ya</strong> nguvu kwa kuanzisha utakatifu wa Siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche)<br />

wakuu wa kanisa la Roma wao wenyewe kwa wazi wakatubu kwamba sabato inatoka kwa<br />

mamlaka <strong>ya</strong> Mungu. Katika karne <strong>ya</strong> kumi na sita baraza la Papa ikatangaza: “Acha Wakristo<br />

233

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!