12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 22. Unabii Unatimilika<br />

Wakati ulipopita ambapo kuja kwa Bwana kulipotazamiwa kwanza--wakati wa masika <strong>ya</strong><br />

mwaka 1844--wale waliotazamia kuonekana kwake walikuwa katika mashaka na kutokuwa<br />

na hakika. Wengi wakaendelea kuchunguza katika Maandiko, kwa kupima tena ushuhuda wa<br />

imani <strong>ya</strong>o. Maneno <strong>ya</strong> unabii, <strong>ya</strong> wazi na <strong>ya</strong> nguvu, <strong>ya</strong>lionyesha kuja kwa Kristo kuwa karibu.<br />

Kugeuka kwa waovu na uamsho wa kiroho miongoni mwa Wakristo kulishuhudia kwamba<br />

ujumbe ulikuwa wa mbinguni.<br />

Walihangaishwa na mambo <strong>ya</strong> unabii, ambayo walizania kama, kulingana na wakati wa<br />

kuja kwa mara <strong>ya</strong> pili, ilikuwa fundisho la kuwatia moyo kwa kungoja na uvumilivu katika<br />

imani,ili mambo <strong>ya</strong>liokuwa giza kwa akili <strong>ya</strong>o sasa ifunuliwe. Miongoni mwa mambo ha<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong> unabii ilikuwa Habakuki 2:1-4. Hakuna mtu, hata, aliyefahamu kwamba kukawia kwa<br />

wazi--wakati wa kungojea--unakuwa katika unabii. Baada <strong>ya</strong> uchungu, andiko hili<br />

likaonekana kuwa la maana sana: “Maono ha<strong>ya</strong> ni kwa wakati ulioamuriwa, lakini kwa<br />

mwisho <strong>ya</strong>tasema, wala ha<strong>ya</strong>tasema uwongo; hata <strong>ya</strong>kikawia, u<strong>ya</strong>ngoje; kwa sababu <strong>ya</strong>takuja<br />

kweli, ha<strong>ya</strong>tachelewa. . . Mwenye haki ataishi kwa imani <strong>ya</strong>ke.”<br />

Unabii wa Ezekieli pia ulikuwa faraja kwa waaminifu: “Bwana Mungu anasema hivi...<br />

Siku ni karibu, na kutimia kwa kila maono ... Nitasema, na neno nitakalolisema litatimizwa;<br />

wala halitakawishwa tena.” “Neno nitakalolisema litatimia.” Ezekieli 12:2325,28. Wale<br />

waliokuwa wakingoja wakafurahi. Yeye anayejua mwisho tangu mwanzo aliwapa tumaini.<br />

Kama mafungu kama ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Maandiko ha<strong>ya</strong>ngekuwako, imani <strong>ya</strong>o ingalianguka.<br />

Mfano wa mabikira kumi wa Matayo 25 pia unaonyesha mambo <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong><br />

Waadventiste. Hapo paonyeshwa hali <strong>ya</strong> kanisa wakati wa siku za mwisho. Mambo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong><br />

maisha <strong>ya</strong>mefananishwa na tendo la ndoa <strong>ya</strong> mashariki:<br />

“Halafu ufalme wa mbinguni utafananishwa na mabikira kumi waliotwaa taa zao,<br />

wakatoka kwenda kukutana na bwana arusi. Watano wao walikuwa wapumbafu na watano<br />

wenye akili. Wale walio kuwa wapumbafu, walichukua taa zao, bila mafuta; lakini wenye<br />

akili walicukua mafuta ndani <strong>ya</strong> vyombo v<strong>ya</strong>o pamoja na taa zao. Basi wakati bwana arusi<br />

alipokawia, wao wote wakasinzia na kulala usingizi. Lakini saa sita <strong>ya</strong> usiku kulikuwa kelele:<br />

Tazama, bwana arusi! tokeni kukutana naye.” Matayo 25:1-6.<br />

Kuja kwa Kristo kama kulivyotangazwa na ujumbe wa malaika wa kwanza, kulifahamika<br />

kuwa mfano wa kuja kwa bwana arusi. Kuenea kwa matengenezo chini <strong>ya</strong> kutangaza kwa<br />

kuja kwa karibu kwa Kristo kukajibu kwa mfano wa mabikira. Katika mfano huu, wote<br />

walichukua taa zao, Biblia, “na wakaenda kukutana na bwana harusi.” Lakini wakati<br />

wapumbafu “hawakuchukua mafuta pamoja nao,” “wenye akili walichukua mafuta ndani <strong>ya</strong><br />

vyombo v<strong>ya</strong>o pamoja na taa zao.” Wa nyuma wakajifunza Maandiko ili kuchunguza ukweli<br />

na wakawa na akili <strong>ya</strong> kipekee, imani kwa Mungu ambayo haingeangushwa na kukata tamaa<br />

na kukawia. Wengine wakaendeshwa na musukumo, hofu <strong>ya</strong>o ikaamshwa na ujumbe. Lakini<br />

159

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!