12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

“Hawakuomba kitu kwa inchi bali zawadi za kweli za kazi <strong>ya</strong>o... Waliishi kwa uvumilivu<br />

wa taabu <strong>ya</strong> jangwani, wakanyunyizia maji <strong>ya</strong> mti wa uhuru kwa machozi <strong>ya</strong>o, na jasho <strong>ya</strong><br />

vipaji v<strong>ya</strong> nyuso zao, hata ukatia mizizi <strong>ya</strong>ke chini sana katika inchi.”<br />

Ulinzi wa kweli Kabisa wa Ukuu wa Taifa<br />

Kanuni za Biblia zilikuwa zikifundishwa katika jamaa, chuoni, na kanisani; matunda <strong>ya</strong>ke<br />

<strong>ya</strong>lionekana katika uangallifu wa kutumia feza, akili, usafi, na kiasi. Mtu mmoja angeweza<br />

kwa muda wa miaka “bila kuona mlevi, ao kusikia kiapo, wala kukutana na muombaji.”<br />

Kanuni za Biblia ndizo kingo ao walinzi wa kweli kabisa wa ukuu wa taifa. Inchi zaifu<br />

zilizokuwa chini <strong>ya</strong> utawala wa inchi ingine (colony) zilifanikiwa na kuwa majimbo yenye<br />

uwezo, na dunia ikaona usitawi wa “kanisa bila Papa, na serkali bila mfalme.”<br />

Lakini hesabu iliongezeka <strong>ya</strong> watu waliovutwa na Amerika kwa makusudi tofauti na<br />

Wasafiri wa kwanza. Hesabu iliyoongezeka ni <strong>ya</strong> wale waliotafuta tu faida <strong>ya</strong> kidunia.<br />

Mabwana wa kwanza wakaruhusu washiriki wa kanisa tu kwa kuchagua ao kuongoza kazi<br />

katika Serkali.<br />

Mpango huu ulikubaliwa kwa kulinda usafi wa Serkali; ukaleta matokeo <strong>ya</strong> uharibifu wa<br />

kanisa. Wengi wakajiunga na kanisa bila badiliko la moyo. Hata katika kazi <strong>ya</strong> injili kulikuwa<br />

wale waliokuwa wajinga wa uwezo mp<strong>ya</strong> wa Roho Mtakatifu. Tangu siku za Constantine hata<br />

wakati huu, kujaribu kujenga kanisa kwa usaada wa serkali, ambapo inaweza kuonekana<br />

kuleta ulimwengu karibu <strong>ya</strong> kanisa, kwa kweli huleta kanisa karibu <strong>ya</strong> ulimwengu.<br />

Makanisa <strong>ya</strong> Protestanti <strong>ya</strong> Amerika, na <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong> Ula<strong>ya</strong> pia, <strong>ya</strong>kashindwa kuendelea mbele<br />

katika njia <strong>ya</strong> matengenezo. Wengi, kama Wa<strong>ya</strong>hudi wa siku za Kristo ao wakatoliki katika<br />

wakati wa Luther, walirizika kuamini kama mababa zao walivyoamini. Makosa na ibada <strong>ya</strong><br />

sanamu vilishikwa. Matengenezo polepole <strong>ya</strong>kafa, hata kukawa haja kubwa sana <strong>ya</strong><br />

matengenezo katika makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> hata katika kanisa la kiRoma wakati wa<br />

Luther. Hapo kulikuwa heshima <strong>ya</strong> namna moja kwa maoni <strong>ya</strong> watu na kutia mafikara <strong>ya</strong><br />

binadamu kwa nafsi <strong>ya</strong> Neno la Mungu. Watu wakaacha kutafuta Maandiko na kwa hiyo<br />

wakaendelea kutunza mafundisho ambayo haikuwa na msingi katika Biblia.<br />

Kiburi na upotovu (ujinga) <strong>ya</strong>kalindwa chini <strong>ya</strong> umbo la dini, na makanisa <strong>ya</strong>kaharibika.<br />

Mambo <strong>ya</strong> asili ambayo <strong>ya</strong>lipaswa kuharibu mamilioni <strong>ya</strong> watu <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong>kipata mizizi <strong>ya</strong><br />

nguvu. Kanisa lilikuwa likishika mambo <strong>ya</strong> asili ha<strong>ya</strong> baadala <strong>ya</strong> kushindana kwa ajili <strong>ya</strong><br />

“imani ambayo iliyotolewa kwa watakatifu.”<br />

Ndiyo namna kanuni ziliunguzwa heshima (aibishwa) ambazo Watengenezaji<br />

walizotesekea sana.<br />

118

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!