12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kwa hali <strong>ya</strong> mapatano <strong>ya</strong> adabu <strong>ya</strong> hivi hivi tu <strong>ya</strong> mda, na kwamba watu wawili wanaweza<br />

kuunga na kuvunja kwa mapenzi. ... Sophie Arnoult, mtendaji wa kike wa sifa kwa mambo<br />

<strong>ya</strong> kuchekesha akasema, akaeleza kuwa ndoa <strong>ya</strong> serkali ni kama `sakramenti ao siri <strong>ya</strong><br />

uzinzi.’”<br />

Uadui Juu <strong>ya</strong> Kristo<br />

“Mahali pia Bwana wetu alisulibiwa.” Jambo hili vile vile lilitimilika kwa Ufransa.<br />

Hakuna inchi ambayo ukweli ulikutana na upinzani wa ukaidi kama Ufransa. Katika mateso<br />

iliyozuriwa kwa washahidi wa injili, Ufransa ulisulibisha Kristo katika mwili wa wanafunzi<br />

wake.<br />

Karne kwa karne damu <strong>ya</strong> watakatifu ilikuwa ikimwangika. Huku Wawaldense (Vaudois)<br />

walitoa maisha <strong>ya</strong>o kwa milima <strong>ya</strong> Piedmont (kwa ajili <strong>ya</strong> ushuhuda wa Yesu Kristo,”<br />

ushuhuda wa namna ile ile uliochukuliwa na Albigeois wa Ufransa. Wanafunzi wa<br />

Matengenezo waliouawa kwa mateso <strong>ya</strong> ajabu. Mfalme na wakuu, wanawake wa kizazi cha<br />

juu na wabinti wazuri walishibisha macho kwa maumivu makuu <strong>ya</strong> wafia dini wa Yesu.<br />

Wahuguenots washujaa walimwaga damu <strong>ya</strong>o pahali pa mapigano makali, kuwindwa kama<br />

wan<strong>ya</strong>ma wa mwitu.<br />

Wazao wachache wa Wakristo wa zamani waliobaki kwa karne <strong>ya</strong> kumi na nane<br />

wakajificha katika milima <strong>ya</strong> Kusini, wakalinda imani <strong>ya</strong> mababa zao. Wakatembea kwa<br />

shida kwa maisha marefu <strong>ya</strong> utumwa ndani <strong>ya</strong> mashua <strong>ya</strong> vita (galères). Watu wa malezi safi<br />

sana na wenye akili wa Ufransa waliishi katika minyororo, katika mateso maba<strong>ya</strong> sana, kati<br />

<strong>ya</strong> wan<strong>ya</strong>nganyi na wauaji. Wengine wakapigwa risasi na kuanguka katika damu <strong>ya</strong> baridi<br />

wanapoanguka kwa magoti <strong>ya</strong>o katika sala. Inchi <strong>ya</strong>o, ikateketezwa kwa upanga, shoka, na<br />

kwa moto, “ikageuka kuwa jangwa kubwa, la giza.” “Mambo ha<strong>ya</strong> maba<strong>ya</strong> sana <strong>ya</strong>kaendelea<br />

... katika n<strong>ya</strong>kati zisizokuwa za giza bali katika wakati wa nuru wa Louis XIV. Elimu<br />

iliongezeka, vitabu ao maarifa <strong>ya</strong>kaendelea vizuri, walimu wa elimu <strong>ya</strong> tabia na sifa za Mungu<br />

wa baraza <strong>ya</strong> hukumu na wa mji mkuu walikuwa wenye maarifa (savants) na wasemaji,<br />

wakavutwa na neema <strong>ya</strong> upole na upendo.”<br />

Uovu Mba<strong>ya</strong> Sana Kupita Mengine<br />

Lakini uovu mba<strong>ya</strong> zaidi miongoni mwa matendo maovu <strong>ya</strong> karne za kutisha ilikuwa<br />

machinjo ao mauaji matakatiifu <strong>ya</strong> SaintBartheiemy. Chini <strong>ya</strong> mkazo wa mapadri na<br />

maaskofu, mfalme wa Ufransa akatoa ukubali wake. Kengele kulia katika ukim<strong>ya</strong> wa usiku,<br />

ikatoa ishara <strong>ya</strong> mauaji. Maelfu <strong>ya</strong> Waprotestanti, walipokuwa wakilala nyumbani mwao,<br />

wakitumaini neno la heshima la mfalme wao, wakakokotwa na kuuawa.<br />

Machinjo <strong>ya</strong>kaendelea kwa siku saba katika Paris. Kwa agizo la mfalme mauaji <strong>ya</strong>kaenea<br />

kwa miji yote mahali Waprotestanti walikuwako. Wakuu na wakulima, wazee na vijana,<br />

wamama na watoto, wakachinjwa pamoja. Katika Ufransa po pote kulikuwa nafsi 70.000 za<br />

ua la taifa wakauawa.<br />

107

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!