12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Hatua kwa hatua Matengenezo <strong>ya</strong>kaendelea katika Zurich. Katika mushtuko adui zake<br />

wakaamka kwa kushindana kwa bidii. Mashambulio mingi <strong>ya</strong>kafanywa juu <strong>ya</strong> Zwingli.<br />

Mwalimu wa wapinga imani <strong>ya</strong> dini anapashwa kun<strong>ya</strong>mazishwa. Askofu wa Constance<br />

akatuma wajumbe watatu kwa Baraza la Zurich, kumshitaki Zwingli juu <strong>ya</strong> kuhatarisha amani<br />

na utaratibu wa jamii. Kama mamlaka <strong>ya</strong> kanisa ikiwekwa pembeni, akasema, machafuko<br />

kote ulimwenguni <strong>ya</strong>tatokea.<br />

Baraza likakataa kukamata mpango juu <strong>ya</strong> Zwingli, na Roma ikajita<strong>ya</strong>risha kwa<br />

shambulio jip<strong>ya</strong>. Mtengenezaji akapaliza sauti: “Muache waje”; Ninawaogopa kama vile<br />

mangenge <strong>ya</strong>nayo tokajuu <strong>ya</strong>kimbiavyo mavimbi <strong>ya</strong>nayo mgurumo kwa miguu <strong>ya</strong>ke.” Juhudi<br />

za waongozi wa kanisa ziendelesha kazi waliotamani kuharibu. Kweli ikaendelea kusambaa.<br />

Katika Ujeremani wafuasi wake, walipohuzunishwa kwa kutoweka kwa Luther, wakatiwa<br />

moyo tena walipoona maendeleo <strong>ya</strong> injili katika Usuisi. Namna Matengenezo <strong>ya</strong>liimarishwa<br />

katika Zurich, matunda <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>lionekana zaidi kabisa katika kuvunjwa kwa uovu na<br />

kuendeleshwa utaratibu.<br />

Mabishano (Wafuasi wa kanisa la Roma)<br />

Kwa kuona namna mateso <strong>ya</strong> kutangaza kazi <strong>ya</strong> Luther katika Ujeremani haikufan<strong>ya</strong> kitu,<br />

Warumi wakakusudiakuwe mabishano na Zwingli. Walikuwa na hakika <strong>ya</strong> ushindi kwa<br />

kuchagua si makali tu pa vita bali waamuzi waliopashwa kuamua kati <strong>ya</strong> wabishanaji. Na<br />

kama wangeweza kupata Zwingli katika uwezo wao, wangefan<strong>ya</strong> angalisho ili asikimbie.<br />

Shauri hili, basi, likafichwa kwa uangalifu. Mabishano <strong>ya</strong>lipaswa kuwa huko Bade. Lakini<br />

Baraza la Zurich, kuzania makusudi <strong>ya</strong> watu wa Papa na walipoonywa juu <strong>ya</strong> vigingi v<strong>ya</strong><br />

moto vilivyowashwa katika makambi <strong>ya</strong> wakatoliki kwa ajili <strong>ya</strong> washahidi wa injili,<br />

wakamkataza mchungaji wao kujihatarisha maisha <strong>ya</strong>ke. Kwa kwenda Bade, mahali damu <strong>ya</strong><br />

wafia dini kwa ajili <strong>ya</strong> ukweli ilikuwa imetiririka, ingeleta kifo kweli. Oecolampadius na<br />

Haller wakachaguliwa kuwa wajumbe wa Watengenezaji, wakati Dr. Eck mwenye sifa,<br />

akisaidiwa na jeshi la watu wenye elimu sana na wapadri, alikuwa ndiye shujaa wa Roma.<br />

Waandishi wakachaguliwa wote kwa wakatoliki, na wengine wakakatazwa kuandika ao<br />

wasipotii wauwawe. Mwanafunzi mmoja, aliyeshiriki katika mabishano akaandika abari kila<br />

jioni juu <strong>ya</strong> mabishano <strong>ya</strong>liyofanyika mchana ule. Wanafunzi wawili wengine wakaagizwa<br />

kutoa kila siku barua za Oecolampadius, kwa Zwingli huko Zurich. Mtengenezaji akajibu,<br />

anapotoa shauri. Kwa kuepuka uangalifu wa mlinzi wa milango <strong>ya</strong> mji, wajumbe hawa<br />

walileta vikapo v<strong>ya</strong> bata juu <strong>ya</strong> vichwa v<strong>ya</strong>o na wakaruhusiwa kupita bila kizuizi.<br />

Zwingli “alitumika zaidi,” akasema Myconius, “kwa mawazo <strong>ya</strong>ke, kukesha kwake usiku,<br />

na shauri alilopeleka Bade, kuliko angeweza kufan<strong>ya</strong> kwa kubishana mwenyewe katikati <strong>ya</strong><br />

adui zake.” Wakatoliki wakafika Bade na mavazi <strong>ya</strong> hariri <strong>ya</strong> fahari sana <strong>ya</strong> mapambo <strong>ya</strong> vitu<br />

v<strong>ya</strong> damani. Wakasafiri na anasa sana, na kukaa kwa meza zilizojaa v<strong>ya</strong>kula vitamu sana na<br />

divai nzuri sana. Kukawa tofauti kubwa sana kati <strong>ya</strong>o na Watengenezajiambao chakula chao<br />

cha kiasi kikawakalisha kwa mda mfupi tu mezani. Mwenyeji wa Oecolampade,<br />

70

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!