12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

walioheshimiwa sana wa dunia waliyovaa, kuvikwa na mataji <strong>ya</strong> utukufu zaidi kuliko <strong>ya</strong>le<br />

<strong>ya</strong>liyovikwa kwa paji la uso <strong>ya</strong> wafalme wa dunia. Mfalme wa utukufu amepanguza machozi<br />

kwa nyuso zote. Wanatoa wimbo wa sifa, wazi, tamu, na wakupatana. Wimbo wa furaha<br />

ukaenea katika miruko <strong>ya</strong> mbinguni: “Wokovu kwa Mungu wetu anayeketi juu <strong>ya</strong> kiti cha<br />

enzi, na kwa Mwana-Kondoo”. Na wote wakaitika, “Amina: Baraka na utukufu, na hekima,<br />

na shukrani, na heshima, na uwezo, na nguvu kwa Mungu wetu hata milele na milele”. Ufunuo<br />

7:10,12.<br />

Katika maisha ha<strong>ya</strong> tunaweza tu kuanza kufahamu asili <strong>ya</strong> ajabu <strong>ya</strong> wokovu. Kwa<br />

ufahamu wetu wenye mpaka tungeweza kufikiri zaidi kwa kweli ha<strong>ya</strong> na utukufu, uzima<br />

(maisha) na mauti, haki na rehema, <strong>ya</strong>nayokutana katika msalaba; lakini kwa mvuto zaidi wa<br />

nguvu za akili yetu tunashindwa kuelewa maana <strong>ya</strong>ke kamili. Urefu na upana, urefu wa<br />

kwenda chini na urefu wa kwenda juu, wa upendo wa ukombozi unafahamika kidogo tu.<br />

Shauri la wokovu halitafahamika kamili, hata wakati waliokombolewa wanapoona kama<br />

wanavyoonwa na kujua kama wanavyojulikana; lakini katika vizazi v<strong>ya</strong> milele kweli mp<strong>ya</strong><br />

itaendelea kufunuliwa akili <strong>ya</strong> ajabu na furaha. Ijapo masikitiko na maumivu na majaribu <strong>ya</strong><br />

dunia <strong>ya</strong>napomalizika na sababu imeondolewa, watu wa Mungu watakuwa na maarifa <strong>ya</strong><br />

kupambanua, na akili <strong>ya</strong> kufahamu bei <strong>ya</strong> wokovu wao. Msalaba utakuwa ni wimbo wa<br />

waliookolewa milele.<br />

Katika Kristo aliyetukuzwa wanamtazama Kristo aliyesulibiwa. Haitasahauliwa kamwe<br />

<strong>ya</strong> kwamba Mwenye Enzi wa mbinguni alijinyenyekeza mwenyewe kwa kuinua mtu<br />

aliyeanguka, ili achukue kosa na ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> zambi na kuficha uso wa Baba <strong>ya</strong>ke hata misiba <strong>ya</strong><br />

ulimwengu uliopotea unapovunja moyo wake na kuangamiza maisha <strong>ya</strong>ke. Muumba wa dunia<br />

yote akaweka pembeni utukufu wake sababu <strong>ya</strong> upendo kwa mtu--hii itaamsha milele<br />

mshangao wa viumbe vyote. Wakati mataifa <strong>ya</strong> waliookolewa wanapomtazama Mkombozi<br />

wao na kujua <strong>ya</strong> kwamba ufalme wake ni wa kutokuwa na mwisho, wanaendelea katika<br />

wimbo: “Anastahili Mwana-Kondoo aliyechinjwa, na aliyetukomboa kwa Mungu kwa damu<br />

<strong>ya</strong>ke mwenyewe <strong>ya</strong> damani!”<br />

Siri <strong>ya</strong> msalaba inaeleza siri zote. Itaonekana <strong>ya</strong> kwamba yeye anayekuwa pasipo mwisho<br />

kwa hekima hangefan<strong>ya</strong> shauri lingine kwa ajili <strong>ya</strong> wokovu wetu isipokuwa kafara <strong>ya</strong> Mwana<br />

wake. Malipo kwa ajili <strong>ya</strong> kafara hii ni furaha <strong>ya</strong> kujaza dunia na viumbe vilivyokombolewa,<br />

vitakatifu, v<strong>ya</strong> furaha, na v<strong>ya</strong> milele. Hii ni damani <strong>ya</strong> nafsi ambayo Baba anatoshelewa kwa<br />

bei iliyolipwa. Na Kristo mwenyewe, kwa kutazama matunda <strong>ya</strong> kafara <strong>ya</strong>ke kubwa,<br />

anatoshelewa.<br />

265

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!