12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

<strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kweli iweze kuonekana kwa wote. Lusifero alikuwa mwenye kupendwa sana na<br />

viumbe v<strong>ya</strong> mbinguni, na mvuto wake juu <strong>ya</strong>o ulikuwa wa nguvu. Serkali <strong>ya</strong> Mungu<br />

haikuhusikana tu na wakaaji wa mbinguni, lakini kwa dunia zote alizoziumba; na Shetani<br />

akafikiri kwamba kama akiweza kuchukua malaika pamoja naye katika uasi, angeweza<br />

kuchukua vilevile dunia zingine. Kutumia madanganyo na werevu, uwezo wake kwa<br />

kudangan<strong>ya</strong> ulikuwa mkubwa sana. Hata Malaika waaminifu hawakuweza kabisa kutambua<br />

tabia <strong>ya</strong>ke wala kuona ni kitu gani kazi <strong>ya</strong>ke ilikuwa ikiongoza.<br />

Shetani alikuwa akiheshimiwa sana, na matendo <strong>ya</strong>ke yote kuvikwa sana na siri, mpaka<br />

ilikuwa vigumu kuonyesha kwa malaika tabia <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke. Hata ilipositawi kabisa,<br />

zambi haikuonyesha kitu kiba<strong>ya</strong> kilichokuwako. Viumbe vitakatifu havikuweza kutambua<br />

matokeo <strong>ya</strong> kuweka kando sheria <strong>ya</strong> Mungu. Shetani mwanzoni alisema alikuwa anatafuta<br />

kuendelesha heshima <strong>ya</strong> Mungu na uzuri wa wakaaji wote wa mbinguni.<br />

Katika mipango <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> zambi, Mungu aliweza kutumia tu haki na kweli. Shetani<br />

aliweza kutumia mambo ambayo Mungu hakuweza kutumia--uongo na werevu. Tabia <strong>ya</strong><br />

kweli <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>nganyi ilipashwa kufahamiwa na wote. Alipashwa kuwa na wakati kujionyesha<br />

mwenyewe kwa kazi zake za uovu.<br />

Ugomvi ambao alianzisha yeye mwenyewe mbinguni, Shetani aliuwekea juu <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Uovu wote aliutangaza kuwa matokeo <strong>ya</strong> utawala wa Mungu. Kwa hiyo ilikuwa ni lazima<br />

kwamba aonyeshe wazi matokeo <strong>ya</strong> makusudi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kugeuza sheria <strong>ya</strong> Mungu. Kazi <strong>ya</strong>ke<br />

mwenyewe ilipashwa kumuhukumu. Viumbe vyote v<strong>ya</strong> ulimwengu vilipashwa kuona<br />

mdanganyi kufunuliwa.<br />

Hata wakati ilipokusudiwa kwamba hawezi tena kudumu mbinguni, Mungu wa hekima<br />

isiyokuwa na mwisho hakumuangamiza Shetani. Utii wa viumbe v<strong>ya</strong> Mungu unapashwa<br />

kuwa juu <strong>ya</strong> sadikisho la haki <strong>ya</strong>ke. Wakaaji wa mbinguni na wa dunia zingine, walipokuwa<br />

bila kujita<strong>ya</strong>risha kufahamu matokeo <strong>ya</strong> zambi, hawakuweza basi kuona haki na rehema <strong>ya</strong><br />

Mungu katika maangamizi <strong>ya</strong> Shetani. Kama angaliangamizwa mara moja, wangemtumikia<br />

Mungu kwa hofu kuliko kwa upendo. Mvuto wa mdanganyi haungeharibiwa kabisa, wala<br />

roho <strong>ya</strong> uasi kungolewa kabisa. Kwa faida <strong>ya</strong> viumbe vyote katika vizazi vyote, Shetani<br />

alipashwa kuendelesha kabisa kanuni zake, kwamba mashambulio <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong><br />

Mungu <strong>ya</strong>pate kuonekana katika nuru <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kweli kwa viumbe vyote vilivyoumbwa.<br />

Uasi wa Shetani ulipashwa kuwa kwa viumbe vyote ushuhuda kwa matokeo <strong>ya</strong><br />

kuogopesha <strong>ya</strong> zambi. Kanuni <strong>ya</strong>ke ingeonyesha matunda <strong>ya</strong> kuweka kando mamlaka <strong>ya</strong><br />

Mungu. Historia <strong>ya</strong> tendo hili la kuogopesha la uasi lilipashwa kuwa ulinzi wa milele kwa<br />

akili takatifu zote kuwaokoa kwa zambi na kwa azabu <strong>ya</strong>ke.<br />

Wakati ilipotangazwa kwamba pamoja na washiriki wake wote mn<strong>ya</strong>nganyi mkubwa wa<br />

ufalme anapashwa kufukuzwa kutoka kwa makao <strong>ya</strong> cheo cha furaha, mwongozi muasi<br />

(mhuni) akatangaza wazi bila woga zarau kwa ajili <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Muumba. Akalaumu sheria<br />

204

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!