12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

lilitukuzwa na kuwako kwa uhai kwa yule ambaye alikuwa Mungu mwenyewe katika mwili.<br />

“Mapenzi <strong>ya</strong> mataifa yote” <strong>ya</strong>likuja kwa hekalu lake wakati Mtu wa Nazareti alipofundisha<br />

na kuponyesha katika viwanja takatifu. Lakini Israeli alikataa zawadi <strong>ya</strong> matoleo <strong>ya</strong><br />

mbinguni. Pamoja na Mwalimu mnyenyekevu aliyepita kutoka kwa mlango wake wa zahabu<br />

siku ile, utukufu ukatoka hata milele kwa hekalu. Maneno <strong>ya</strong> Mwokozi <strong>ya</strong>litimia: “Nyumba<br />

yenu imeachwa kwenu tupu”. Matayo 23:38.<br />

Wanafunzi walishangazwa sana kwa utabiri wa Kristo wa maangamizi <strong>ya</strong> hekalu, na<br />

walitamani kufahamu maana <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong>ke. Herode Mkubwa alitoa kwa ukarimu juu <strong>ya</strong><br />

hekalu hazina za Waroma na Wa<strong>ya</strong>hudi. Vipande vikubwa v<strong>ya</strong> marimari nyeupe, vilipelekwa<br />

kutoka Roma, vikafan<strong>ya</strong> sehemu <strong>ya</strong> ujenzi wake. Kwa mambo ha<strong>ya</strong> wanafunzi waliita<br />

uangalifu wa Bwana wao, kusema: “Tazama mawe na majengo ha<strong>ya</strong>”! Marko 13:1.<br />

Yesu akatoa jibu la wazi na la kushitusha: kweli ninawambia ninyi, Halitabaki jiwe juu <strong>ya</strong><br />

jiwe pasipo kubomolewa”. Matayo 24:2. Bwana aliwaambia wanafunzi kwamba atakuja mara<br />

<strong>ya</strong> pili. Kwa hiyo, alipotaja hukumu juu <strong>ya</strong> Yerusalema, mafikara <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>karejea kwa kurudi,<br />

na wakauliza: “Maneno ha<strong>ya</strong> yote <strong>ya</strong>takuwa wakati gani? na nini alama <strong>ya</strong> kuja kwako, na <strong>ya</strong><br />

mwisho wa dunia”? Matayo 24:3.<br />

Kristo akaonyesha mbele <strong>ya</strong>o ishara <strong>ya</strong> mambo makubwa <strong>ya</strong> kuonekana kabla <strong>ya</strong><br />

kufungwa kwa wakati. Unabii alioutaja ulikuwa na sehemu mbili maana <strong>ya</strong>ke. Wakati<br />

ulipokuwa ukitabiri uharibifu wa Yerusalema, unabii huu ulionyesha pia mfano wa matisho<br />

<strong>ya</strong> siku kubwa <strong>ya</strong> mwisho.<br />

Hukumu zilipashwa kuwekwa juu <strong>ya</strong> Israeli kwa sababu walikataa na wakasulubisha<br />

Masi<strong>ya</strong>. “Basi wakati munapoona chukizo la uharibifu lililosemwa na Danieli nabii,<br />

likisimama kwa pahali patakatifu (yeye anayesoma afahamu), halafu wale walio katika Yudea<br />

wakimbie kwa milima”. Matayo 24:15,16. Tazama vile vile Luka 21:20,21. Wakati kawaida<br />

za kuabudu sanamu za Waroma zitakapo wekwa katika kiwanja kitakatifu inje <strong>ya</strong> kuta za mji,<br />

ndipo wafuasi wa Kristo watapashwa kutafuta usalama katika kukimbia. Wale watakao okoka<br />

hawapashwe kuchelewa. Kwa ajili <strong>ya</strong> zambi zake, hasira ilikwisha kutajwa juu <strong>ya</strong><br />

Yerusalema. Ugumu wa kuto kuamini kwake ulifan<strong>ya</strong> maangamizo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kweli. Tazama<br />

Mika 3:9-11.<br />

Wakaaji wa Yerusalema walimshitaki Kristo kwa chanzo cha taabu zote ambazo zilifika<br />

juu <strong>ya</strong>o katika matokeo <strong>ya</strong> zambi zao. Ingawa walimjua yeye kuwa bila kosa, wakatangaza<br />

kifo chake kuwa cha lazima kwa ajili <strong>ya</strong> salama <strong>ya</strong>o kama taifa. Wakapatana katika maamuzi<br />

<strong>ya</strong> kuhani wao mkuu kwamba inafaa mtu mmoja afe kwa ajili <strong>ya</strong> watu wote, wala taifa lote<br />

lisiangamie. Tazama Yoane 11:4753.<br />

Wakati waliua Mwokozi wao kwa sababu alikemea zambi zao, wakajizania wao wenyewe<br />

kama watu waliopendelewa na Mungu na kutumainia Bwana kuwakomboa kwa adui zao!<br />

Uvumilivu wa Mungu. Karibu miaka makumi ine Bwana alikawisha hukumu zake. Kulikuwa<br />

7

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!