12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Waalimu hawa wa bidii wakajifan<strong>ya</strong> wenye kutawaliwa na maono, kuona kuwa kila<br />

mawazo na mvuto kama sauti <strong>ya</strong> Mungu. Wengine hata wakachoma Biblia zao. Mafundisho<br />

<strong>ya</strong> Munzer <strong>ya</strong>kakubaliwa na maelfu. Kwa upesi akatangaza kwamba kutii watawala, ilikuwa<br />

kutaka kumtumikia Mungu na Beliali. Mafundisho <strong>ya</strong> uasi <strong>ya</strong> Munzer <strong>ya</strong>kaongoza watu<br />

kuvunja mamlaka yote. Sherehe za kutisha za upinzani zikafuata, na mashamba <strong>ya</strong> Ujeremani<br />

<strong>ya</strong>kajaa na damu.<br />

Maumivu Makuu <strong>ya</strong> Roho Sasa Yakalemea Juu <strong>ya</strong> Luther<br />

Wana wa wafalme wa upande wa Papa wakatangaza kwamba uasi ulikuwa tunda <strong>ya</strong><br />

mafundisho <strong>ya</strong> Luther. Mzigo huu hakupashwa lakini kuleta huzuni kubwa kwa Mtengenezaji<br />

kwamba kisa cha kweli kilipaswa kuaibishwa kwa kuhesabiwa pamoja na ushupavu wa dini<br />

wa chini zaidi. Kwa upande mwengine, waongozi katika uasi walimchukia Luther. Hakukana<br />

madai <strong>ya</strong>o kwa maongozi <strong>ya</strong> Mungu tu, bali akawatangaza kuwa waasi juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong><br />

serkali. Katika uhusiano wakamshitaki yeye kuwa mdai wa msingi.<br />

Roma ilitumainia kushuhudia muanguko wa Matengenezo. Na wakamlaumu Luther hata<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> makosa ambayo alijaribu kwa bidii sana kusahihisha. Kundi la ushupavu, likadai<br />

kwa uongo kwamba lilitendewa <strong>ya</strong>siyo haki, wakapata huruma <strong>ya</strong> hesabu kubwa <strong>ya</strong> watu na<br />

kuzaniwa kuwa kama wafia dini. Kwa hiyo wale waliokuwa katika kupingana na<br />

Matengenezo wakahurumiwa na kusafishwa. Hii ilikuwa kazi <strong>ya</strong> roho <strong>ya</strong> namna moja <strong>ya</strong> uasi<br />

wa kwanza uliopatikana mbinguni.<br />

Shetani hutafuta kila mara kudangan<strong>ya</strong> watu na kuwaongoza kuita zambi kuwa haki na<br />

haki kuwa zambi. Utakatifu wa uongo, utakaso wa kuiga, ungali ukionyesha roho <strong>ya</strong> namna<br />

moja kama katika siku za Luther, kugeuza mafikara kutoka kwa Maandiko na kuongoza watu<br />

kufuata mawazo na maono kuliko sheria za Mungu. Kwa uhodari Luther akatetea injili kwa<br />

mashambulio. Pamoja na Neno la Mungu akapigana juu <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> man<strong>ya</strong>nganyi <strong>ya</strong><br />

Papa, wakati aliposimama imara kama mwamba kupinga ushupavu uliojaribu kujiunga na<br />

Matengenezo.<br />

Pande zote za upinzanihuweka pembeni Maandiko matakatifu, kwa faida <strong>ya</strong> hekima <strong>ya</strong><br />

kibinadamu kutukuzwa kawa chemchemi ama asili <strong>ya</strong> ukweli. Kufuata akili za kibinadamu<br />

kwa kusudi lakuabudu kama Mungu na kufan<strong>ya</strong> hii kanuni kwa ajili <strong>ya</strong> dini. Kiroma kinadai<br />

kuwa na uongozi wa Mungu ulioshuka kwa mustari usiovunjika toka kwa mitume na kutoa<br />

nafasi kwa ujinga na uchafu vifichwe chini <strong>ya</strong> agizo la “mitume”. Maongozi <strong>ya</strong>liyodaiwa na<br />

Munzer <strong>ya</strong>litoka kwa mapinduzi <strong>ya</strong> mawazo. Ukristo wa kweli hukubali Neno la Mungu kama<br />

jaribio la maongozi yote.<br />

Kwa kurudi kwake Wartburg, Luther akatimiza kutafsiri Agano Jip<strong>ya</strong>, na injili ikatolewa<br />

upesi kwa watu wa Ujeremani katika lugha <strong>ya</strong>o wenyewe. Ufasiri huu ukapokewa kwa furaha<br />

kubwa kwa wote waliopenda ukweli.<br />

74

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!