12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Wakati watawala wa Kikristo watakapotangaza agizo juu <strong>ya</strong> wenye kushika amri<br />

kuondolewa kwa ulinzi wa serkali na kuwaacha kwa wale wanaotaka maangamizi <strong>ya</strong>o, watu<br />

wa Mungu watakimbia kutoka katika miji na vijiji na kushirikiana pamoja katika makundi,<br />

kukaa katika mahali pa ukiwa sana na pa upekee. Wengi watapata kimbilio katika ngome za<br />

milima, kama Wakristo wa mabonde <strong>ya</strong> Piedmont (Vaudois). (Tazama sura <strong>ya</strong> ine). Lakini<br />

wengi katika mataifa yote na makundi yote, wa juu na chini, watajiri na maskini, weusi na<br />

weupe, watatupwa katika utumwa usio na haki kabisa na wa jeuri. Wapenzi wa Mungu<br />

watapitia kwa siku za taabu kufungiwa ndani <strong>ya</strong> gereza <strong>ya</strong> fito za chuma, kupewa hukumu <strong>ya</strong><br />

kuuawa, labda kuachiwa kufa katika giza, gereza la kuchukiza mno.<br />

Je, Bwana atasahau watu wake kwa saa hii <strong>ya</strong> majaribu? Je, alimsahau muaminifu Nuhu,<br />

Loti, Yusufu, Elia, Yeremia, ao Danieli? Ingawa adui wakiwasukuma kwa nguvu katika<br />

gereza, lakini kuta za gereza haziwezi kukata habari kati <strong>ya</strong> nafsi zao na Kristo. Malaika<br />

watakuja kwao katika vyumba v<strong>ya</strong> kifungo v<strong>ya</strong> kipekee. Gereza itakuwa kama jumba la<br />

mfalme, na kuta za giza zitaangaziwa kama vile Paulo na Sila walipokuwa wakiimba usiku<br />

wa manane katika gereza <strong>ya</strong> Wafilipi.<br />

Hukumu za Mungu zitajia wale wanaotaka kuangamiza watu wake. Kwa Mungu, azabu<br />

ni “tendo la kigeni”. Isa<strong>ya</strong> 28:21; utazame vilevile Ezekieli 23:11. Bwana ni mwenye”rehema<br />

na mwenye neema, si mwepesi kwa hasira, mwema na kweli nyingi, ... akisamehe uovu na<br />

makosa na zambi”. Lakini “hataachilia wenye zambi hata kidogo”. Kutoka 34:6, 7; Nahamu<br />

1:3. Taifa inalostahimili wakati mrefu, na linalojaza kipimo cha uovu wake, mwishoni<br />

litakunywa kikombe cha hasira pasipo kuchanganywa na rehema.<br />

Wakati Kristo anapomaliza uombezi wake katika Pahali patakatifu, hasira (ghazabu)<br />

pasipo kuchanganywa itahofishwa juu <strong>ya</strong> wale wanaoabudu mn<strong>ya</strong>ma itamiminwa. Mapigo<br />

kwa Misri <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> namna moja na hukumu zenye eneo kubwa zaidi zile ambazo<br />

zinapaswa kuanguka duniani mbele kabisa <strong>ya</strong> wokovu wa mwisho wa watu wa Mungu.<br />

Asema mfumbuzi: “Ikaanguka jipu mba<strong>ya</strong>, zito, juu <strong>ya</strong> watu wenye chapa <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma, na<br />

wale walioabudu sanamu <strong>ya</strong>ke. “Bahari “ikakuwa damu kama damu <strong>ya</strong> mfu”. Na “mito na<br />

chemchemi za maji; zikakuwa damu”. Malaika anatangaza: “Wewe mwenye haki, Bwana, ...<br />

kwa sababu umehukumu hivi. Kwani walimwaga damu <strong>ya</strong> watakatifu na <strong>ya</strong> manabii, nawe<br />

umewapa damu kunywa; nao wamestahili”. Ufunuo 16:2-6. Kwa kuhukumu watu wa Mungu<br />

hukumu <strong>ya</strong> mauti, kwa kweli wamehesabiwa makosa <strong>ya</strong> damu <strong>ya</strong>o kama ingemwagika na<br />

mikono <strong>ya</strong>o. Kristo alitangaza kwa Wa<strong>ya</strong>hudi wa wakati wake kosa <strong>ya</strong> damu yote <strong>ya</strong> watu<br />

watakatifu iliyomwagika tangu siku za Abeli (Matayo 23:34-36). Kwani walikuwa na roho<br />

<strong>ya</strong> namna moja kama wauaji hawa wa manabii.<br />

Kwa pigo linalofuata, uwezo unatolewa kwa jua “kuunguza watu kwa moto”. Ufunua<br />

16:8,9. Manabii wanaeleza wakati huu wakutisha: “Mavuno <strong>ya</strong> shamba <strong>ya</strong>meharibiwa... miti<br />

yote <strong>ya</strong> shamba imekauka kwa sababu furaha imekauka katika wana wa watu”. “Wan<strong>ya</strong>ma<br />

256

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!