12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 37. Maandiko - Mlinda Yetu Pekee<br />

Watu wa Mungu wanaongozwa kwa maandiko kama mlinda usalama wao kwa kupinga<br />

mvuto wa wa waalimu wa uongo na roho za giza. Shetani hutumia kila shauri lo lote<br />

iwezekanavyo kuzuia watu kupokea maarifa <strong>ya</strong> Biblia, kwa usemi ao maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />

waziinafunua madanganyifu <strong>ya</strong>ke. Madanganyo makubwa <strong>ya</strong> mwisho ni karibu kufunguliwa<br />

mbele yetu. Mpinga Kristo atafan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> ajabu mbele <strong>ya</strong> macho yetu kwa ukaribu<br />

kutakuwa mfano wa kufanana na iliyo <strong>ya</strong> kweli ambayo itakuwa haiwezekani kutofautisha<br />

kati <strong>ya</strong>o isipokuwa kwa Maandiko. Wale wanaojitahidi kutii amri zote za Mungu watapingwa<br />

na kuzarauliwa. Kwa kuvumilia jaribu, wanapaswa kufahamu mapenzi <strong>ya</strong> Mungu kama<br />

inavyofuniliwa katika Neno lake. Hapana mtu bali wale ambao wamaimarisha akili kwa kweli<br />

za Biblia watakaosimama katika vita kubwa <strong>ya</strong> mwisho.<br />

Mbele <strong>ya</strong> kusulibiwa kwake mwokozi alielezea wanafunzi wake <strong>ya</strong> kama alipashwa<br />

kuuawa na kufufuka tena. Lakini maneno <strong>ya</strong>liondolewa mbali kutoka kwa mawazo <strong>ya</strong><br />

wanafunzi. Wakati jaribu lilipofika, kifo cha Yesu kikaharibu kabisa matumaini <strong>ya</strong>o kama<br />

kwamba hakuwaon<strong>ya</strong> mbele. Kwa hivyo katika mambo <strong>ya</strong> unabii na wakati ujao umefunuliwa<br />

wazi mbele yetu kwa kama ulivyofunuliwa kwa wanafunzi na Kristo mwenyewe. Tukio<br />

zinazo ambatana na wakati wa kufungwa wakati wa majaribu na kazi <strong>ya</strong> mata<strong>ya</strong>risho kwa<br />

wakati wa taabu <strong>ya</strong>naonyeshwa wazi. Lakini wengi hawanaufahamu wa kweli hizi za maana<br />

sana, na wakati wa taabu utafika utawakuta wasiokuwa ta<strong>ya</strong>ri.<br />

Wakati Mungu anapotuma maonyo, anaagiza kila mtu kujaliwa na sababu kwa kukubali<br />

ujumbe. Hukumu za kutisha juu <strong>ya</strong> kuabudu mn<strong>ya</strong>ma na sanamu <strong>ya</strong>ke(Ufunuo 14:9-11)<br />

inapashwa kuongoza wote kujifunza namna alama <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma inavyokuwa na namna gani <strong>ya</strong><br />

kuepuka kuipokea. Lakini jamii <strong>ya</strong> watu hawataki ukweli wa Biblia, kwa sababu unazuia<br />

tamaa za moyo wa zambi. Shetani anatoa mambo <strong>ya</strong> udanganyifu wanaopenda.<br />

Lakini Mungu atakuwa na watu watakaodumisha Biblia, na ni Biblia peke <strong>ya</strong>ke, kama<br />

kawaida <strong>ya</strong> mafundisho yote na msingi wa matengenezo yote. Nia za watu waliojifunza,<br />

matoleo <strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> kweli, makusudi <strong>ya</strong> baraza za kanisa, sauti <strong>ya</strong> watu wengi-hakuna<br />

mojawapo <strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>napashwa kuzaniwa kama ushahidi kwa kukubaliana ao kutokubali<br />

mafundisho yo yote. Inatupasa kudai zahiri “Bwana anasema hivi”. Shetani anaongoza watu<br />

kutazama kwa wachungaji, kwa waalimu wa elimu <strong>ya</strong> tabia na sifa za Mungu na dini kama<br />

viongozi v<strong>ya</strong>o, badala <strong>ya</strong> kuchunguza Maandiko wao wenyewe. Kwa kutawala waongozi<br />

hawa, anaweza kuvuta wengi.<br />

Wakati Kristo alipokuja, watu wa kawaida walimsikia kwa furaha. Lakini mkuu wa<br />

ukuhani na watu wenye kuongoza wakajiingiza wao wenyewe katika uzalimu; wakakataa<br />

ushuhuda wa Umasi<strong>ya</strong> wake. “Namna gani inakuwa”, watu wakauliza, “<strong>ya</strong> kama watawala<br />

wetu na wandishi waliojifunza hawaamini Yesu? Waalimu kama wale walioongoza taifa la<br />

Wayuda kukataa Mkombozi wao.<br />

242

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!