12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

linainua kweli kwamba “watu wote wameumbwa sawasawa” na wanatolewa na haki <strong>ya</strong> daima<br />

kwa “maisha, uhuru, na kutafuta furaha.”<br />

Sheria inatoa haki kwa watu <strong>ya</strong> kujitawala, kuhakikisha kwamba wajumbe<br />

waliochaguliwa kwa uchaguzi wa kupendwa na watu wote watafan<strong>ya</strong> na kuamuru sheria.<br />

Uhuru wa imani <strong>ya</strong> dini ulitolewa pia. Utawala wa uchaguzi (Republicanism) <strong>ya</strong> Dini la<br />

<strong>Kiprotestanti</strong> <strong>ya</strong>kawa kanuni za msingi za taifa, siri <strong>ya</strong> uwezo wake na usitawi. Mamilioni<br />

wakatafuta pwani zake, na Amerika ikapanda kwa pahali miongoni mwa mataifa yenye uwezo<br />

mwingi zaidi duniani.<br />

Lakini n<strong>ya</strong>ma aliyekuwa na pembe mbili, mfano wa mwanakondoo “akasema kama joka.<br />

Naye atumia uwezo wote wa mn<strong>ya</strong>ma yule wa kwanza mbele <strong>ya</strong>ke, na kufan<strong>ya</strong> dunia nao<br />

wanaokaa ndani <strong>ya</strong>ke waabudu mn<strong>ya</strong>ma wa kwanza, ambaye kidonda chake cha mauti<br />

kilipona; ... akiwaambia wale wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia, kumfanyia sanamu yule mn<strong>ya</strong>ma,<br />

aliyekuwa na kidonda cha upanga, naye aliishi.” Ufunuo 13:11-14.<br />

Pembe mfano wa mwana-kondoo na sauti <strong>ya</strong> joka inaonyesha kwa mabishano. Utabiri<br />

kwamba itasema “kama joka” na kutumia “maneno kwa uwezo wote wa n<strong>ya</strong>ma yule wa<br />

kwanza” unatabiri roho <strong>ya</strong> kutokuwa na uvumilivu na <strong>ya</strong> kutesa. Na maneno kwamba<br />

mn<strong>ya</strong>ma aliyekuwa na pembe mbili “naye dunia alifan<strong>ya</strong>” na wale wanaokaa ndani <strong>ya</strong>ke<br />

waabudu mn<strong>ya</strong>ma wa kwanza” inaonyesha kwamba mamlaka <strong>ya</strong> taifa hili ni kutumia nguvu<br />

kwa kushika maagizo fulani ambayo itakuwa tendo la heshima kwa utawala wa kipapa.<br />

Tendo la namna hiyo lingekuwa kinyume kwa asili <strong>ya</strong> sheria zake za uhuru, kwa taratibu<br />

<strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong> kukiri Tangazo la Uhuru, na kwa sheria. Sheria inaweka ta<strong>ya</strong>ri kwamba “Baraza<br />

kuu haitaweka sheria kupendelea makao <strong>ya</strong> dini, wala kukataza uhuru wa matumizi hiyo,” na<br />

kwamba “hakuna jaribio la dini litakalodaiwa kamwe kama sifa kwa kazi yo yote <strong>ya</strong> tumaini<br />

la watu wote chini <strong>ya</strong> mataifa <strong>ya</strong> muungano (United States). Kuvunja wazi kwa kinga hizi<br />

(mambo <strong>ya</strong>nayofan<strong>ya</strong> salama) za uhuru kunaonyeshwa katika mfano huu. Mn<strong>ya</strong>ma aliyekuwa<br />

na pembe mbili mfano wa mwana-kondooanayejitangaza kuwa safi, mtulivu-asiyeumizaanasema<br />

kama joka.<br />

“Akiwaambia wale wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia, kumfanyia sanamu yule n<strong>ya</strong>ma.” Hapa<br />

panaonyeshwa namna <strong>ya</strong> serkali ambapo mamlaka <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> sheria inadumu kwa watu,<br />

ushuhuda wa kushangaza zaidi kwamba Amerika ni taifa lenye maana fulani.<br />

Lakini “sanamu kwa mn<strong>ya</strong>ma” ni nini? Namna gani inafanywa?<br />

Wakati kanisa la zamani lilipochafuka, likatafuta msaada wa uwezo wa kidunia. Matokeo:<br />

Kanisa la Roma (Papa), kanisa lililotawala serkali, hasa zaidi sana kwa ajili <strong>ya</strong> azabu <strong>ya</strong><br />

uzushi.” Ili Amerika ipate kufan<strong>ya</strong> ‘’sanamu <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma,” mamlaka <strong>ya</strong> dini inapaswa<br />

kutongoza serkali kwamba serkali itatumiwa vilevile kwa kanisa kutimiza vifiko v<strong>ya</strong>ke<br />

mwenyewe.<br />

181

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!