12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 24. Kristo Anafan<strong>ya</strong> Kazi Gani Sasa?<br />

Fundisho la Pahali patakatifu likafungua siri <strong>ya</strong> uchungu. Likafungua kwa maoni kanuni<br />

kamili <strong>ya</strong> ukweli, yenye uhusiano na <strong>ya</strong> kulingana, kuonyesha mkono wa Mungu ulioongoza<br />

kazi kubwa juu <strong>ya</strong> kuja kwa Yesu. Wale waliotazamia kwa imani kuja kwake mara <strong>ya</strong> pili<br />

wakamtazamia kutokea katika utukufu, lakini kwa namna matumaini <strong>ya</strong>o ha<strong>ya</strong>kufanyikiwa,<br />

wakapoteza akili juu <strong>ya</strong> Yesu. Sasa ndani <strong>ya</strong> patakatifu pa patakatifu wakatazama tena Kuhani<br />

wao mkubwa, kutokea upesi kama mfalme na mkombozi. Nuru kutoka kwa Pahali patakatifu<br />

ikaangazia wakati uliopita, wakati wa sasa, na wakati ujao. Ingawa walishindwa kufahamu<br />

ujumbe waliopata, kwani ulikuwa wa kweli.<br />

Kosa halikuwa katika kutambua kwa n<strong>ya</strong>kati za unabii, lakini katika tukio kufanyika kwa<br />

mwisho wa siku 2300. Kwani yote <strong>ya</strong>liyotabiriwa na unabii <strong>ya</strong>litimilika. Kristo alikuja, si<br />

duniani, bali katika Pahali patakatifu pa patakatifu pa hekalu katika mbingu; “Nikaona katika<br />

maono <strong>ya</strong> usiku, na tazama, pamoja na mawingu <strong>ya</strong> mbingu alikuwa mmoja aliye mfano wa<br />

mwana wa watu, akakaribia huyu Mzee wa Siku, wakamuleta karibu naye.” Danieli 7:13.<br />

Kuja huku kulitabiriwa pia na Malaika: “Na Bwana munayemutafuta atakuja gafula<br />

hekaluni mwake; na mujumbe wa agano munayemupenda, tazameni, atakuja, Bwana wa<br />

majeshi anasema.” Malaki 3:1. Kuja kwa Bwana katika hekalu <strong>ya</strong>ke kulikuwa kwa gafula,<br />

hakukuzaniwa kwa watu wake. Hawakuwa wakimtazamia pale.<br />

Watu hawakuwa bado ta<strong>ya</strong>ri kukutana na Bwana wao. Pale kulikuwa kungali kazi <strong>ya</strong><br />

mata<strong>ya</strong>risho itimizwe kwa ajili <strong>ya</strong>o. Kwa namna walipashwa kufuata kwa imani Kuhani wao<br />

mkubwa katika huduma <strong>ya</strong>ke, kazi mp<strong>ya</strong> zingeweza kufunuliwa. Ujumbe mwengine<br />

ulipashwa kutolewa kwa kanisa.<br />

Nani Atakayesimama?<br />

Nabii akasema: “Nani atakayevumilia siku <strong>ya</strong> kuja kwake? na nani atakayesimama wakati<br />

atakapoonekana? ... Naye atakaa kama mwenye kusafisha na kutakasa feza, naye atatakasa<br />

wana wa Lawi, na atawasafisha kama zahabu na feza, nao watatoa kwa Bwana sadaka kwa<br />

haki.” Malaki 3:2,3. Wale wanaokaa duniani wakati teteo <strong>ya</strong> Kristo <strong>ya</strong>takapoisha wanapashwa<br />

kusimama mbele <strong>ya</strong> Mungu bila muombezi. Mavazi <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>napashwa kuwa safi bila doa, tabia<br />

zao zenye kutakaswa kutoka zambini kwa damu <strong>ya</strong> manyunyu. Kwa njia <strong>ya</strong> neema <strong>ya</strong> Mungu<br />

na juhudi <strong>ya</strong>o wenyewe <strong>ya</strong> utendaji wanapashwa kuwa washindaji katika vita na yule muovu.<br />

Wakati hukumu <strong>ya</strong> ukaguzi inapoendelea mbele kule mbinguni, wakati zambi za waamini<br />

waliotubu zinapoondolewa kutoka kwa Pahali patakatifu, hapo panapashwa kuwa na kazi <strong>ya</strong><br />

kipekee <strong>ya</strong> kuacha zambi miongoni mwa watu wa Mungu duniani. Kazi hii inaonyeshwa<br />

katika ujumbe wa Ufunuo 14. Wakati kazi hii itakapotimizwa, wafuasi wa Kristo watakuwa<br />

ta<strong>ya</strong>ri kwa kutokea kwake. Ndipo kanisa ambalo Bwana wetu kwa kuja kwake analopashwa<br />

kupokea litakuwa “kanisa la utukufu, pasipo doa wala kikunjo wala kitu cho chote kama hivi.”<br />

Waefeso 5:27.<br />

174

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!