12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

<strong>ya</strong> viumbe vinashirikiana na hali <strong>ya</strong> Mungu. Ni sehemu <strong>ya</strong> mpango wa Mungu kutusaidia,<br />

katika jibu kwa ombi la imani, lile ambalo hangalitoa tusilouliza.<br />

Mipaka <strong>ya</strong> Neno<br />

Mafundisho <strong>ya</strong> uwongo miongoni mwa makanisa <strong>ya</strong>naondoa mipaka iliyowekwa na Neno<br />

la Mungu. Wachache wanasimamia kwa kukataa kweli moja tu. Wengi wanaweka kando<br />

mojawapo kwa ingine <strong>ya</strong> kanuni za kweli, hata wanapokuwa wasioamini.<br />

Makosa <strong>ya</strong> elimu <strong>ya</strong> tabia na sifa za Mungu na dini <strong>ya</strong> kupendezwa na watu wengi<br />

<strong>ya</strong>liendesha roho nyingi kwa moyo wa mashaka (sceptisim). Haiwezekani kwao kukubali<br />

mafundisho ambayo <strong>ya</strong>nayopinga maelezo <strong>ya</strong> watu juu <strong>ya</strong> haki, rehema na wema. Kwa hivi<br />

mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>naonyeshwa kama mafundisho <strong>ya</strong> Biblia, anakataa ku<strong>ya</strong>kubali kama Neno la<br />

Mungu.<br />

Neno la Mungu linaangaliwa bila tumaini kwa sababu linakemea na kuhukumu zambi.<br />

Wale wasiotaka kutii wanafan<strong>ya</strong> nguvu kupindua mamlaka <strong>ya</strong>ke. Wengi wanakufuru ili<br />

kutetea uzarau wa kazi <strong>ya</strong>o. Wengine pia, ni wapenda raha kwa kutimiza kitu cho chote<br />

ambacho kinaomba kujikana mwenyewe, wanatunza sifa kwa ajili <strong>ya</strong> hekima kubwa kwa<br />

kuteta Biblia.<br />

Wengi wanaona kama sifa kusimama upande wa kutoamini, mashaka, na kukufuru. Lakini<br />

chini <strong>ya</strong> mfano mwema kutapatikana kujitumaini mwenyewe na kiburi. Wengi<br />

wanapendezwa katika kupata kujua kitu fulani katika Maandiko kutatiza roho za wengine.<br />

Wengine kwa sababu <strong>ya</strong> kwanza kwa upande usiofaa kwa upendo tu wa mabishano. Lakini<br />

wakisha kuonyesha wazi kutoamini, wanajiunga pamoja na wasiomwongopa Mungu.<br />

Ushuhuda wa Kufaa<br />

Mungu ametoa katika Neno lake ushuhuda wa kutosha wa kuonyesha tabia <strong>ya</strong>ke. Lakini<br />

akili zenye mpaka zinakuwa si zakutosha kabisa kufahamu makusudi <strong>ya</strong> Mungu. “Hukumu<br />

zake hazivumbulikani, na njia zake hazifutikani!” Waroma 11:33. Tunaweza kutambua<br />

upendo usio na mpaka na rehema iliyoungana na uwezo usio na mwisho. Baba yetu aliye<br />

mbinguni atafunua kwetu kwa namna inavyotosha kwa ajili <strong>ya</strong> uzuri wetu kujua; zaidi <strong>ya</strong> pale<br />

tunapashwa kutumainia Mkono ule unaokuwa ni Mwenye mamlaka yote, Moyo unaojaa<br />

upendo.<br />

Mungu hataondoa kamwe sababu zote za kutoamini. Wote wanaotafuta sababu za<br />

kuwekea mashaka <strong>ya</strong>o watazipata. Na wale wanaokataa kutii hata kila kizuizi kinapokwisha<br />

kuondolewa hawatakuja kwa nuru kamwe. Moyo usiofanywa up<strong>ya</strong> unakuwa katika uadui na<br />

Mungu. Lakini imani inatiwa moyo kwa Roho Mtakatifu na itasitawi kama inavyolindwa.<br />

Hakuna mtu anaweza kuwa na nguvu katika imani pasipo nguvu imara. Kama watu<br />

wakijiruhusu wenyewe kubishana, mashaka <strong>ya</strong>tapata msingi zaidi.<br />

215

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!