12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

zambi. Zambi ni onyesho la kanuni inayoleta kwa vita sheria <strong>ya</strong> upendo, inayokuwa msingi<br />

wa serkali <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Mbele <strong>ya</strong> kuingia kwa zambi amani na furaha ilikuwa katika viumbe vyote. Upendo kwa<br />

Mungu ulikuwa mkubwa, upendo kwa mtu na kwa mwingine ulikuwa wa bila ubaguzi. Kristo<br />

Mwana wa pekee wa Mungu alikuwa mmoja pamoja na Baba wa milele katika hali, katika<br />

tabia, na katika kusudi--ni yeye peke <strong>ya</strong>ke ambaye aliweza kuingia katika mashauri yote na<br />

makusudi <strong>ya</strong> Mungu. ‘’Katika yeye vitu vyote viliumbwa vilivyo mbinguni, ... ikiwa ni viti<br />

v<strong>ya</strong> wafalme ao usultani ao falme ao mamlaka.” Wakolosayi 1:16.<br />

Sheria <strong>ya</strong> upendo ilikuwa msingi wa utawala wa Mungu, furaha <strong>ya</strong> viumbe vyote<br />

vilivyoumbwa ilitegemea kwa upatano pamoja na kanuni zake za haki. Mungu hapendezwi<br />

na utii wa kulazimishwa, na kwa wote anatoa uhuru wa mapenzi, kwamba wanaweza<br />

kumfanyia kazi bila kulazimishwa).<br />

Lakini kulikuwa na mmoja aliyechagua kuharibu viba<strong>ya</strong> uhuru huo. Zambi ilianzia kwake,<br />

yeye aliyekuwa, baada <strong>ya</strong> Kristo, aliheshimiwa sana kwa Mungu. Mbele <strong>ya</strong> kuanguka kwake,<br />

Lusifero alikuwa wa kwanza kwa wakerubi wa kufunika, mtakatifu na mwenye usafi. “Bwana<br />

Mungu anasema hivi: Ulikuwa muhuri wa ukamilifu, mwenye kujaa na hekima na ukamilifu<br />

wa uzuri. Wewe ulikuwa katika Edeni, shamba la Mungu; kila jiwe la damani lilkuwa<br />

kifunuko chako. ... Wewe ulikuwa kerubi wa kufunika mwenye kutiwa mafuta; nami<br />

nilikuweka juu <strong>ya</strong> mlima mtakatifu wa Mungu; umetembea huko na huko katikati <strong>ya</strong> mawe<br />

<strong>ya</strong> moto. Ulikuwa mkamilifu kwa njia zako tangu siku ulipoumbwa, hata uovu ulipoonekana<br />

ndani <strong>ya</strong>ko. ... Moyo wako umen<strong>ya</strong>nyuliwa kwa sababu <strong>ya</strong> uzuri wako, umeharibu hekima<br />

<strong>ya</strong>ko kwa sababu <strong>ya</strong> kungaa kwako.” “Nawe ulisema moyoni mwako ... Nitan<strong>ya</strong>nyua kiti<br />

changu cha enzi juu kupita nyota za Mungu, Na nitakaa juu <strong>ya</strong> mlima wa makutano. ...<br />

Nitapanda juu kupita vimo v<strong>ya</strong> mawingu, Nitafanana naaliye juu Sana.” Ezekieli 28:12-17;<br />

28:6; Isa<strong>ya</strong> 14:13,14.<br />

Kutamani heshima ambayo Baba aliweka juu <strong>ya</strong> Mwana wake, mtawala huyu wa malaika<br />

akatamani kwa uwezo ambao ulikuwa ni mamlaka <strong>ya</strong> Kristo peke <strong>ya</strong>ke kutawala. Sauti<br />

isiyopatana sasa ikaharibu mapatano <strong>ya</strong> mbinguni. Kujiinua kwa nafsi kukaamsha visirani<br />

v<strong>ya</strong> uovu katika mioyo ambayo utukufu wa Mungu ulikuwa mkubwa. Baraza za mbinguni<br />

zikatetea pamoja na Lusifero. Mwana wa Mungu akaonyesha mbele <strong>ya</strong>ke wema na haki <strong>ya</strong><br />

Muumba na tabia takatifu <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong>ke. Kwa kuiacha, Lusifero angezarau Muumba wake<br />

na kujiletea uharibifu juu <strong>ya</strong>ke mwenyewe. Lakini onyo peke likaamsha msimamo. Lusifero<br />

akaruhusu wivu wa Kristo kushinda.<br />

Kiburi kikazidisha tamaa <strong>ya</strong> mamlaka. Heshima za juu zilizotolewa kwa Lusifero zikaleta<br />

kutokuwa na shukrani kwa Muumba. Akatamani kuwa sawa sawa na Mungu. Huku Mwana<br />

wa Mungu alikuwa Mfalme aliyekubaliwa wa mbingu, mmoja kwa uwezo na mamlaka<br />

pamoja na Baba. Katika mipango yote <strong>ya</strong> Mungu, Kristo alikuwa mshirika, lakini Lusifero<br />

hakuruhusiwa kuingia katika makusudi <strong>ya</strong> kimungu. “Sababu gani,” akauliza huyu malaika<br />

202

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!