12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kuchangan<strong>ya</strong> uwongo na ukweli shauri laonekana kuwa njema. Waongozi wa mwendo wa<br />

siku <strong>ya</strong> kwanza (dimanche) wangeshindania matengenezo ambayo watu wanahitaji, kanuni<br />

katika umoja pamoja na Biblia; lakini wakati ambao kunakuwa na madai pamoja na hizi<br />

kinyume kwa sheria za Mungu, watumishi wake hawawewzi kujiunga pamoja nao. Hakuna<br />

kitu kinachoweza kuthibitika kuweka kando amri za Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> amri za watu.<br />

Katika makosa mawili makubwa, kutokufa kwa nafsi na utakatifu wa siku <strong>ya</strong> kwanza<br />

(dimanche), Shetani ataleta watu chini <strong>ya</strong> madanganyo <strong>ya</strong>ke. Wakati kosa la kwanza<br />

linapowekwa msingi wa imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa hurudi na kujionyesha na<br />

kuongea na watu (spiritualisma), kosa la mwisho hufan<strong>ya</strong> kifungo cha huruma pamoja na<br />

Roma. Waprotestanti wa Umoja wa Mataifa <strong>ya</strong> Kiamerika watakuwa wa kwanza kunyoosha<br />

mikono <strong>ya</strong>o ngambo <strong>ya</strong> shimo kubwa kushika mkono wa imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu<br />

walikufa hurudi na kujionyesha na kuongea na watu (Spiritualisme); wakifikia kwa shimo<br />

kubwa kukumbatia mikono na mamlaka <strong>ya</strong> Roma. Na chini <strong>ya</strong> mvuto wa umoja huu wa mara<br />

tatu, inchi hii itafuata katika hatua za Roma kwa kukan<strong>ya</strong>nga haki za zamiri.<br />

Kwa namna imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na<br />

watu (spiritualisme) , inakuwa na uwezo mkubwa kwa kudangan<strong>ya</strong>. Shetani yeye mwenyewe<br />

“hujigeuza”. Ataonekana kama malaika wa nuru. Kwa njia <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu<br />

waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na watu, miujiza itafanyika, wangonjwa<br />

wataponyeshwa, na maajabu mengi <strong>ya</strong>siyokukanishwa <strong>ya</strong>tafanyika.<br />

Wafuasi wa kanisa la kiroma wanaojisifu juu <strong>ya</strong> miujiza kuwa alama <strong>ya</strong> kanisa la kweli<br />

watadanganyika upesi kwa uwezo huu wa kufan<strong>ya</strong> miujiza; na Waprotestanti, wanapokwisha<br />

kutupia mbali ngao <strong>ya</strong> ukweli, watadanganyika vile vile. Wafuasi wa kanisa la Roma,<br />

Waprotestanti, na watu wapendao anasa za dunia wataonekana vivyo hivyo katika umoja huu<br />

mabadiliko makubwa kwa ajili <strong>ya</strong> toba <strong>ya</strong> ulimwengu.<br />

Kwa njia <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kuwa roho za watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea na<br />

watu (spiritualisme), Shetani hutokea kama mtenda mema wa kabila, kuponyesha magonjwa<br />

na kuonyesha kawaida mp<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> dini, lakini wakati ule ule anaongoza wengi kwa<br />

maangamizi. Kukosa kiasi kunaondoa akili; mapendeleo <strong>ya</strong> anasa, vita, na kumwanga damu<br />

hufuata. Vita huamsha tamaa mba<strong>ya</strong> sana <strong>ya</strong> nafsi na kufutia kwa milele mateka wake<br />

walioloanishwa katika uovu na damu. Nikusudi la Shetani kuchochea mataifa kwa vita, kwani<br />

anaweza kupotosha watu kwa mata<strong>ya</strong>risho <strong>ya</strong> kusimama kwa siku ile <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Shetani amejifunza siri za maumbile, na anatumia uwezo wake wote kutawala mwanzo<br />

kadiri Mungu anavyoruhusu. Ni Mungu anayelinda viumbe v<strong>ya</strong>ke kutoka kwa mharibu.<br />

Lakini jamii <strong>ya</strong> Ukristo limeonyesha zarau kwa sheria <strong>ya</strong>ke, na Bwana atafan<strong>ya</strong> kile<br />

alichotangaza <strong>ya</strong> kwamba-angeondoa ukingaji wa ulinzi wake kwa wale wanaoasi kwa sheria<br />

<strong>ya</strong>ke na kukaza wengine kufan<strong>ya</strong> pamoja. Shetani anakuwa na utawala wa wote ambao<br />

Mungu asio walinda kwa kipekee. Atasaidia na kusitawisha wengine, ili kuzidisha makusudi<br />

239

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!