12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kutafuta Amani<br />

Mapenzi <strong>ya</strong> kupata amani pamoja na Mungu <strong>ya</strong>kamwongoza kujitoa mwenyewe kwa<br />

maisha <strong>ya</strong> utawa. Hapa alikuwa akitakiwa kufan<strong>ya</strong> kazi ngumu za chini sana na kuomba omba<br />

nyumba kwa nyumba. Akaendelea kwa uvumilivu katika kujishusha huku,akiamini hii kuwa<br />

lazima sababu <strong>ya</strong> zambi zake. Alijizuia mwenyewe saa zake za usingizi na kujinyima hata<br />

wakati mdogo wakula chakula chake kichache, akapendezwa na kujifunza Neno la Mungu.<br />

Alikuta Biblia iliyofungiwa mnyororo kwa ukuta wa nyumba <strong>ya</strong> watawa, na kwa hiki (Biblia)<br />

akaenda mara kwa mara.<br />

Akaanza maisha magumu sana zaidi, akijaribu kufunga,kukesha, na kujitesa kwa kutisha<br />

maovu <strong>ya</strong> tabia <strong>ya</strong>ke. Akasema baadaye, “Kama mtawa angeweza kupata mbingu kwa kazi<br />

zake za utawa, hakika ningepaswa kustahili mbingu kwa kazi hiyo. ... Kama ingeendelea<br />

wakati mrefu, ningepaswa kuchukua uchungu wangu hata kufa.” Kwa bidii <strong>ya</strong>ke yote, roho<br />

<strong>ya</strong> taabu <strong>ya</strong>ke haikupata usaada. Mwishowe akafika karibu hatua <strong>ya</strong> kukata tamaa.<br />

Wakati ilionekana kwamba mambo yote <strong>ya</strong>mepotea, Mungu akainua rafiki kwa ajili <strong>ya</strong>ke.<br />

Staupitz akafungua Neno la Mungu kwa akili wa Luther na akamwomba kutojitazama<br />

mwenyewe na kutazama kwa Yesu. “Badala <strong>ya</strong> kujitesa mwenyewe kwa ajili <strong>ya</strong> zambi zako,<br />

ujiweke wewe mwenyewe katika mikono <strong>ya</strong> Mwokozi. Umutumaini, katika haki <strong>ya</strong> maisha<br />

<strong>ya</strong>ke, malipo <strong>ya</strong> kifo chake...Mwana wa Mungu alikuwa mtu kukupatia uhakikisho wa toleo<br />

<strong>ya</strong> kimungu. ... Umpende yeye aliyekupenda mbele.” Maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kafan<strong>ya</strong> mvuto mkubwa<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> Luther. Amani ikakuja kwa roho <strong>ya</strong>ke ili<strong>ya</strong>taabika.<br />

Alipotakaswa kuwa padri, Luther akaitwa kwa cheo cha mwalimu katika chuo kikuu<br />

(universite) cha Wittenberg. Akaanza kufundisha juu <strong>ya</strong> Zaburi, Injili, na kwa barua kwa<br />

makundi <strong>ya</strong> wasikilizi waliopendezwa. Staupitz, mkubwa wake akamwomba kupanda kwa<br />

mimbara na kuhubiri. Lakini Luther akajisikia kwamba hastahili kusema kwa watu katika jina<br />

la Kristo. Ilikuwa tu baada <strong>ya</strong> juhudi <strong>ya</strong> wakati mrefu ndipo alikubali maombi <strong>ya</strong> rafiki zake.<br />

Alikuwa na uwezo mkubwa katika Maandiko, na neema <strong>ya</strong> Mungu ilikuwa juu <strong>ya</strong>ke. Kwa<br />

wazi uwezo ambao alifundisha nao ukweli ukasadikisha ufahamu wao, na nguvu <strong>ya</strong>ke ikagusa<br />

mioyo <strong>ya</strong>o.<br />

Luther alikuwa akingali mtoto wa kweli wa Kanisa la Roma, hakuwa na wazo kwamba<br />

atakuwa kitu kingine cho chote. Akaongozwa kuzuru Roma, aliendelea safari <strong>ya</strong>ke kwa<br />

miguu, kukaa katika nyumba za watawa njiani. Akajazwa na ajabu hali nzuri na <strong>ya</strong> damani<br />

ambayo alishuhudia. Watawa (moines) walikaa katika vyumba vizuri, wakajivika wao<br />

wenyewe katika mavazi <strong>ya</strong> bei kali, na kujifurahisha kwa meza <strong>ya</strong> damani sana. Mafikara <strong>ya</strong><br />

Luther <strong>ya</strong>lianza kuhangaika.<br />

Mwishowe akaona kwa mbali mji wa vilima saba. Akaanguka mwenyewe chini udongoni,<br />

kupaaza sauti: “Roma mtakatifu, nakusalimu!” Akazuru makanisa akasikiliza hadizi za ajabu<br />

zilizokaririwa na mapadri na watawa, na kufan<strong>ya</strong> ibada zote zilizohitajiwa. Po pote, mambo<br />

47

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!