12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Mmojawapo wa “mapadri” wa agizo jip<strong>ya</strong> akasema: “Mungu, kama Unakuwako, lipisha<br />

kisasi cha matukano <strong>ya</strong>nayofanywa kwa kutukana jina iako. Ninakualika! Unakaa kim<strong>ya</strong>;<br />

Husubutu kutuma ngurumo zako. Nani baada <strong>ya</strong> hii atakayeamini kuwako kwako tena?” Ni<br />

jibu gani hili la swali la Farao: “Bwana ni nani, nisikie sauti <strong>ya</strong>ke?”<br />

“Mupumbafu amesema moyoni mwake: Hakuna Mungu.” Na Bwana anasema,<br />

“Upumbafu wao utaonyeshwa wazi kwa watu wote.” Zaburi 14:1; 2 Timoteo 3:9. Wakati<br />

Ufransa ulipokataa ibada <strong>ya</strong> Mungu mwenye uhai haukukawia kushuka katika ibada <strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong> kuabudu Mungu wa kike wa Akili (kutumia akili), mwanamke msharati. Ibada hii<br />

ikaanzishwa kwa msaada wa mkutano wa taifa! Mojawapo wa sherehe <strong>ya</strong> wakati huu wa<br />

wazimu kusimama inayopita yote kwani upumbafu ilichanganyika na ukosefu wa heshima<br />

kwa Mungu. Milango <strong>ya</strong> mapatano ikafunguliwa wazi wazi. ... Washiriki wa utawala wa mji<br />

wakaingia katika mwandamano wa taratibu, kuimba wimbo kwa sifa za uhuru, na kufuatana,<br />

kama kitu cha ibada <strong>ya</strong> wakati ujao, mwanamke mmoja aliyefunikwa, waliyemwita Mungu<br />

wa Kike wa Kutumia Akili. Alipokuwa katika baraza <strong>ya</strong> hukumu, wakamvua mwili wote kwa<br />

heshima, na wakamweka upande wa kuume wa msimamizi, ambapo alipojulikana kwa<br />

kawaida kama binti mchezaji wa mchezo wa kuigiza (opera).<br />

Mungu wa Kike wa Kutumia Akili<br />

“Kusimamisha Mungu wa Kike wa Kutumia Akili kukafanywa up<strong>ya</strong> na kuigwa na taifa<br />

po pote, katika mahali ambapo wakaaji walitaka kujionyesha wenyewe kulingana na usitawi<br />

wote wa Mapinduzi.”<br />

Wakati “mungu wa kike” alipoletwa kwa Mapatano; msemaji akamkamata kwa mkono,<br />

na akageukia makutano akasema: “Wanadamu, muache kutetemeka mbele <strong>ya</strong> ngurumo zaifu<br />

za mungu ambazo wogo wenu umezifan<strong>ya</strong>. Tangu leo msikubali tena umungu mwengine bali<br />

Kutumia Akili. Ninawapongoatia picha <strong>ya</strong>ke bora na safi sana; kama kunapaswa kuwa na<br />

sanamu, mjitoe tu kwa hii. ...<br />

“Mungu wa kike alipokwisha kukumbatiana na msimamizi, akapandishwa kwa gari<br />

tukufu kabisa, na akapelekwa kwa kanisa kubwa la Notre Dame, kupata nafasi <strong>ya</strong> Umungu.<br />

Hapo akainuliwa kwa mazabahu <strong>ya</strong> juu, na kuabudiwa na wote waliokuwako.”<br />

Dini <strong>ya</strong> Papa alianza kufan<strong>ya</strong> kazi ambayo kukana Mungu kulikuwa kukitimiza,<br />

kuharakisha Ufransa kwa uharibifu. Waandishi kwa kutaja machukizo <strong>ya</strong> Mapinduzi<br />

wakasema kwamba mazidio ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lipaswa kuwekwa juu <strong>ya</strong> kiti cha mfalme na kanisa.<br />

(Tazama Nyongezo.) Kwa haki yote, mazidio ha<strong>ya</strong> inapaswa kuwekwa juu <strong>ya</strong> kanisa. Kanisa<br />

la Papa lilipotosha mafikara <strong>ya</strong> wafalme juu <strong>ya</strong> Matengenezo. Ujanja wa Roma ilisababisha<br />

ukali na ugandamizi kutoka kwa uliotumiwa mamlaka <strong>ya</strong> mfalme.<br />

Po pote injili ilikubaliwa, mafikara <strong>ya</strong> watu <strong>ya</strong>kaamshwa. Wakaanza kutupa minyorori<br />

(viungo v<strong>ya</strong> pingu vilivyowashikilia) kuwa watumwa wa ujinga na ibada <strong>ya</strong> sanamu. Wafalme<br />

waliviona na wakatetemeka kwa ajili <strong>ya</strong> uonevu wao.<br />

109

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!