12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Neema <strong>ya</strong> Mungu ikamsaidia. Mda wa juma <strong>ya</strong> kuteseka kabla <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong> mwisho,<br />

amani <strong>ya</strong> mbinguni ikajaa rohoni mwake. “Ninaandika barua hii”, akasema kwa rafiki, “katika<br />

gereza langu, na mkono wangu katika minyororo, kutazamia hukumu <strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong> kifo kesho. ...<br />

Wakati, kwa msaada wa Yesu Kristo, tutakutana tena katika amani <strong>ya</strong> kupendeza sana <strong>ya</strong><br />

maisha <strong>ya</strong>jayo, mtajifunza namna gani Mungu wa rehema amejionyesha mwenyewe mbele<br />

<strong>ya</strong>ngu, namna gani <strong>ya</strong> kufaa amenisaidia katikati <strong>ya</strong> majaribu na mashindano <strong>ya</strong>ngu.”<br />

Ushindi Ulioonekana Mbele<br />

Katika gereza hii <strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> ngome aliona ushindi wa imani <strong>ya</strong> kweli. Katika ndoto zake<br />

aliona Papa na maaskofu wakifuta picha za Kristo alizofananisha kwa ukuta za kanisa ndogo<br />

huko Prague. “Njozi hii ilimsumbua: lakini kesho <strong>ya</strong>ke akaona wapaka rangi wengi walikuwa<br />

wakitumika katika kurudisha picha hizi katika hesabu kubwa na rangi zenye kung’aa. ...<br />

Wapaga rangi, ... wakazungukwa na makutano mengi, wakasema kwa nguvu, Sasa Papa na<br />

maaskofu waje; hawata<strong>ya</strong>futa tena kamwe!” Akasema Mtengenezaji, “Sura <strong>ya</strong> Kristo<br />

haitafutwa kamwe. Walitamani kuuharibu, lakini utapakaliwa tena, up<strong>ya</strong> katika mioyo yote<br />

na wahubiri bora kuliko mimi mwenyewe.”<br />

Kwa wakati wa mwisho, Huss akapelekwa mbele <strong>ya</strong> baraza, mkutano mkubwa na kungaa-<br />

-mfalme, watoto wa kifalme, makamu (deputes) <strong>ya</strong> kifalme, wakuu (cardinals) maaskofumapadri,<br />

na makundi makubwa.<br />

Alipoitwa juu <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwisho, Huss akatangaza makatao <strong>ya</strong>ke kuwa hata<br />

kana. Kwa kukazia macho mfalme ambaye kwa ha<strong>ya</strong> neno lake la ahadi halikutimizwa<br />

kamwe, akatangaza: “Nilikusudia, kwa mapenzi <strong>ya</strong>ngu, nionekane mbele <strong>ya</strong> baraza hili, chini<br />

<strong>ya</strong> ulinzi wa watu wote na imani <strong>ya</strong> mfalme anayekuwa hapa.” Sigismuna akageuka uso kwa<br />

ha<strong>ya</strong>, namna macho <strong>ya</strong> wote <strong>ya</strong>ligeuka kumwangalia.<br />

Hukumu ilipokwisha kutangazwa, sherehe <strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong> ikaanza. Tena akaombwa kukana.<br />

Huss akajibu, kwa kugeukia watu: “kwa uso gani, basi, napaswa kuangalia mbinguni? Namna<br />

gani naweza kuangalia makutano ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> watu ambao nimewahubiri injili kamilifu? Sivyo;<br />

ninaheshimu wokovu wao zaidi kuliko mwili huu zaifu, ambayo sasa unaamriwa kufa.”<br />

Mavazi <strong>ya</strong> ukasisi <strong>ya</strong>kavuliwa moja kwa moja, kila askofu kutamka laana wakati alipokuwa<br />

akitimiliza sehemu <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> sherehe. Mwishowe, “wakaweka juu <strong>ya</strong> kichwa chake kofia ao<br />

kofia <strong>ya</strong> kiaskofu <strong>ya</strong> umbo la jengo la mawe <strong>ya</strong> kartasi, ambapo sanamu za kuogof<strong>ya</strong> za pepo<br />

mba<strong>ya</strong> zilipakwa rangi, na neno “Mzushi mkuu” yenye kuonekana kwa mbali mbele. “Furaha<br />

kubwa kuliko,” akasema Huss, “nitavaa taji la ha<strong>ya</strong> kwa ajili <strong>ya</strong> jina lako, o Yesu. Kwa ajili<br />

<strong>ya</strong>ngu ulivaa taji la miiba.”<br />

Huss Alikufa Juu <strong>ya</strong> Mti (Mti wa kufungia Watu wa Kuchomwa na Moto wanapo kuwa<br />

Wahai). Sasa akachukuliwa. Maandamano makubwa <strong>ya</strong>kafuata. Wakati kila kitu kilikuwa<br />

ta<strong>ya</strong>ri kwa ajili <strong>ya</strong> moto kuwashwa, mfia dini akashauriwa mioyo tena kuokoa maisha <strong>ya</strong>ke<br />

kwa kukana makosa <strong>ya</strong>ke. “Makosa gani”, akasema Huss, “nitakayokanusha? Najua mimi<br />

40

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!