12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

anawashikilia kuwa watumwa. Hakuna kitu kingine kisipokuwa uwezo wa Mungu, kwa jibu<br />

kwa maombi <strong>ya</strong> bidii, inayowezakuokoa nafsi hizi.<br />

Wote wanaolinda zambi inayojulikana kwa makusudi wanaalika majaribu <strong>ya</strong> Shetani.<br />

Wanajitenga wenyewe kutoka kwa Mungu na ulinzi wa malaika zake, na wanakuwa pasipo<br />

mateteo. “Na wakati wanapokuambia: Tafuta habari kwa watu wenye roho na kwa walozi<br />

wafumu, wanaolialia kama ndege na kunungunika, sema, haifai kwa watu kutafuta kwa<br />

Mungu wao? Waenda kwa watu waliokufa kwa ajili <strong>ya</strong> watu walio hai? Kwa sheria na kwa<br />

ushuhuda! Kama hawasemi sawasawa na neno hili, kweli hapana asubui kwao.” Isa<strong>ya</strong> 8:19,<br />

20.<br />

Kama watu wangekusudia kupokea ukweli juu <strong>ya</strong> asili <strong>ya</strong> mtu na hali <strong>ya</strong> wafu, wangeona<br />

katika imani <strong>ya</strong> kuwa roho <strong>ya</strong> watu waliokufa (spiritisme) uwezo wa Shetani na miujiza <strong>ya</strong><br />

uwongo. Lakini wengi wanafunga macho <strong>ya</strong>o kwa nuru, na Shetani anafuma mitego <strong>ya</strong>ke<br />

kwao. “Kwa sababu hawakupokea mapendo kwa kweli, wapate kuokolewa,” kwa sababu hii,<br />

“Mungu anawaletea nguvu <strong>ya</strong> upotevu, hata waamini uwongo.” 2 Watesalonika 2:10, 11.<br />

Wale wanaopinga imani <strong>ya</strong> kuwako kwa roho <strong>ya</strong> watu waliokufa (spiritisme)<br />

wanashambulia Shetani na malaika zake. Shetani hataacha hatua (=2,54cm) moja <strong>ya</strong> uwanja<br />

ila tu akisukumwa kwa nguvu na wajumbe wa mbinguni. Anaweza kutumia Maandiko na<br />

atapotosha maana <strong>ya</strong> mafundisho Wale watakaosimama kwa wakati huu wa hatari<br />

wanapashwa kufahamu wao wenyewe ushuhuda wa Maandiko.<br />

Pepo za mashetani wanaoiga ndugu ao rafiki watatokea kwa huruma za mapendo kwetu<br />

na watafan<strong>ya</strong> miujiza. Inatupasa kuwazuia kwa njia <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> Biblia <strong>ya</strong> kwamba wafu<br />

hawajui kitu cho chote na <strong>ya</strong> kwamba wale wanaotokea ni pepo za mashetani.<br />

Imani <strong>ya</strong>o yote haikuanzishwa kwa Neno la Mungu watadanganyiwa na kushindwa.<br />

Shetani “anatumika na madanganyo yote <strong>ya</strong> uovu, ” Na madanganyo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>taongezeka.<br />

Lakini wale wanaotafuta maarifa <strong>ya</strong> kweli na safi nafsi zao katika utii watapata katika Mungu<br />

wa kweli ulinzi wa hakika. Mwokozi angetuma upesi kila malaika kutoka mbinguni kulinda<br />

watu wake kuliko kuacha nafsi moja inayotumaini kushindwa na Shetani. Wale wanaojifariji<br />

wenyewe kwa uhakikisho kwamba hakuna azabu kwa ajili <strong>ya</strong> mwenye zambi, wanaokataa<br />

kweli ambayo Mbingu inayotoa kama ulinzi kwa siku <strong>ya</strong> taabu, watakubali madanganyo<br />

<strong>ya</strong>liyotolewa na Shetani, madai <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> madanganyo za watu waliokufa (spiritisme).<br />

Wenye kuzihaki wanazani mizaha matangazo <strong>ya</strong> Maandiko juu <strong>ya</strong> shauri la wokovu na<br />

malipo <strong>ya</strong>takayokuja <strong>ya</strong> wanaokataa kweli. Wanageuza jambo la kutia huruma kwa mawazo<br />

<strong>ya</strong> ushupavu, uzaifu, na mafundisho <strong>ya</strong> uchawi kama kutii matakwa <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Wamejitoa wote kwa mshawishi, wamejiunga karibu sana naye na kujazwa na roho <strong>ya</strong>ke, ili<br />

wasiwe na upungufu kutoka katika mtego wake.<br />

Msingi wa kazi <strong>ya</strong> Shetani uliwekwa kwa matumaini iliyotolewa kwa Hawa katika Edeni:<br />

“Hakika hamutakufa”. “Siku mutakapokula matunda <strong>ya</strong>ke, macho yenu <strong>ya</strong>tafunguliwa, na<br />

227

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!