12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Ulimwengu mzima wenye uovu unasimama kwakushitaki kwa ajili <strong>ya</strong> maasi makubwa<br />

juu <strong>ya</strong> kupinga serkali <strong>ya</strong> mbinguni. Hawana yeyote kwa kutetea maneno <strong>ya</strong>o; hawana sababu<br />

yo yote; na hukumu <strong>ya</strong> mauti <strong>ya</strong> milele inatangazwa juu <strong>ya</strong>o.<br />

Waovu wanaona kile walichopotewa kwa sababu <strong>ya</strong> uasi wao. “Yote hii”, nafsi iliyopotea<br />

inalia, “ningaliweza kuwa nayo, Ee, upumbafu wa namna gani! nimebadili amani, furaha, na<br />

heshima kwa ajili <strong>ya</strong> uba<strong>ya</strong>, sifa mba<strong>ya</strong>, na kukata tamaa”. Wote wanaona <strong>ya</strong> kwamba<br />

kufukuzwa kwao mbinguni ni kwa haki. Katika maisha <strong>ya</strong>o wametangaza: “Hatuwezi kuwa<br />

na mtu huyu (Yesu) kutawala juu yetu”.<br />

Shetani Ameshindwa<br />

Kama vile katika bumbuanzi waovu wanatazama ibada <strong>ya</strong> kuvikwa kwa taji kwa Mwana<br />

wa Mungu. Wanaona mikononi mwake mbao za sheria <strong>ya</strong> Mungu walizozizarau.<br />

Wanashuhudia nguvu <strong>ya</strong> ibada kutoka kwa waliookolewa; na kama wimbi la sauti za nyimbo<br />

zinapoenea kwa makutano inje <strong>ya</strong> mji, wote wanapaaza sauti, “Haki na kweli ndizo njia zako,<br />

wewe Mfalme wa watakatifu”. Ufunuo 15:3. Kwa kuanguka na kumusujudu, wakamuabudu<br />

mfalme wa uzima.<br />

Shetani anaonekana kama anahangaika. Mara kerubi wa kufunika, anakumbuka mahali<br />

gani ameanguka. Kutoka kwa baraza pahali alipoheshimiwa zamani ameondolewa milele.<br />

Anaona sasa mwingine anayesimama karibu <strong>ya</strong> Baba, malaika wa umbo lenye utukufu.<br />

Anajua <strong>ya</strong> kwamba cheo cha malaika huyu kingeweza kuwa chake.<br />

Ufahamu unakumbuka makao <strong>ya</strong> hali <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> usafi, amani na kutoshelewa ilivyokuwa<br />

<strong>ya</strong>ke mpaka wakati wa uasi wake. Anakumbuka kazi <strong>ya</strong>ke miongoni mwa watu na matokeo<br />

<strong>ya</strong>ke--uadui wa mtu kwa watu wenzake, maangamizi <strong>ya</strong> kutisha <strong>ya</strong> maisha, kupinduka kwa<br />

viti v<strong>ya</strong> enzi, makelele, vita, na mapinduzi. Anakumbuka bidii zake za daima kwa kupinga<br />

kazi <strong>ya</strong> Kristo. Anapoangalia matunda <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke anaona tu kushindwa. Mara kwa mara<br />

katika maedeleo <strong>ya</strong> vita kuu amekuwa akishindwa na kulazimishwa kuacha.<br />

Kusudi la muasi mkuu lilikuwa daima kuhakikisha kuwa serkali <strong>ya</strong> Mungu ndiyo<br />

msimamizi wa uasi. Ameongoza makundi mengi kukubali maelezo <strong>ya</strong>ke. Kwa maelfu <strong>ya</strong><br />

miaka mkuu huyu wa mapatano <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> maba<strong>ya</strong> ameficha uwongo kuwa haki. Lakini<br />

wakati umefika sasa wakati historia na tabia <strong>ya</strong> Shetani zitakapofunuliwa. Katika juhudi <strong>ya</strong>ke<br />

<strong>ya</strong> mwisho kwa kuondoa Kristo kwa kiti cha enzi, kuharibu watu Wake, na kukamata makao<br />

<strong>ya</strong> Mji wa Mungu, mshawishi mkubwa amekwisha kufunuliwa kabisa. Wale waliojiunga naye<br />

wanaona kushindwa kabisa kwa kazi <strong>ya</strong>ke.<br />

Shetani anaona <strong>ya</strong> kwamba uasi wake wa mapenzi haukumstahilisha kuingia mbinguni.<br />

Amezoeza nguvu zake kwa vita kumpinga Mungu; usafi na umoja wa mbinguni ungekuwa<br />

kwake mateso makubwa. Anainama chini na kukubali haki <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke.<br />

274

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!