12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Wycliffe akaitwa toka kwa mkutano kwenda kwa baraza kuu la taifa (parlement). Kwa<br />

uhodari akashitaki serkali <strong>ya</strong> Kanisa la Rome mbele <strong>ya</strong> baraza la taifa na akaomba<br />

matengenezo <strong>ya</strong> desturi mba<strong>ya</strong> zilizotolewa na kanisa. Adui zake wakakosa lakufan<strong>ya</strong>.<br />

Ilikuwa ikitazamiwa kwamba Mtengenezaji, katika miaka <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> uzee, peke <strong>ya</strong>ke bila rafiki,<br />

angeinama kwa mamlaka <strong>ya</strong> mfalme. Lakini baadala <strong>ya</strong>ke, Baraza likaamsha na mwito wa<br />

kugusa moyo uliofanywa na ghasia (makelele) za Wycliffe, ukavunja amri <strong>ya</strong> kuteso, na<br />

Mtengenezaji alikuwa huru tena.<br />

Mara <strong>ya</strong> tatu aliletwa hukumunu, na mbele <strong>ya</strong> mahakama makuu <strong>ya</strong> Kanisa <strong>ya</strong> kifalme.<br />

Hapa sasa kazi <strong>ya</strong> Mtengenezaji itasimamishwa. Hii ilikuwa mawazo <strong>ya</strong> wafuasi wa Papa.<br />

Kama walitimiza kusudi zao, Wycliffe atatoka katika nyumba <strong>ya</strong> hukumu na na kuelekea<br />

kwenye n<strong>ya</strong>li za moto.<br />

Wycliffe Anakataa Kukana<br />

Lakini Wycliffe hakukana. Pasipo hofu akashikilia mafundisho <strong>ya</strong>ke na sukumia mbali<br />

mashitaka <strong>ya</strong> watesi wake. Akaalika wasikilizi wake mbele <strong>ya</strong> hukumu la Mungu na akupima<br />

uzito wa madanganyo na wongo wao katika mizani <strong>ya</strong> ukweli <strong>ya</strong> milele. Uwezo wa Roho<br />

Mtakatifu ulikuwa juu <strong>ya</strong> wasikilizaji. Kama mishale kutoka kwa mfuko wa mishale <strong>ya</strong><br />

Bwana, maneno <strong>ya</strong> Mtengenezaji <strong>ya</strong>katoboa mioyo <strong>ya</strong>o. Mashitaka <strong>ya</strong> upinga dini,<br />

waliyo<strong>ya</strong>leta juu <strong>ya</strong>ke, aka<strong>ya</strong>rudisha kwao.<br />

“Pamoja na nani, munavyo fikiri,” akasema, “munayeshindana naye? na mzee anaye kuwa<br />

kwa ukingo wa kaburi? la! pamoja na ukweli-Ambayo unakuwa na nguvu kuliko wewe, na<br />

utakushinda”. Aliposema vile, akatoka na hata mtu moja wa maadui zake hakujaribu kumzuia.<br />

Kazi <strong>ya</strong> Wycliffe ilikuwa karibu kutimizwa, lakini mara nyingine tena alipashwa kutoa<br />

ushuhuda wa injili. Aliitwa kwa kusikilizwa mbele <strong>ya</strong> baraza la kuhukumu la kipapa kule<br />

Roma, ambalo kila mara lilikuwa likimwanga damu <strong>ya</strong> watakatifu. Msiba wa kupooza ulizuia<br />

safari ile. Lakini ingawa sauti <strong>ya</strong>ke haikuweza kusikiwa pale Roma, aliweza kusema kwa njia<br />

<strong>ya</strong> barua. Mtengenezaji akamwandikia Papa barua, ambayo, ingawa <strong>ya</strong> heshima na kikristo<br />

moyoni, ilikuwa kemeo kali kwa ukuu na kiburi k<strong>ya</strong> jimbo la Papa.<br />

Wycliffe akaonyesha kwa Papa na maaskofu wake upole na unyenyekevu wa Kristo,<br />

muonyesha wazi si kwao tu bali kwa miliki <strong>ya</strong> Wakristo wote tofauti kati <strong>ya</strong>o na Bwana<br />

ambaye wanajidai kuwa wajumbe wake.<br />

Wycliffe alitumainia kabisa kwamba maisha <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>ngekuwa bei <strong>ya</strong> uaminifu wake.<br />

Mfalme, Papa na maaskofu wakajiunga kwa kutimiza maangamizi <strong>ya</strong>ke, na ilionekana kweli<br />

kwamba kwa mda wa miezi michache ikiwezekana wangemletea kifo kwa ajili <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong><br />

dini. Lakini uhodari wake ulikuwa imara.<br />

Mtu ambaye kwa wakati wote wa maisha <strong>ya</strong>ke alisimama imara katika kutetea ukweli<br />

hakuna mtu wakusumbuliwa kwa ajili <strong>ya</strong> adui zake. Bwana alikuwa mlinzi wake; na sasa,<br />

33

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!