12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Wapadri wakashtushwa kwa kufikiri kwamba watu wote wangeweza sasa kuzungumza<br />

pamoja nao Neno la Mungu na kwamba ujinga wao wenyewe ungehatarishwa. Roma ikaalika<br />

mamlaka <strong>ya</strong>ke yote kuzuia mwenezo wa Maandiko. Lakini kwa namna ilivyozidi kukataza<br />

Biblia, ndivyo hamu <strong>ya</strong> watu ikazidi kujua ni nini iliyofundishwa kwa kweli. Wote walioweza<br />

kusoma wakaichukua kwao na hawakuweza kutoshelewa hata walipokwisha kujifunza<br />

sehemu kubwa kwa moyo. Mara moja Luther akaanza utafsiri wa Agano la Kale.<br />

Maandiko <strong>ya</strong> Luther <strong>ya</strong>kapokewa kwa furaha sawasawa katika miji na katika vijiji. “Yale<br />

Luther na rafiki zake waliyoandika, wengine waka<strong>ya</strong>tawan<strong>ya</strong>. Watawa, waliposadikishwa juu<br />

<strong>ya</strong> uharamu wa kanuni za utawa, lakini wajinga sana kwa kutangaza neno la Mungu ...<br />

wakauzisha vitabu v<strong>ya</strong> Luther na rafiki zake. Ujeremani kwa upesi ukajaa na wauzishaji wa<br />

vitabu wajasiri.”<br />

Kujifunza Biblia Mahali Pote<br />

Usiku waalimu wa vyuo v<strong>ya</strong> vijiji wakasoma kwa sauti kubwa kwa makundi madogo<br />

<strong>ya</strong>liyokusanyika kando <strong>ya</strong> moto. Kwa juhudi yote roho zingine zikahakikishwa kwa ukweli.<br />

“Kuingia kwa maneno <strong>ya</strong>ko kunaleta nuru; kunamupa mujinga ufahamu.” Zaburi 119:130.<br />

Wakatoliki walioachia mapadri na watawa kujifunza Maandiko sasa wakawaalika kwa<br />

kuonyesha uwongo wa mafundisho map<strong>ya</strong>. Lakini, wajinga kwa Maandiko, mapadri na<br />

watawa wakashindwa kabisa. “Kwa huzuni,” akasema mwandishi mmoja mkatoliki, “Luther<br />

alishawishi wafuasi wake kwamba haikufaa kuamini maneno mengine isipokuwa Maandiko<br />

matakatifu.” Makundi <strong>ya</strong>kakusanyika kusikia mambo <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong>liyotetewa na watu wa elimu<br />

ndogo. Ujinga wa hawa watu wakuu ukafunuliwa kwa kuonyesha uongo wa mabishano <strong>ya</strong>o<br />

kwa msaada wa mafundisho rahisi <strong>ya</strong> Neno la Mungu. Watumikaji, waaskari, wanawake, na<br />

hata watoto, wakajua Biblia kuliko mapadri na waalimu wenye elimu.<br />

Vijana wengi wakajitoa kwa kujifunza, kuchunguza Maandiko na kujizoeza wenyewe na<br />

kazi bora <strong>ya</strong> watu wa zamani. Walipokuwa na akili yenye juhudi na mioyo hodari, vijana<br />

hawa wakapata haraka maarifa ambayo kwa wakati mrefu hakuna mtu aliweza kushindana<br />

nao. Watu wakapata katika mafundisho map<strong>ya</strong> mambo ambayo <strong>ya</strong>lileta matakwa <strong>ya</strong> roho zao,<br />

na wakageuka kutoka kwa wale waliowalea kwa wakati mrefu na maganda <strong>ya</strong> bure <strong>ya</strong> ibada<br />

za sanamu na maagizo <strong>ya</strong> wanadamu.<br />

Wakati mateso <strong>ya</strong>lipoamshwa juu <strong>ya</strong> waalimu wa ukweli, wakafuata agizo hili la Kristo:<br />

“Na wakati wanapo watesa ninyi katika mji huu, kimbilieni kwa mji mwengine.” Matayo<br />

10:23. Wakimbizi wakapata mahali mlango karibu ulifunguka kwao, na waliweza kuhubiri<br />

Kristo, wakati mwengine ndani <strong>ya</strong> kanisa ao katika nyumba <strong>ya</strong> faragha ao mahali pa wazi.<br />

Kweli ikatawanyika kwa uwezo mkubwa usio wa kuzuia.<br />

Ni kwa bure watawala wa kanisa na wa serkali walitumia kifungo, mateso, moto, na<br />

upanga. Maelfu <strong>ya</strong> waaminifu wakatia muhuri kwa imani <strong>ya</strong>o kwa kutumia damu <strong>ya</strong>o, na<br />

75

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!