12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 6. Mashujaa Wawili<br />

Mwanzoni kwa karne <strong>ya</strong> tisa Biblia ilikuwa imekwisha kutafsiriwa na ibada <strong>ya</strong> watu wote<br />

ikafanyika katika lugha <strong>ya</strong> watu wa Bohemia. Lakini Gregoire VII alikusudia kuweka watu<br />

utumwani, na tangazo likatolewa kukataza ibada <strong>ya</strong> watu katika lugha <strong>ya</strong> Kibohemia. Papa<br />

akatangaza kwamba “ilikuwa ni furaha kwa Mwenye enzi yote kwamba ibada <strong>ya</strong>ke ifanyiwe<br />

katika lugha isiyojulikana.” Lakini Mungu anaweka ta<strong>ya</strong>ri wajumbe kwa kulinda kanisa.<br />

Wavaudois wengi na Waalbigenses, walipofukuzwa kwa ajili <strong>ya</strong> mateso, wakaja Bohemia.<br />

Wakatumika kwa bidii katika siri. Kwa hiyo imani <strong>ya</strong> kweli ikalindwa.<br />

Mbele <strong>ya</strong> siku za Huss kulikuwa watu katika Bohemia waliohukumu machafu ndani <strong>ya</strong><br />

kanisa. Vitisho v<strong>ya</strong> serkali <strong>ya</strong> kanisa vikaamshwa, na mateso <strong>ya</strong>kafunguliwa juu <strong>ya</strong> injili.<br />

Baada <strong>ya</strong> mda ikaamriwa kwamba wote waliotoka kwa ibada <strong>ya</strong> kanisa la Roma walipaswa<br />

kuchomwa. Lakini Wakristo, wakaendelea mbele kushinda kwa kusudi lao. Mmoja<br />

akatangaza alipokuwa akifa, “Kutainuka mmoja kutoka miongoni mwa watu, bila upanga<br />

wala mamlaka, na juu <strong>ya</strong>ke hawataweza kumushinda.” Ta<strong>ya</strong>ri mmoja alikuwa akipanda,<br />

ambaye ushuhuda wake wa kupinga Roma utashitusha mataifa.<br />

Yohana Huss alikuwa mnyenyekewa tangu kuzaliwa na alikuwa ameachwa mapema<br />

<strong>ya</strong>tima kwa ajili <strong>ya</strong> kifo cha baba <strong>ya</strong>ke. Mama <strong>ya</strong>ke mtawa, kuzania elimu na kuogopa <strong>ya</strong><br />

Mungu kama hesabu kuwa thamani <strong>ya</strong> vile tunavyo, akatafuta kulinda urithi huu kwa ajili <strong>ya</strong><br />

kijana wake. Huss alijifunza kwa chuo cha jimbo, baadaye akaenda kwa chuo kikubwa<br />

(universite) kule Prague, kwa sababu <strong>ya</strong> umaskini wake akapokelewa kwa bure.<br />

Kwa chuo kikubwa, kwa upesi Huss akajitofutisha kwa ajili <strong>ya</strong> maendeleo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> upesi.<br />

Upole wake, alipokwisha kupata mwenendo (tabia) ukampatia heshima <strong>ya</strong> ulimwengu.<br />

Alikuwa mshiriki mwaminifu wa Kanisa la Roma na mwenye kutafuta na juhudi mibaraka <strong>ya</strong><br />

kiroho. Kanisa la Roma linajidai kutoa. Baada <strong>ya</strong> kutimiza majifunzo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> college,<br />

akaingia katika ukasisi (upadri). Kwa haraka alipofikia cheo kikuu, akapelekwa kwa jumba<br />

la mfalme. Akafanywa pia mwalimu (fundi) wa chuo kikuu na baadaye mkuu wa chuo kikuu<br />

(recteur). Mwanafunzi mwema munyenyekevu akawa kiburi cha inchi <strong>ya</strong>ke, jina lake<br />

likajulikana po pote katika Ula<strong>ya</strong>.<br />

Jerome, ambaye baadaye alishirikiana na Huss, akaleta toka Uingereza maandiko <strong>ya</strong><br />

Wycliffe. Malkia wa Uingereza, aliyegeuzwa na mafundisho <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong> Wycliffe, alikuwa<br />

binti wa mfalme wa Bohemia. Kwa njia <strong>ya</strong> mvuto wake kazi za Mtengenezaji zikatangazwa<br />

sana katika inchi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kuzaliwa. Huss akainama na kukubali kwa heshima matengenezo<br />

<strong>ya</strong>liyoletwa. Ta<strong>ya</strong>ri, ingawa hakuijua, akaingi kwa njia ambayo iliweza kumwongoza mbali<br />

sana <strong>ya</strong> Roma.<br />

Picha mbili Inamvuta Huss<br />

36

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!