12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

watu wa Bwana uamsho wa utawa wa zamani za mababu ambao haujashuhudiwa tangu<br />

n<strong>ya</strong>kati za mitume. Roho <strong>ya</strong> Mungu itamwangiwa. Wengi watajitenga kwa makanisa hayo<br />

ambayo mapendo <strong>ya</strong> dunia hii <strong>ya</strong>liondoa upendo kwa Mungu na Neno lake. Wahubiri wengi<br />

na watu watakubali kwa furaha zile kweli kubwa ambazo zinata<strong>ya</strong>risha watu kwa kuja kwa<br />

Bwana mara <strong>ya</strong> pili.<br />

Adui wa roho anataka kuzuia kazi hii, na kabla <strong>ya</strong> kufika kwa mwenendo wa namna hiyo,<br />

atafan<strong>ya</strong> nguvu kuuzuia kwa njia <strong>ya</strong> kuingiza mwigo. Katika makanisa <strong>ya</strong>le ambayo anaweza<br />

kuleta chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong>ke ataifan<strong>ya</strong> kuonekana kwamba baraka <strong>ya</strong> kipekee <strong>ya</strong> Mungu<br />

imemwangwa juu <strong>ya</strong>o. Makutano <strong>ya</strong>tashangilia, “Mungu anatumika kwa ajabu,” wakati ile<br />

kazi ni <strong>ya</strong> roho ingine. Chini <strong>ya</strong>mtindo wa dini, Shetani atatafuta kueneza mvuto wake kwa<br />

ulimwengu wa Wakristo. Hapo kunakuwa mwamsho wa maono, mchanganyiko wa kweli na<br />

uwongo, uliotengenezwa vizuri sana kwa kudangan<strong>ya</strong>.<br />

Lakini katika nuru <strong>ya</strong> Neno la Mungu si vigumu kutambua tabia <strong>ya</strong> kazi hizi. Pahali pote<br />

watu wanapozarau ushuhuda wa Biblia, kugeukia mbali na hizi zilizo zaili zinazo jaribu roho<br />

ambazo zinaomba kujikana mwenyewe na kukana dunia, hapo tunaweza kuwa na hakika<br />

kwamba baraka <strong>ya</strong> Mungu haikutolewa. Na kwa amri, “Mutawatambua kwa njia <strong>ya</strong> matunda<br />

<strong>ya</strong>o,” (Matayo 7:16), ni ushuhuda kwamba kazi hizi si kazi <strong>ya</strong> Roho <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Ukweli <strong>ya</strong> Neno la Mungu inakuwa ngao juu <strong>ya</strong> madanganyo <strong>ya</strong> Shetani. Kuzarau kweli<br />

hizi kulifungua mlango kwa maovu <strong>ya</strong>nayoenea sasa katika ulimwengu. Umuhimu wa sheria<br />

<strong>ya</strong> Mungu umesahauliwa kwa eneo kubwa sana. Wazo mba<strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />

limeongoza kwa makosa katika toba na utakaso, kwa kushusha kipimo cha utawa. Hapa ndipo<br />

panapopatikana siri <strong>ya</strong> ukosefu wa Roho <strong>ya</strong> Mungu katika maamsho <strong>ya</strong> wakati wetu.<br />

Sheria <strong>ya</strong> Uhuru<br />

Waalimu wengi wa dini wanatetea kwamba Kristo kwa mauti <strong>ya</strong>ke aliondoa sheria.<br />

Wengine wanaionyesha kama kongwa mzito wa kuhuzunisha, na kwa kinyume “utumwa” wa<br />

sheria walioonyesha “uhuru” wa kufurahia chini <strong>ya</strong> habari njema.<br />

Lakini si vile manabii na mitume walivyofan<strong>ya</strong> mbele <strong>ya</strong> sheria takatifu <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Akasema Dawidi: “Na nitatembea huru kwa kuwa nimetafuta maagizo <strong>ya</strong>ko.” Zaburi 119:45.<br />

Mtume Yakobo anatumia Amri kumi kama “sheria .kamili, <strong>ya</strong> uhuru.” Yakobo 1:25.<br />

Mfumbuzi anatangaza baraka juu <strong>ya</strong>o “wanaoshika amri zake (wanaofua nguo zao), wawe na<br />

haki <strong>ya</strong> kula mti wa uzima, na kuingia katika mji kwa milango <strong>ya</strong>ke.” Ufunuo 22:14.<br />

Kama ingewezekana kwa sheria kugeuzwa ao kuwekwa pembeni, Kristo hangehitaji kufa<br />

kwa kuokoa mtu kwa azabu <strong>ya</strong> zambi. Mwana wa Mungu alikuja “kutukuza sheria na<br />

kuifanyiza kuwa na heshima.” Isa<strong>ya</strong> 42:21. Akasema: “Musizanie nilikuja kuharibu torati”;<br />

“hata mbingu na inchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja haitaondoka, hata yote<br />

<strong>ya</strong>timie.” Juu <strong>ya</strong>ke mwenyewe akasema: “Ninafurahi kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>ko, Ee Mungu<br />

wangu; Ndiyo, sheria <strong>ya</strong>ko ni moyoni mwangu.” Matayo 5:17,18; Zaburi 40:8.<br />

190

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!