12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

imani <strong>ya</strong>o ilijengwa juu <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> ndugu zao, walitoshelewa na nuru yenye kuwa<strong>ya</strong>wa<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong> maono, bila ufahamu kamili wa kweli wala kazi halisi <strong>ya</strong> neema ndani <strong>ya</strong> moyo. Hawa<br />

wakaendelea “kukutana” na Bwana katika matazamio <strong>ya</strong> zawadi <strong>ya</strong> mara moja lakini<br />

hawakuta<strong>ya</strong>rishwa kwa kukawia na uchungu. Imani <strong>ya</strong>o ikaanguka.<br />

“Wakati bwana arusi alipokawia, wao wote wakasinzia na kulala usingizi.” Kwa kukawia<br />

kwa bwana arusi ni mfano wa kupitisha wakati, kukata tamaa, ni kukawia kwenye kuonekana<br />

kwa inje. Wale ambao imani <strong>ya</strong>o iliimarishwa juu <strong>ya</strong> ujuzi wa kipekee wa Biblia walikuwa<br />

na mwamba chini <strong>ya</strong> miguu <strong>ya</strong>o ambayo mawimbi <strong>ya</strong> uchungu ha<strong>ya</strong>kuweza kuharibu. “Wao<br />

wote wakasinzia na kulala usingizi,” kundi moja katika kuacha imani <strong>ya</strong>o, lingine likangoja<br />

kwa uvumilivu hata mwangaza wazi zaidi ulipaswa kutolewa. Wale wa kijuujuu hawakuweza<br />

tena kuegemea kwa imani <strong>ya</strong> ndugu zao. Kila mmoja anapaswa kusimama ao kuanguka yeye<br />

mwenyewe.<br />

Ukaidi wa Dini Unaonekana<br />

Tangu wakati huu, ushupavu wa dini ukaanza kuonekana. Wengine wakaonyesha juhudi<br />

za ukaidi. Mawazo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> ukaidi <strong>ya</strong>kakutana na kutokuwa na huruma kwa jamii kubwa <strong>ya</strong><br />

Waadventiste, ndipo wakaleta laumu juu <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> ukweli.<br />

Shetani alikuwa akipoteza watu wake, na kwa kuleta laumu kwa kazi <strong>ya</strong> Mungu, akatafuta<br />

kudangan<strong>ya</strong> wengine waliokubali imani na kuwaendesha kwa nguvu kwa kupita kipimo.<br />

Ndipo wajumbe wake wakawa ta<strong>ya</strong>ri wakivisia kupata kosa lo lote, kila kitu kisichokuwa<br />

kitendo cha kukubaliwa, na kulishikilia katika hali <strong>ya</strong> kupita kipimo ili kufan<strong>ya</strong> Waadventiste<br />

wachukiwe. Kama angeweza kuleta watu wengi wa kutangaza imani <strong>ya</strong> kuja kwa mara <strong>ya</strong><br />

pili, wakati uwezo wake ungeendelea kutawala mioyo <strong>ya</strong>o, angepata faida Kubwa.<br />

Shetani ni “mushitaki wa ndugu zetu.” Ufunuo 12:10. Roho <strong>ya</strong>ke inaongoza watu<br />

kutazama makosa <strong>ya</strong> watu wa Bwana na kuwashikilia akiwatangaza, lakini matendo <strong>ya</strong>o<br />

mema <strong>ya</strong>napita bila kutajwa. Katika historia yote <strong>ya</strong> kanisa hakuna matengenezo<br />

<strong>ya</strong>liyofanywa bila kukutana na vizuizi vikubwa. Po pote ambapo Paulo alisimamisha kanisa<br />

wengine waliojidai kupokeo imani wakaingiza ujushi. Luther pia alivumilia kwa watu<br />

washupavu waliojidai kwamba Mungu alinena kwa njia <strong>ya</strong>o, walioweka mawazo <strong>ya</strong>o<br />

wenyewe juu <strong>ya</strong> Maandiko. Wengi walidanganywa kwa njia <strong>ya</strong> waalimu wap<strong>ya</strong> na<br />

wakaungana na Shetani kwa kuondoa kwa nguvu mambo ambayo Mungu aliongoza Luther<br />

kujenga. Wesleys alikutana na werevu wa Shetani katika kusukuma katika ushupavu watu<br />

wasiyokuwa imara na wasiotakaswa.<br />

William Miller hakuwa na huruma kwa ushupavu. “Ibilisi,” akasema Miller, “anakuwa na<br />

nguvu nyingi kwa mioyo <strong>ya</strong> wengine kwa siku <strong>ya</strong> leo.” “Mara nyingi, uso wa kungaa na<br />

upendo, shavu, lililolowana, maneno <strong>ya</strong> kukatwa na machozi, vimenipa ushahidi wa utawa<br />

wa moyo kuliko makelele yote katika ukristo.”<br />

160

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!