12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

chache tu mbele <strong>ya</strong> kutimilika kwake akaandika: “Itamalizika kwa tarehe 11 <strong>ya</strong> Agosti, 1840,<br />

wakati mamlaka <strong>ya</strong> Ottoman katika Constantinople kuweza kutazamiwa kuvunjika.”<br />

Maonyo Yalitimilika<br />

Kwa wakati kabisa uliotajwa, Turkey ilikubali ulinzi wa mamlaka za mapatano <strong>ya</strong> Ula<strong>ya</strong><br />

na kwa hivyo ikajitia yenyewe chini <strong>ya</strong> utawala wa mataifa <strong>ya</strong> Kikristo. Jambo kwa halisi<br />

kweli likatimiliza ukashiri. (Tazama Nyongezo.) Watu wengi walisadikishwa na kanuni za<br />

maelezo <strong>ya</strong> unabii <strong>ya</strong>liyokubaliwa na Miller na wafuasi wake. Watu wenye elimu na cheo<br />

wakajiunga pamoja na Miller katika kuhubiri na kutangaza maonyo <strong>ya</strong>ke. Tangu 1840 hata<br />

1844 kazi ikaenea kwa upesi.<br />

William Miller alikuwa na akili za kichwa cha nguvu, na akaongeza kwa ha<strong>ya</strong> hekima <strong>ya</strong><br />

mbinguni kwa kujiunga mwenyewe na Chemchemi <strong>ya</strong> hekima. Aliamuru heshima po pote,<br />

ukamilifu na tabia njema vilitumiwa. Kwa damani unyenyekevu wa Kikristo, alikuwa<br />

muangalifu na mpole kwa wote, ta<strong>ya</strong>ri kusikiliza wengine na kupima mabishano <strong>ya</strong>o.<br />

Alijaribu maelezo yote kwa Neno la Mungu, na mawazo <strong>ya</strong>ke halisi na maarifa <strong>ya</strong> Maandiko<br />

vikamwezesha kukanusha makosa.<br />

Lakini, kama pamoja na Watengenezaji wa kwanza, kweli alizoonyesha hazikukubaliwa<br />

na walimu wengi wa dini. Kwa hivyo hawa hawakuweza kudumisha hali <strong>ya</strong>o kwa Maandiko,<br />

wakarejea kwa mafundisho <strong>ya</strong> watu, ha<strong>ya</strong> kiasili cha Wababa. Lakini Neno la Mungu lilikuwa<br />

ni ushuhuda pekee uliokubaliwa na wahubiri wa kweli wa kuja kwa Yesu. Cheko na zarau<br />

vilitumiwa kwa upande wa adui katika kusingizia wale waliotazamia kwa furaha juu <strong>ya</strong> kurudi<br />

kwa Bwana wao na walikuwa wakijitahidi kuishi maisha takatifu na kuta<strong>ya</strong>risha wengine kwa<br />

kuonekana kwake. Ilifanyika kuonyesha zambi kwa kujifunza mambo <strong>ya</strong> unabii wa kuja kwa<br />

Kristo na mwisho wa dunia. Kwa hivyo kazi <strong>ya</strong> mapadri wa watu wengi ikapunguza imani<br />

katika Neno la Mungu. Mafundisho <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>kafan<strong>ya</strong> watu kuwa watu kutokuwa Waaminifu,<br />

na wengi wakajiruhusu kwa kutembea kwa tamaa mba<strong>ya</strong>. Halafu watenda maovu<br />

waka<strong>ya</strong>weka yote juu <strong>ya</strong> Waadventisti.<br />

Ingawa Miller akavuta makundi <strong>ya</strong> wasikilizi wenye akili, jina lake lilitajwa kwa shida na<br />

magazeti <strong>ya</strong> dini isipokuwa tu kwa cheko ao mashitaki. Waovu, waliposukumwa na walimu<br />

wa dini, wakakimbilia kwa mabisho <strong>ya</strong> matukano juu <strong>ya</strong>ke na kazi <strong>ya</strong>ke. Mzee huyu mwenye<br />

imvi aliyeacha makao <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kupendeza kwa kusafiri kwa garama <strong>ya</strong>ke mwenyewe kuletea<br />

dunia onyo kubwa la hukumu inayokaribia akasitakiwa kama upumbavu.<br />

Usikivu na Kutokuamini<br />

Usikivu ukaendelea kuongezeka. Kutoka kwa makumi mawili na mamia, makutano<br />

<strong>ya</strong>kaongezeka kwa maelfu mengi. Lakini baada <strong>ya</strong> wakati, upinzani ulionekana juu <strong>ya</strong> hawa<br />

waliogeuka, makanisa <strong>ya</strong>kaanza kuchukua hatua za kutiisha kwa wale waliokubali maoni <strong>ya</strong><br />

Miller. Jambo hili likaita jibu kwa kalamu <strong>ya</strong>ke: “Kama tunakuwa wakosefu ninawaomba<br />

mtuonyeshe kwa namna gani kosa letu linakuwa kutoka katika neno la Mungu; tulichekwa <strong>ya</strong><br />

136

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!