12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kukaribia kwake huko Worms kukafan<strong>ya</strong> msukosuko mkubwa. Rafiki wakatetemeka kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> usalama wake; maadui wakaogopa kwa ajili <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong>o. Kwa ushawishi wa<br />

wapadri akalazimishwa kwenda kwa ngome <strong>ya</strong> mwenye cheo mwema, mahali, ilitangazwa,<br />

magumu yote <strong>ya</strong>ngeweza kutengenezwa kwa kirafiki. Warafiki wakaonyesha hatari<br />

zilizomngoja. Luther, bila kutikisika, akatangaza: “Hata kukiwa mashetani wengi ndani <strong>ya</strong><br />

mji wa Worms kama vigae juu <strong>ya</strong> nyumba, lazima nitaingia.”<br />

Alipofika Worms, makundi <strong>ya</strong> watu wengi sana <strong>ya</strong>kakusanyika kwa milango <strong>ya</strong> mji kwa<br />

kumukaribisha. Kulikuwa wasiwasi nyingi sana. “Mungu atakuwa mkingaji wangu,” akasema<br />

Luther alipokuwa akishuka kwa gari lake. Kufika kwake kulijaza wapadri hofu kuu. Mfalme<br />

akawaita washauri wake. Ni upande gani unaopashwa kufuatwa? Padri mmoja mkali<br />

akatangaza: “Tumeshauriana mda mrefu juu <strong>ya</strong> jambo hili. Mfalme mtukufu uondoshe mbio<br />

mtu huyu. Upesi, Sigismund hakuwezesha John Huss kuchomwa? Hatulazimishwe kutoa<br />

cheti cha mpinga imani <strong>ya</strong> dini wala kuliheshimu.m “Hapana,” akasema mfalme,<br />

“tunapashwa kushika ahadi yetu.” Tulipatana kwamba Mtengenezaji angepashwa kusikiwa.<br />

Mji wote ulitamani kuona mtu huyu wa ajabu. Luther, mwenye kuchoka sababu <strong>ya</strong> safari,<br />

alihitaji ukim<strong>ya</strong> na pumziko. Lakini alifurahia pumziko <strong>ya</strong> saa chache wakati watu wa cheo<br />

kikuu, wenye cheo, wapadri, na wanainchi walimuzunguka kabisa. Kati <strong>ya</strong> watu hawa<br />

walikuwa wenye cheo walioomba na juhudi kwa mfalme matengenezo <strong>ya</strong> matumizi maba<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong> kanisa. Maadui pamoja na rafiki walifika kumtazama mwa shujaa. Kuvumulia kwake<br />

kulikuwa imara na kwa uhodari. Uso wake mdogo wakufifia, ulikuwa uso wa upole na hata<br />

wa furaha. Juhudi nyingi <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong>ke ikatoa uwezo ambao hata maadui zake hawakuweza<br />

kusimama kabisa. Wengine walisadikishwa kwamba mvuto wa Mungu ulikuwa naye;<br />

wengine wakatangaza, kama walivyofan<strong>ya</strong> wafarisayo juu <strong>ya</strong> Kristo: “Ana pepo.” Yoane<br />

10:20.<br />

Kwa siku iliyofuata afisa mmoja wa mfalme akaagizwa kumpeleka Luther kwa chumba<br />

kikubwa cha wasikilizaji. Kila njia ilijaa na washahidi wenye shauku <strong>ya</strong> kutazama juu <strong>ya</strong><br />

mtawa aliyesubutu kushindana na Papa. Jemadari mzee mmoja, aliyeshinda vita nyingi,<br />

akamwambia kwa upole: “Maskini mtawa, unataka sasa kwenda kufan<strong>ya</strong> vita kubwa kuliko<br />

vita mimi ao kapiteni wengine waliofan<strong>ya</strong> katika mapigano <strong>ya</strong> damu nyingi. Lakini, ikiwa<br />

kama madai <strong>ya</strong>ko ni <strong>ya</strong> haki, ...endelea katika jina la Mungu,na usiogope kitu chochote.<br />

Mungu hatakuacha.”<br />

Luther Anasimama Mbele <strong>ya</strong> Baraza<br />

Mfalme akaketi kitini, anapozungu kwa na watu wa cheo wenye sifa katika ufalme. Martin<br />

Luther sasa alipashwa kujibu kwa ajili <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong>ke. “Kuonekana huku kulikuwa kwenyewe<br />

ishara (alama) <strong>ya</strong> ushindi juu <strong>ya</strong> cheo cha Papa. Papa alimhukumu mtu huyu, na mtu huyu<br />

alisimama mbele <strong>ya</strong> baraza <strong>ya</strong> hukumu iliyowekwa juu <strong>ya</strong> Papa. Papa alimweka chini <strong>ya</strong><br />

makatazo, akakatiwa mbali <strong>ya</strong> chama cha kibinadamu, na huku akaalikwa katika manemo <strong>ya</strong><br />

59

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!