12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

“Ni wanani watu hawa wote wa Luther? Kundi la waalimu wenye kiburi, mapadri waovu,<br />

watawa wapotovu, wanasheria wajinga, na wenye cheo walioaibishwa. ...Kundi la katoloki si<br />

linawapita mbali sana kwa wingi, kwa akili na kwa uwezo! Amri <strong>ya</strong> shauri moja la kusanyiko<br />

hili tukufu litaangazia wanyenyekevu, litaon<strong>ya</strong> wasio na busara, litaamua wenye mashaka na<br />

kuimarisha wazaifu.”<br />

Mabishano <strong>ya</strong> namna ile ile ingali inatumiwa juu <strong>ya</strong> wote wanaosubutu kutoa mafundisho<br />

kamili <strong>ya</strong> Neno la Mungu. “Ni wanani hawa wahubiri wa mafundisho map<strong>ya</strong>? Wanakuwa si<br />

wenye elimu, wachache kwa hesabu, na wa cheo cha maskini sana. Lakini wakijidai kuwa na<br />

ukweli, na kuwa watu waliochaguliwa na Mungu. Wanakuwa wajinga na waliodanganyiwa.<br />

Namna gani kanisa letu ni kubwa sana kwa hesabu na mvuto!” Mabishano ha<strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong>ko na<br />

nguvu zaidi sasa kuliko siku za Mtengenezaji.<br />

Luther hakuwa pale, pamoja na maneno <strong>ya</strong> kweli wazi wazi na <strong>ya</strong> kusadikisha <strong>ya</strong> Neno la<br />

Mungu, kwa kushinda shujaa Papa. Watu karibu wote walikuwa ta<strong>ya</strong>ri, si kwa kumuhukumu<br />

tu, yeye na mafundisho <strong>ya</strong>ke, bali, ikiwezekana, kuongoa upinzani wa imani <strong>ya</strong> dini. Yote<br />

Roma iliweza kusema katika kujitetea mwenyewe imesemwa. Lakini tofauti kati <strong>ya</strong> ukweli<br />

na uwongo ingeonekana wazi zaidi namna wangeweza kujitoa wazi wazi kwa vita. Sasa<br />

Bwana akagusa moyo wa mshiriki mmoja wa baraza atoe maelezo <strong>ya</strong> matendo <strong>ya</strong> jeuri <strong>ya</strong><br />

Papa. Duc Georges wa Saxe akasimama katika mkutano huu wa kifalme; na akaonyesha<br />

sawasawa kabisa uwongo na machukizo <strong>ya</strong> kanisa la Roma:<br />

“Kuzulumu ... kunapaza sauti juu <strong>ya</strong> Roma. Ha<strong>ya</strong> yote imewekwa kando na shabaha <strong>ya</strong>o<br />

moja tu ni ... pesa, pesa, pesa, ... ili wahubiri wanaopashwa kufundisha ukweli, wasinene kitu<br />

kingine isipokuwa uongo, na si kuwavumilia tu, lakini kuwalipa, kwani namna wanazidi<br />

kusema uongo, ndipo wanazidi kupata faida. Ni kwa kisima hiki kichafu maji ha<strong>ya</strong> machafu<br />

hutiririka. Mambo <strong>ya</strong> washerati na ulevi. Hunyoosha mkono kwa uchoyo ... Ole! ni aibu<br />

iliyoletwa na askofu kinachotupa roho maskini nyingi katika hukumu <strong>ya</strong> milele. Matengenezo<br />

<strong>ya</strong> mambo yote inapaswa kufanyika.” Sababu mnenaji alikuwa adui maalumu wa<br />

Mtengenezaji alitoa mvuto mkubwa kwa maneno <strong>ya</strong>ke.<br />

Malaika wa Mungu wakatoa n<strong>ya</strong>li za nuru katika giza <strong>ya</strong> uovu na ikafungua mioyo kwa<br />

ukweli. Uwezo wa Mungu wa ukweli ukatawala hata maadui wa Matengenezo na<br />

ukata<strong>ya</strong>risha njia kwa kazi kubwa ambayo ilikaribia kutimizwa. Sauti <strong>ya</strong> Mmoja mkuu kuliko<br />

Luther ikasikiwa katika mkutano ule.<br />

Baraza ikawekwa kwa kuta<strong>ya</strong>risha hesabu <strong>ya</strong> mambo yote <strong>ya</strong>liyo kuwa magandamizo<br />

ambayo <strong>ya</strong>likuwa mazito kwa watu wa Ujeremani. Oroza hii ikaonyeshwa kwa mfalme, na<br />

kumuomba achukue hatua kwa kusahihisha mambo maba<strong>ya</strong> ha<strong>ya</strong>. Wakasema waombaji, “Ni<br />

wajibu wetu kuzuia maangamizi na aibu <strong>ya</strong> watu wetu. Kwa sababu hiyo sisi wote pamoja<br />

tunakuomba kwa unyenyekevu sana, lakini kwa namna <strong>ya</strong> haraka sana, kuagiza matengenezo<br />

<strong>ya</strong> mambo yote na kufan<strong>ya</strong> itimilike.”<br />

57

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!