12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Wapungufu wa mafundisho <strong>ya</strong> kiroho <strong>ya</strong>nayotolewa na moyo wa kujikana, kwa namna<br />

vinavyoelezwa, kukubaliwa na kupokelewa kwa bidii kubwa. Shetani anakuwa ta<strong>ya</strong>ri kutoa<br />

kwa tamaa <strong>ya</strong> moyo, na anapokeza hila za udanganyifu badala pa Kweli. Ilikuwa kwa namna<br />

hii ambayo dini <strong>ya</strong> Roma (papa) ilipata mamlaka <strong>ya</strong>ke kwa roho za watu. Na katika kukataa<br />

kweli kwa sababu inahusikana na msalaba, Waprotestanti wanafuata njia ile ile. Wote<br />

wanaojifunza manufaa na mashauri, ili wasiweze kuwa na tofauti na ulimwengu, wataachwa<br />

kupata “uharibifu usiokawia” wakizania ni kweli. 2 Petro 2:1. Yeye anayetazama kwa<br />

kuchukia udanganyifu moja atapokea mara hiyo mwingine. “Na kwa maneno ha<strong>ya</strong> Mungu<br />

anawaletea nguvu <strong>ya</strong> upotevu, hata waamini uwongo: ili wahukumiwe wote wasioamini<br />

kweli, lakini walifurahi katika uzalimu.” 2 Watesalonika 2:11,12.<br />

Makosa <strong>ya</strong> Hatari<br />

Miongoni mwa vyombo v<strong>ya</strong> ushindi zaidi v<strong>ya</strong> mdanganyi mkubwa ni maajabu <strong>ya</strong> uwongo<br />

<strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> roho za watu waliokufa (spiritisme). Kwa namna watu wanavyokataa kweli<br />

wanatekwa kwa udanganyifu.<br />

Kosa lingine ni mafundisho <strong>ya</strong>nayokana Umungu wa Kristo, kudai kwamba hakuwako<br />

mbele <strong>ya</strong> kuja kwake kwa ulimwengu huu.<br />

Maelezo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>nakausha maneno <strong>ya</strong> Mwokozi wetu juu <strong>ya</strong> uhusiano wake na Baba na<br />

kuwako kwake siku zote za mbele. Yanaharibu imani katika Biblia kama ufunuo kutoka kwa<br />

Mungu. Kama watu wanakana ushuhuda wa Maandiko juu <strong>ya</strong> Umungu wa Kristo, ni bure<br />

kubishana nao; hakuna mabishano, hakuna neno hata wazi la kuweza, kuwasadikisha; Hakuna<br />

anayeshikilia kosa hili anayeweza kuwa na wazo la kweli la Kristo wala la mpango wa Mungu<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> ukombozi wa mtu.<br />

Tena kosa lingine ni imani kwamba Shetani haishi kama kiumbe chenye nafsi, kwamba<br />

jina linalotumiwa katika Maandiko ni kufananisha tu mawazo maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> watu na tamaa.<br />

Mafundisho kwamba kuja kwa mara <strong>ya</strong> pili kwa Kristo ni kuja kwake kwa kila mtu wakati<br />

wa mauti ni uongo kwa kupotosha akili kusahau kwa kuja kwake mwenyewe katika mawingu<br />

<strong>ya</strong> mbingu. Shetani basi amekuwa akisema, ‘’Tazama, yeye ni katika vyumba v<strong>ya</strong> ndani”<br />

(Tazama Matayo 24:23-26), na wengi wamepotea katika kukubali udanganyifu huu.<br />

Tena watu wa maarifa wanadai kwamba hakuna jibu la kweli linaweza kuwako kwa<br />

kuomba; hii ingekuwa uvunjaji wa sheria-mwujiza, na miujiza haiwezi kuwako. Ulimwengu,<br />

wanasema, unatawaliwa katika sheria zisizobabilika, na Mungu Mwenyewe hafanye kitu<br />

kinyume kwa sheria hizi. Kwa hivi wanafananinisha Mungu kama amelazimishwa katika<br />

sheria zake mwenyewe--kana kwamba sheria za Mungu zingekataza uhuru wa Mungu.<br />

Fundisho la namna hii linapinga ushuhuda wa maandiko.<br />

Je, miujiza haikufanywa na Kristo na mitume wake? Mwokozi yule yule anapendezwa<br />

basi kusikiliza maombi <strong>ya</strong> imani kama vile alivyotembea kwa wazi miongoni mwa watu. Hali<br />

214

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!