12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 31. Pepo Wachafu<br />

Malaika wa Bwana na pepo wachafu wanaonyeshwa wazi katika Maandiko na wanaingia<br />

katika historia <strong>ya</strong> wanadamu. Malaika watakatifu wale “wanaotumikia watakaoriti wokovu”<br />

(Waebrania 1:14) wanazaniwa kwa wengi kama pepo za waliokufa. Lakini Maandiko<br />

inaonyesha hakika kwamba hawa si pepo inayoachana na mwili wa waliokufa.<br />

Mbele <strong>ya</strong> kuumbwa kwa mtu, malaika walikuwa wakiishi, kwani wakati misingi <strong>ya</strong> dunia<br />

ilipowekwa, ‘’nyota za asubui waliimba pamoja, na wana wote wa Mungu walipiga kelele<br />

kwa furaha.” Yobu 38:7. Nyuma <strong>ya</strong> kuanguka kwa mtu, malaika walitumwa kulinda mti wa<br />

uzima mbele <strong>ya</strong> mwanadamu kufa. Malaika wanakuwa wakubwa kwa cheo kuliko watu, kwa<br />

kuwa mtu aliumba “chini kidogo kupita malaika “. Zaburi 8:5.<br />

Nabii anasema, “Nikasikia sauti <strong>ya</strong> malaika wengi pande zote za kile kiti cha enzi.” Mbele<br />

<strong>ya</strong> Mufalme wa wafalme wanangojea-“ninyi watumishi wake, munaofan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>ke,”<br />

“mukisikiliza sauti <strong>ya</strong> neno lake,” “majeshi <strong>ya</strong> malaika elfu nyingi.” Ufunuo 5:11; Zaburi<br />

103:20,21; Waebrania 12:22. Kama wajumbe wa Mungu wanatoka, kama “kuonekana, kwa<br />

kumulika kwa umeme,” mruko wao mwepesi sana. Malaika aliyetokea kwa kaburi la<br />

Mwokozi, sura <strong>ya</strong>ke “kama umeme,” ikawaletea walinzi kwa ajili <strong>ya</strong> hofu kutetemeka, na<br />

“wakawa kama wafu.” Wakati Saniaribu alipomtukana Mungu na kuogopesha Waisraeli,<br />

“malaika wa Bwana alitoka, akapiga katika kambi <strong>ya</strong> Waasuria watu elfu mia moja makumi<br />

mnane na tano.” Ezekieli 1:14; Matayo 28:3,4; 2 Wafalme 19:35.<br />

Malaika wanatumwa kwa kazi <strong>ya</strong> rehema kwa wana wa Mungu. Kwa Abrahamu, kwa<br />

ahadi za baraka; kwa Sodomo, kuokoa Loti kwa maangamizo; kwa Elia, karibu kuangamizwa<br />

katika jangwa; kwa Elisa, kwa magari <strong>ya</strong> farasi <strong>ya</strong> moto alipofungiwa ndani na adui zake;<br />

kwa Danieli, wakati alipoachwa kuwa mawindo <strong>ya</strong> simba; kwa Petro, alipohukumiwa kifo<br />

katika gereza <strong>ya</strong> Herode; kwa wafungwa kule Filipi; kwa Paulo katika usiku wa zoruba juu<br />

<strong>ya</strong> bahari; kwa kufungua akili <strong>ya</strong> Kornelio kwa kukubali habari njema; kwa kutuma Petro<br />

pamoja na habari njema <strong>ya</strong> wokovu kwa mgeni wa Kimataifa--kwa hivi malaika watakatifu<br />

walitumikia watu wa Mungu.<br />

Malaika Walinzi<br />

Malaika mlinzi amewekwa kwa kila mfuasi wa Kristo. “Malaika <strong>ya</strong> Bwana anapiga kambi<br />

kuzunguka wale wanaomwogopa, na anawaokoa.” Akasema Mwokozi, juu <strong>ya</strong> wale<br />

wanaomwamini: “Mbinguni malaika zao wanatazama siku zote uso wa Baba <strong>ya</strong>ngu.” Zaburi<br />

34:7; Matayo 18:10. Watu wa Mungu, walihatarishwa kwa uovu usiolala wa mfalme wa giza,<br />

wanaahidiwa na ulinzi usiokoma wa malaika. Matumaini <strong>ya</strong> namna hiyo <strong>ya</strong>natolewa kwa<br />

sababu kunakuwa na nguvu kubwa za uovu za kukutana nazo--nguvu zisizohesabika, imara<br />

na zisizochoka.<br />

209

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!