12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Neno la Mungu likapen<strong>ya</strong> kwa siri kule Londoni na kuenezwa po pote katika inchi.<br />

Wakatoliki wakajaribu kukomesha ukweli, lakini haikuwezekana. Askofu wa Durham<br />

akanunua kwa muuzavitabu akiba yote <strong>ya</strong> Mabiblia kwa kusudi la kuviharibu, kufikiri<br />

kwamba jambo hili lingesimamisha kazi. Lakini mali ikatoa vyombo vilivyonunuliwa kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> mchapo mp<strong>ya</strong> na bora kuliko. Wakati Tyndale alipofungwa baadaye, uhuru ukatolewa<br />

kwake isipokuwa ataje majina <strong>ya</strong> wale waliomsaidia kwa zawadi zao kwa mchapo wa<br />

Mabiblia. Akajibu kwamba askofu wa Durham alifan<strong>ya</strong> zaidi kuliko kila mtu ye yote kwa<br />

kulipa bei kubwa kwa ajili <strong>ya</strong> vitabu vilivyobaki mkononi.<br />

Mwishowe Tyndale akashuhudia imani <strong>ya</strong>ke kwa mauti <strong>ya</strong> mfia dini; lakini silaha<br />

alizozita<strong>ya</strong>risha ziliwezesha waaskari wengine kupigana katika karne nyingi, hata kwa wakati<br />

wetu.<br />

Latimer akasema juu <strong>ya</strong> mimbara kwamba inafaa kusoma Biblia katika lugha <strong>ya</strong> watu.<br />

“Tusichague njia zinazopingana, bali Neno la Mungu lituongoze: tusifuate ... mababu zetu,<br />

wala kufuata <strong>ya</strong>le waliyotenda, bali <strong>ya</strong>le waliyopaswa kufan<strong>ya</strong>.”<br />

Barnes na Frith, Ridley na Cranmer, waongozi katika Matengenezo <strong>ya</strong> Uingereza<br />

walikuwa wataalamu, wakaheshimiwa sana kwa bidii ao kwa utawa katika ushirika wa<br />

Kiroma. Upinzani wao kwa kanisa la Roma ulikuwa ni matokeo <strong>ya</strong> maarifa <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kuvumbua<br />

makosa <strong>ya</strong> “kiti kitakatifu”.<br />

Uwezo Kamili wa Maandiko<br />

Kanuni kubwa iliyoshikwa na Watengenezaji hawa--ni ile ile iliyoshikwa na Wavaudois,<br />

Wycliffe, Huss, Luther, Zwingli, na wafuasi wao--ni uwezo kamilifu wa Maandiko<br />

matakatifu. Kwa mafundisho <strong>ya</strong>ke wakajaribu mafundisho <strong>ya</strong> dini yote na madai yote. Ni<br />

imani katika Neno la Mungu iliyosaidia watu hawa watakatifu walipotoa maisha <strong>ya</strong>o kwa<br />

kigingi. “Muwe wakufarijika,” akasema Latimer kwa wenzake wafia dini wakati sauti zao<br />

zilikuwa karibu kun<strong>ya</strong>mazishwa na ndimi za moto, “tutawasha leo mshumaa, kwa neema <strong>ya</strong><br />

Mungu, katika Uingereza, jinsi ninavyo tumaini hautazimika.”<br />

Kwa mamia <strong>ya</strong> miaka baada <strong>ya</strong> makanisa <strong>ya</strong> Uingereza <strong>ya</strong>lipotii mamlaka <strong>ya</strong> Roma, wale<br />

wa Scotland (Ecosse) wakashika uhuru wao. Kwa karne <strong>ya</strong> kumi na mbili, hata hivyo, dini <strong>ya</strong><br />

papa ikaimarishwa katika inchi, na sehemu zote zikafunikwa na giza nzito. Lakini miali <strong>ya</strong><br />

nuru ikaja kuangazia giza hiyo. Wa Lollards, kutoka Uingereza pamoja na Biblia na<br />

mafundisho <strong>ya</strong> Wycliffe, wakafan<strong>ya</strong> mengi kwa kulinda maarifa <strong>ya</strong> injili. Kwa kufunguliwa<br />

kwa Matengenezo kukaja maandiko <strong>ya</strong> Luther na Agano Jip<strong>ya</strong> la Kingereza la Tyndale.<br />

Wajumbe hawa kwa ukim<strong>ya</strong> wakapitia milimani na katika mabonde, wakawasha katika<br />

maisha map<strong>ya</strong> mienge <strong>ya</strong> kweli iliyokuwa karibu kuzimika na kufan<strong>ya</strong> up<strong>ya</strong> tena kazi ambayo<br />

iligandamizwa na karne inne za mateso.<br />

Ndipo waongozi wa kanisa la Papa, mara wakaamshwa kwa hatari iliyohofisha kazi <strong>ya</strong>o,<br />

wakapandisha watoto wengi wa watu bora wa Scotland (Ecosse) kwa kigingi. Washahidi<br />

98

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!