12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Tetzel, mjumbe aliyechaguliwa kuongoza uujishaji wa huruma katika Ujeremani, alikuwa<br />

amehakikishwa makosa maba<strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> watu na sheria <strong>ya</strong> Mungu, lakini alitumiwa kwa<br />

kuendesha mipango <strong>ya</strong> faida <strong>ya</strong> Papa katika Ujeremani. Akasema bila ha<strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> uongo<br />

na hadizi za ajabu kwa kudangan<strong>ya</strong> watu wajinga wanaoamini <strong>ya</strong>siyo na msingi. Kama<br />

wangekuwa na neno la Mungu hawangedanganywa, lakini Biblia ilikatazwa kwao.<br />

Wakati Tetzel alipoingia mjini, mjumbe alimutangulia mbele, kutangaza: “Neema <strong>ya</strong><br />

Mungu na <strong>ya</strong> baba mtakatifu inakuwa milangoni mwenu”. Watu wakamkaribisha mtu wa<br />

uwongo anayetukana Mungu kama kwamba angekuwa Mungu mwenyewe. Tetzel, kupanda<br />

mimbarani ndani <strong>ya</strong> kanisa, akatukuza uujisaji wa huruma kama zawadi za damani sana za<br />

Mungu. Akatangaza kwamba kwa uwezo wa sheti cha msamaha, zambi zote ambazo mnunuzi<br />

angetamani kuzitenda baadaye zitasamehewa na “hata toba si <strong>ya</strong> lazima.” Akahakikishia<br />

wasikilizi wake kwamba vyeti v<strong>ya</strong>ke v<strong>ya</strong> huruma vilikuwa na uwezo wa kuokoa wafu; kwa<br />

wakati ule kabisa pesa inapogonga kwa sehemu <strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> sanduku lake, roho inayolipiwa<br />

pesa ile itatoroka kutoka toharani (purgatoire) na kufan<strong>ya</strong> safari <strong>ya</strong>ke kwenda mbinguni.<br />

Zahabu na feza zikajaa katika nyumba <strong>ya</strong> hazina <strong>ya</strong> Tetzel. Wokovu ulionunuliwa na mali<br />

ulipatikana kwa upesi kuliko ule unaohitaji toba, imani, na kufan<strong>ya</strong> bidii kwa kushindana na<br />

kushinda zambi. (Tazama Nyongezo). Luther akajazwa na hofu kuu. Wengi katika shirika<br />

lake wakanunua vyeti v<strong>ya</strong> msamaha. Kwa upesi wakaanza kuja kwa mchungaji (pasteur) wao,<br />

kwa kutubu zambi na kutumainia maondoleo <strong>ya</strong> zambi, si kwa sababu walitubu na walitamani<br />

matengenezo, bali kwa msingi wa sheti cha huruma. Luther akakataa, na akawaon<strong>ya</strong> kwamba<br />

isipokuwa walipaswa kutubu na kugeuka, walipaswa kuangamia katika zambi zao. Wakaenda<br />

kwa Tetzel na malalamiko kwamba muunganishaji wao alikataa vyeti v<strong>ya</strong>ke, na wengine<br />

wakauliza kwa ujasiri kwamba mali <strong>ya</strong>o irudishwe. Alipojazwa na hasira, mtawa (religieux)<br />

akatoa laana za kutisha, akataka mioto iwake mbele <strong>ya</strong> watu wote, na akatangaza kwamba<br />

“alipata agizo kwa Papa kuunguza wapinga dini wote wanaosubutu kupinga, vyeti v<strong>ya</strong>ke v<strong>ya</strong><br />

huruma takatifu zaidi.”<br />

Kazi <strong>ya</strong> Luther Inaanza<br />

Sauti <strong>ya</strong> Luther ikasikiwa mimbarani katika onyo la kutisha. Akaweka mbele <strong>ya</strong> watu tabia<br />

mba<strong>ya</strong> sana <strong>ya</strong> zambi na kufundisha kwamba haiwezekani kwa mtu kwa kazi zake mwenyewe<br />

kupunguza zambi zake ao kuepuka malipizi <strong>ya</strong>ke. Hakuna kitu bali toba kwa Mungu na imani<br />

katika Kristo inaoweza kuokoa mwenye zambi. Neema <strong>ya</strong> Kristo haiwezi kununuliwa; ni<br />

zawadi <strong>ya</strong> bure. Akashauri watu kutokununua vyeti v<strong>ya</strong> huruma, bali kutazama kwa imani<br />

kwa Mkombozi aliyesulubiwa. Akasimulia juu <strong>ya</strong> habari mambo <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> uchungu<br />

na akahakikisha wasikilizaji wake kwamba kwa kuamini Kristo ndipo mtu atapata amani na<br />

furaha.<br />

Wakati Tetzel alipoendelea na kiburi chake cha kukufuru, Luther akajitahidi kusema<br />

kutokukubali kwake. Nyumba <strong>ya</strong> kanisa la Wittenberg ilikuwa na picha (reliques) ambayo<br />

kwa sikukuu fulani <strong>ya</strong>lionyeshwa kwa watu. Maondoleo kamili <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong>litolewa kwa wote<br />

49

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!