12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kazi wakalipishwa kodi <strong>ya</strong> nguvu kwa watawala wa serkali na wa dini. “Wakulima na wakaaji<br />

wa vijiji waliweza kuteswa na njaa, kwani watesi wao hawakujali. ... Maisha <strong>ya</strong> watumikaji<br />

wakulima <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> kazi isiyokuwa na mwisho na taabu isiyokuwa na kitulizo;<br />

maombolezo <strong>ya</strong>o ... <strong>ya</strong>iizaniwa kuwa zarau <strong>ya</strong> ushupavu. ... Mambo maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> rushwa<br />

<strong>ya</strong>kakubaliwa kwa hakika na waamzi. ... Ya kodi, ... nusu <strong>ya</strong> feza ikaenda kwa hazina <strong>ya</strong><br />

mfalme ao <strong>ya</strong> askofu; inayobaki ikatumiwa ovyo ovyo katika anasa <strong>ya</strong> upotovu. Na watu<br />

waliozoofisha hivi wenzao wakaachiliwa wenyewe bila kulipa kodi na walikuwa na haki kwa<br />

sheria ao kwa desturi, kwa maagizo yote <strong>ya</strong> serkali. ... Kwa ajili <strong>ya</strong> furaha <strong>ya</strong>o mamilioni<br />

walihukumiwa maisha maba<strong>ya</strong> bila tumaini.” (Tazama Nyongezo.)<br />

Zaidi <strong>ya</strong> nusu <strong>ya</strong> karne mbele <strong>ya</strong> Mapinduzi kiti cha ufalme kilikaliwa na Louis XV,<br />

aliyetambulika nakuwa mfalme mvivu, asiyejali, na waanasa. Kwa habari <strong>ya</strong> feza <strong>ya</strong> serkali<br />

wakawa na matatizo na watu wakakasirishwa, haikuhitajiwa jicho la nabii kuona maasi<br />

makali. Ilikuwa vigumu kuharakisha hoja <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> matengenezo. Ajali iliyongojea Ufransa<br />

ilielezwa katika jibu la kujipenda ama choyo cha mfalme, “Baada <strong>ya</strong>ngu, garika!”<br />

Roma ilivuta wafalme na vyeo v<strong>ya</strong> watawala kuweka watu katika utumwa, kukusudia<br />

kufunga wote watawala na watu katika vifungo v<strong>ya</strong>ke v<strong>ya</strong> minyororo juu <strong>ya</strong> roho zao. Huku<br />

hali mba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> tabia njema ambayo ni matokeo <strong>ya</strong> siasa hii ilikuwa <strong>ya</strong> kutisha zaidi mara elfu<br />

kuliko mateso <strong>ya</strong> kimwili. Kukosa Biblia, na kujitia katika kujipendeza, watu wakajifunika<br />

katika ujinga na kuzama katika maovu, kabisa hawakuweza kujitawala.<br />

Matokeo Yaliyopatwa katika Damu<br />

Baadala <strong>ya</strong> kudumisha watu wengi katika utii wa upofu kwa mafundisho <strong>ya</strong>ke, kazi <strong>ya</strong><br />

Roma ikaishia katika kuwafan<strong>ya</strong> makafiri na wapinduzi. Dini <strong>ya</strong> Roma wakaizarau kama<br />

ujanja wa wapadri. Mungu mmoja waliomujua ni mungu wa Roma. Waliangalia tamaa <strong>ya</strong>ke<br />

na ukatili kama tunda la Biblia, na hawakutaka tena kusikia habari <strong>ya</strong>ke.<br />

Roma ilieleza viba<strong>ya</strong> tabia <strong>ya</strong> Mungu, na sasa watu wakakataa vyote viwili Biblia na<br />

Muumba wake. Katika urejeo, Voltaire na wafuasi wake wakakataa kabisa Neno la Mungu<br />

yote pamoja kutawan<strong>ya</strong> kukana Mungu. Roma ikakan<strong>ya</strong>ga watu chini <strong>ya</strong> kisigino chake cha<br />

chuma; na sasa watu wengi wakatupia mbali kuzuiwa kote (amri). Walipokasirishwa,<br />

wakakataa kweli na uongo pamoja.<br />

Kwa kufunguliwa kwa Mapinduzi, kwa ukubali wa mfalme, watu wakapata kwa mitaa <strong>ya</strong><br />

kawaida mfano wa juu kuliko ule wa wakuu na mapadri pamoja. Kwa hivyo kipimo cha<br />

uwezo kulikuwa katika mikono <strong>ya</strong>o; lakini hawakuta<strong>ya</strong>rishwa kukitumia kwa hekima na<br />

utaratibu (kiasi). Watu waliotendewa viba<strong>ya</strong> wakakusudia kulipiza kisasi wao wenyewe.<br />

Walioonewa wakatumia fundisho walilojifunza chini <strong>ya</strong> uonevu na wakawa watesi wa wale<br />

waliowatesa.<br />

Ufransa ukavuna katika damu mavuno <strong>ya</strong> utii wake kwa Roma. Mahali Ufransa, chini <strong>ya</strong><br />

Kanisa la Roma, uliweka tita (kigingi) la kwanza kwa mwanzo wa Matengenezo, hapo<br />

111

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!