12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kanisa la Roma ni kama vile unabii ulivyotangaza kwamba lingekuwa, ni kukufuru kwa<br />

n<strong>ya</strong>kati za mwisho. Tazama 2 Watesalonika 2 :3,4. Chini <strong>ya</strong> mfano wa kigeugeu linaficha<br />

sumu isiyobadilika <strong>ya</strong> nyoka. Je, uwezo huu, ambao ukumbusho wake kwa miaka elfu<br />

umeandikwa katika damu <strong>ya</strong> watakatifu, utakubaliwa kama sehemu <strong>ya</strong> kanisa la Kristo?<br />

Badiliko katika Kanisa la Protestanti<br />

Madai <strong>ya</strong>mewekwa katika inchi za <strong>Kiprotestanti</strong> <strong>ya</strong> kwamba Dini <strong>ya</strong> Kikatoliki inakuwa<br />

tofauti kidogo kwa Dini <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> kuliko n<strong>ya</strong>kati za zamani. Hapo kumekuwa badiliko;<br />

lakini badiliko haliko katika kanisa la Roma. Kanisa la Katoliki linafanana sana na Kanisa la<br />

<strong>Kiprotestanti</strong> linalokuwa sasa kwa sababu Kanisa la <strong>Kiprotestanti</strong> kiliharibika tabia sana tangu<br />

siku za Watengenezaji (Reformateurs).<br />

Makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong>, kutafuta mapendeleo <strong>ya</strong> ulimwen-gu, <strong>ya</strong>naamini kila kitu<br />

kiba<strong>ya</strong> kuwa kizuri, na kama matokeo wataamini mwishoni kila kitu kizuri kuwa kiba<strong>ya</strong>.<br />

Wanakuwa sasa, kama ilivyokuwa, kujitetea kwa Roma kwa ajili <strong>ya</strong> mawazo <strong>ya</strong>o isiyokuwa<br />

na mapendo kwake, kuomba musamaha kwa “ushupavu” wao. Wengi wanasihi sana <strong>ya</strong><br />

kwamba giza <strong>ya</strong> kiakili na <strong>ya</strong>kiroho iliyokuwa pote wakati wa Miaka <strong>ya</strong> Katikati ilisaidia<br />

Roma kueneza mambo <strong>ya</strong> uchawi na mateso, na <strong>ya</strong> kwamba akili kubwa zaidi <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>kati za<br />

sasa na kuongezeka kwa wema katika mambo <strong>ya</strong> dini kunakataza mwamsho wa kutovumilia.<br />

Watu wanacheka sana wazo la kwamba mambo <strong>ya</strong> namna ile <strong>ya</strong>naweza kutokea kwa n<strong>ya</strong>kati<br />

za nuru. Inapaswa kukumbukwa lakini <strong>ya</strong> kwamba kwa namna nuru inapotolewa zaidi, na<br />

zaidi giza <strong>ya</strong> wale wanaopotea na kuikataa itakuwa kubwa.<br />

Siku <strong>ya</strong> giza kubwa <strong>ya</strong> walio elimishwa imesaidia kwa mafanikio <strong>ya</strong> kanisa la Roma<br />

(Papa). Siku <strong>ya</strong> nuru kubwa <strong>ya</strong> walioelimishwa nayo itasaidia vile vile. Katika miaka iliyopita<br />

wakati watu walipokuwa pasipo maarifa <strong>ya</strong> ukweli, maelfu walikamatwa kwa mtego, bila<br />

kuona wavu uliotandikwa kwa n<strong>ya</strong>nyo zao. Katika kizazi hiki wengi hawatambui wavu na<br />

wanatembea ndani <strong>ya</strong>ke mara moja bila kufikiri. Wakati watu wanapotukuza mafundisho <strong>ya</strong>o<br />

wenyewe juu <strong>ya</strong> Neno la Mungu, akili inaweza kutimiza maumivu makubwa kuliko ujinga.<br />

Kwa hivyo elimu <strong>ya</strong> uwongo <strong>ya</strong> wakati huu utahakikisha mafanikio <strong>ya</strong> kuta<strong>ya</strong>risha njia kwa<br />

kukubali kanisa la Roma (Papa), kama kukataa kwa maarifa kulivyofan<strong>ya</strong> katika Miaka <strong>ya</strong><br />

Giza.<br />

Kushika Siku <strong>ya</strong> Kwanza (Jumapili)<br />

Kushika siku <strong>ya</strong> kwanza (jumapili) ni desturi ilioanzishwa na Roma, ambayo anadai kuwa<br />

alama <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong>ke. Roho <strong>ya</strong> Kanisa la Roma (Papa)--<strong>ya</strong> mapatano kwa desturi za<br />

kidunia, heshima kwa desturi za kibinadamu juu <strong>ya</strong> amri za Mungu--inaenea sehemu zote za<br />

makanisa <strong>ya</strong> Waprotestanti na kuwaongoza kwa kazi <strong>ya</strong> namna moja <strong>ya</strong> kutukuza Siku <strong>ya</strong><br />

kwanza (Jumapili) ambayo kanisa la Roma limeigeuza mbele <strong>ya</strong>o.<br />

Sheria za kifalme, baraza za kawaida na maagizo <strong>ya</strong> kanisa zilizokubaliwa na mamlaka <strong>ya</strong><br />

kidunia zilikuwa ni hatua ambazo siku kuu za kishenzi zilifikia cheo cha heshima katika dunia<br />

232

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!