12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

makubwa. Zaidi kuliko mara moja akapigwa karibu kufa. Lakini akaendelea mbele.<br />

Mwishowe akaona miji mikubwa na midogo iliokuwa ngome za kanisa la Katoliki<br />

<strong>ya</strong>kafungua milango <strong>ya</strong>o kwa injili.<br />

Farel alitamani kusimamisha bendera <strong>ya</strong> Waprotestanti katika Geneve. Kama mji huu<br />

ungaliweza kupatikana, ungalikuwa mahali pa kubwa kwa ajili <strong>ya</strong> Matengenezo katika<br />

Ufransa, Uswisi, na Italia. Miji mingi iliyokuwa kandokando <strong>ya</strong> miji midogo ikaamini.<br />

Pamoja na rafiki mmoja akaingia Geneve. Lakini akaruhusiwa kuhubiri mara mbili tu.<br />

Mapadri wakamwalika mbele <strong>ya</strong> baraza la kanisa, wakaja na silaha zilizofichwa chini <strong>ya</strong><br />

makanzu <strong>ya</strong>o, wakakusudia kutoa maisha <strong>ya</strong>ke. Inje <strong>ya</strong> chumba kulikuwa na watu wengi<br />

wenye hasira kuhakikisha kifo chake kama akiepuka baraza. Kuwako kwa waamzi na<br />

waaskari, ingawa hivyo wakamwokoa. Mapema sana asubuhi akapelekwa karibu <strong>ya</strong> ziwa<br />

mahali pa salama. Ndivyo ilivyokuwa mwisho wa juhudi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> kueneza injili<br />

huko Geneve.<br />

Kwa kusikilizwa mara <strong>ya</strong> pili, wakachagua chombo kizaifu sana; alikuwa kijana<br />

munyonge kwa sura hata akapokelewa bila furaha na marafiki wanaojidai kusimamia<br />

Matengenezo. Lakini mtu wa namna hii angeweza kufan<strong>ya</strong> nini mahali Farel alikataliwa?<br />

“Mungu alichagua vitu zaifu v<strong>ya</strong> dunia kupatisha vitu v<strong>ya</strong> nguvu ha<strong>ya</strong>.” 1 Wakorinto 1:27.<br />

Froment Mwalimu<br />

Froment akaanza kazi <strong>ya</strong>ke kama mwalimu. Kweli alizofundisha watoto chuoni<br />

waka<strong>ya</strong>kariri nyumbani mwao. Mara wazazi wakasikia Biblia ilipokuwa ikielezwa. Agano<br />

Jip<strong>ya</strong> na vitabu vidogo vikatolewa bure. Baada <strong>ya</strong> mda mtumikaji huyu pia alipashwa<br />

kukimbia, lakini kweli alizofundisha ikaingia mioyoni mwa watu. Matengenezo <strong>ya</strong>kapandwa.<br />

Wahubiri wakarudi, na ibada <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> ikaanzishwa katika Geneve.<br />

Miji ulikuwa ukmekwisha kutangazwa kuwa upande wa Matengenezo wakati Calvin,<br />

alipoingia katika milango <strong>ya</strong>ke. Alikuwa njiani kwenda Basel alipolazimishwa kupitia njia <strong>ya</strong><br />

kuzunguka zunguka kupitia Geneve.<br />

Katika kuzuru huku Farel akatambua mkono wa Mungu. Ingawa Geneve ilikubali imani<br />

<strong>ya</strong> Matengenezo, lakini kazi <strong>ya</strong> kuongoka ilipaswa kutendeka ndani <strong>ya</strong> moyo kwa uwezo wa<br />

Roho Mtakatifu, si kwa amri za mabaraza. Wakati watu wa Geneve walipokataa mamlaka <strong>ya</strong><br />

Roma, hawakuwa ta<strong>ya</strong>ri kabisa kuacha makosa <strong>ya</strong>liyositawishwa chini <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong>ke.<br />

Kwa jina la Mungu Farel akamsihi kwa heshima mhubiri kijana kudumu na kufan<strong>ya</strong> kazi<br />

huko Calvin akarudi nyuma kuonyesha hatari. Akajitenga ili asipambane kwa ha tari na roho<br />

<strong>ya</strong> ukali <strong>ya</strong> watu wa Geneve. Alihitaji kupata mahali pa amani na ukim<strong>ya</strong> kwa majifunzo, na<br />

pale kwa njia <strong>ya</strong> vitabu angeweza kufundisha na kujenga makanisa. Lakini hakujaribu<br />

kukataa. Ilionekana kwake “kwamba mkono wa Mungu ulishuka kutoka mbinguni, kwamba<br />

ukamushika, na ukamukaza bila kubadilika kubakia mahali alipokuwa na haraka <strong>ya</strong> kutoka.”<br />

90

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!