12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>liyofuata katika hatua za Roma <strong>ya</strong>meonyesha mapenzi<br />

<strong>ya</strong> namna moja kwa kuzuia uhuru wa zamiri. Mfano ni mateso <strong>ya</strong>liyoendelea wakati mrefu<br />

<strong>ya</strong> wale wasiokubali mafundisho <strong>ya</strong> Kanisa la Kiingereza. Wakati wa karne za kumi na sita<br />

na kumi na saba, wachungaji na watu wasiokubali kanuni za kanisa walikuwa watu wakulipa<br />

feza <strong>ya</strong> azabu, kufungwa, mateso (azabu kali), na mauti <strong>ya</strong> mfia dini.<br />

Uasi ukaongoza kanisa la mwanzoni kutafuta usaada wa serkali <strong>ya</strong> raia. Na jambo hili<br />

likata<strong>ya</strong>risha njia kwa Kanisa la Roma (Papa)--mn<strong>ya</strong>ma. Paulo akasema: “ila maasi <strong>ya</strong>le<br />

<strong>ya</strong>fike mbele, na mtu yule wa kuasi akafunuliwa.” 2 Watesalonika 2:3.<br />

Biblia inatangaza: “Siku za mwisho zitakuwa n<strong>ya</strong>kati za hatari. Kwa sababu watu<br />

watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda feza, wenye kujisifu, wenye kiburi,<br />

wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na kushukuru, wasio safi, wasiopenda wenzao,<br />

wasiotaka kusamehe, washitaki wa uwongo, wasiojizuiza, wakali, wasiopenda mema,<br />

wadanganyifu, wakaidi, wenye kujivuna, wenye kupenda anasa kuliko Mungu; wenye mfano<br />

wa kuogopa Mungu, lakini wakikana nguvu zake.” 2 Timoteo 3:1-5. “Basi, Roho anasema<br />

waziwazi <strong>ya</strong> kwamba katika n<strong>ya</strong>kati za mwisho watu wengine watajitenga na imani,<br />

wakisikiliza roho za kudangan<strong>ya</strong>, na mafundisho <strong>ya</strong> mashetani.” 1 Timoteo 4:1.<br />

Wote wale “hawakupokea mapendo wa kweli, kwamba wapate kuokolewa,” watakubali<br />

“nguvu <strong>ya</strong> upotevu, hata waamini uwongo.” 2 Watesalonika 2:10,11. Wakati hali hii<br />

itakapofikiwa, matokeo <strong>ya</strong> namna moja <strong>ya</strong>tafuata ilivyokuwa katika karne za kwanza.<br />

Tofauti kubwa <strong>ya</strong> imani katika makanisa <strong>ya</strong> Waprotestanti inazaniwa na wengi kama<br />

utibitizo kwamba hakuna umoja uliolazimishwa unaoweza kufanywa. Lakini pale kumekuwa<br />

kwa miaka nyingi katika makanisa <strong>ya</strong> Waprotestanti nia iliyoongezeka katika upendeleo wa<br />

umoja. Kwa kulinda umoja kama huo, mazungumzo <strong>ya</strong> mambo ambayo wote<br />

hawaku<strong>ya</strong>kubali <strong>ya</strong>napaswa kuachwa kudaiwa. Katika bidii <strong>ya</strong> kulinda umoja kamili, itakuwa<br />

tu ni hatua kwa kutumia nguvu.<br />

Wakati makanisa maalum <strong>ya</strong> Amerika, <strong>ya</strong>napoungana juu <strong>ya</strong> mambo kama <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong><br />

mafundisho kama inavyoshikwa kwao katika umoja, <strong>ya</strong>tavuta serkali kulazimisha amri zao<br />

na kuimarisha sheria zao, ndipo Amerika <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> itakapofan<strong>ya</strong> sanamu <strong>ya</strong> serkali <strong>ya</strong><br />

Kanisa la Roma, na azabu <strong>ya</strong> malipo <strong>ya</strong> raia juu <strong>ya</strong> wale wasiokubali mafundisho <strong>ya</strong> kanisa<br />

bila mashaka <strong>ya</strong>takuwa matokeo.<br />

Mn<strong>ya</strong>ma na Sanamu Yake<br />

Mn<strong>ya</strong>ma aliyekuwa na pembe mbili “naye anawafan<strong>ya</strong> wote, wadogo na wakubwa, na<br />

matajiri na masikini na wahuru na wafungwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, ao<br />

katika vipaji v<strong>ya</strong> nyuso zao; na kwamba mtu asiweze kununua wala kuuza asipokuwa na<br />

chapa ile, ao jina la mn<strong>ya</strong>ma yule, ao hesabu <strong>ya</strong> jina lake.” Ufunuo 13:16,17. Malaika wa tatu<br />

anaon<strong>ya</strong>: “Mtu akiabudu mn<strong>ya</strong>ma na sanamu <strong>ya</strong>ke, na kupokea chapa katika kipaji cha uso<br />

wake, ao katika mkono wake, yeye atakunywa mvinyo <strong>ya</strong> gazabu <strong>ya</strong> Mungu.”<br />

182

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!