12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

<strong>ya</strong>ke wenyewe; na ataleta taabu kwa wengine, na kuongoza watu kuamini <strong>ya</strong> kama ni Mungu<br />

ndiye anayewatesa.<br />

Anapotokea kama tabibu mkuu anayeweza kupon<strong>ya</strong> magonjwa <strong>ya</strong>o yote, Shetani ataleta<br />

ugonjwa na msiba hata miji <strong>ya</strong> watu waingie kwa maangamizi. Katika misiba baharini na<br />

inchini, katika mateketeo makubwa, katika tufani kali na mvua <strong>ya</strong> mawe, katika zoruba,<br />

garika, kimbunga, mawimbi <strong>ya</strong> maji kujaa, na tetemeko la inchi, katika namna maelfu, Shetani<br />

anatumia uwezo wake. Anaondolea mbali mavuno yenye kukomea yote, na njaa na taabu<br />

hufuata. Hugawan<strong>ya</strong> mawaa <strong>ya</strong> mauti angani, na maelfu huangamia.<br />

Ndipo mdanganyifu mkubwa atashawishi watu kutwika taabu zao zote kwa wale<br />

wanaokuwa na utii kwa amri za Mungu ni laumu la daima kwa wakosaji. Itatangazwa <strong>ya</strong> kama<br />

watu wanamkosea Mungu juu <strong>ya</strong> mvunjo wa siku <strong>ya</strong> kwanza, <strong>ya</strong> kwamba zambi hii imeleta<br />

misiba ambayo haitakoma hata kushika kwa siku <strong>ya</strong> kwanza kutakapo kazwa kabisa. “Wale<br />

wanaoharibu heshima kwa ajili <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> kwanza wanazuia kurudishwa kwa majaliwa <strong>ya</strong><br />

Mungu na kufanyikiwa”. Kwa hivyo mashitaki <strong>ya</strong>liyofanywa <strong>ya</strong> zamani juu <strong>ya</strong> watumushi<br />

wa Mungu <strong>ya</strong>takaririwa. “Wakati Ahaba alipomuona Eli<strong>ya</strong>, Ahaba akamwaambia: Ni wewe<br />

mwenye kutaabisha Israeli”? 1 Wafalme 18:17,18. Uwezo wa kufan<strong>ya</strong> miujiza utatumia<br />

mvuto wake juu <strong>ya</strong> wale wanaomtii Mungu kuliko watu. “Pepo” watatangaza <strong>ya</strong> kama Mungu<br />

amewatuma kusadikisha wanaokataa siku <strong>ya</strong> kwanza kwa kosa lao. Watalilia uovu mkubwa<br />

ulimwenguni na kusaidia ushuhuda wa waalimu wa dini <strong>ya</strong> kama hali iliopoteza cheo cha<br />

mafundisho imaletwa na ukufuru wa siku <strong>ya</strong> kwanza<br />

Chini <strong>ya</strong> utawala wa Roma, wale walioteseka kwa ajili <strong>ya</strong> habari njema walishitakiwa<br />

kama watenda maovu katika mapatano pamoja na Shetani. Ndivyo hivyo itakavyokuwa sasa.<br />

Shetani ataletea wale wanaoheshimu sheria <strong>ya</strong> Mungu kushitakiwa kuwa watu wanaoleta<br />

hukumu duniani. Kwa njia <strong>ya</strong> kutisha anajaribu kutawala zamiri, anasukuma watawala wa<br />

dini na wa dunia kukaza sheria za kibinadamu katika kuasi sheria <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Wale wanaoheshimu Sabato <strong>ya</strong> Biblia watashitakiwa kuwa adui wa sheria na ukim<strong>ya</strong>,<br />

kuvunja amri za maana za kijamii, kuleta machafuko <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> utawala na makosa, na<br />

kuita hukumu za Mungu inchini. Watashitakiwa juu <strong>ya</strong> chuki kwa serekali. Wajumbe<br />

wanaokana kanuni <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu wataonyesha kwa mimbara shuguli <strong>ya</strong> utii kwa<br />

utawala wa dunia. Katika vyumba vikubwa v<strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> sheria na baraza za hukumu,<br />

wanaoshika amri watahukumiwa. Rangi <strong>ya</strong> uwongo itatolewa kwa maneno <strong>ya</strong>o; maana mba<strong>ya</strong><br />

kuliko itawekwa kwa mashitaki <strong>ya</strong>o.<br />

Wakuu wa kanisa na serekali watajiiunga kwa kushawishi ao kushurutisha wote<br />

kuheshimu siku <strong>ya</strong> kwanza. Hata katika watawala wa Kiamerika wenye uhuru na wenye<br />

kufan<strong>ya</strong> sheria watakubali matakwa <strong>ya</strong> watu wote kwa ajili <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> kukaza kushika siku<br />

<strong>ya</strong> kwanza. Uhuru wa zamiri ambao umegaramishwa kwa kafara kubwa hauta heshimiwa<br />

tena. Katika kuja kwa karibu kwa shindano tutaona kuonyesha kwa mfano maneno <strong>ya</strong> nabii,<br />

240

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!