12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 30. Uadui wa Shetani<br />

“Na nitatia uadui katikati <strong>ya</strong>ko na mwanamuke, na katikati <strong>ya</strong> uzao wako na uzao wake;<br />

ataponda kichwa chako, na wewe utaponda kisingino chake.” Mwanzo 3:15. Uadui huu si wa<br />

tangu awali. Wakati mtu alipovunja sheria <strong>ya</strong> Mungu, hali <strong>ya</strong>ke ikawa mba<strong>ya</strong>, katika umoja<br />

na Shetani. Malaika walioanguka na watu waba<strong>ya</strong> wakajiunga katika urafiki wa kutokuwa na<br />

matumaini. Kama Mungu hakujitia kati, Shetani na mtu wangaliingia katika mapatano<br />

kumpinga Mungu wa mbinguni, na jamaa lote la binadamu lingalijiunga katika upinzanii kwa<br />

Mungu.<br />

Wakati Shetani aliposikia kwamba uadui ulipashwa kuwa kati <strong>ya</strong>ke na mwanamuke, na<br />

kati <strong>ya</strong> uzao wake na uzao wa mwanamuke, alijua kwamba kwa sababu yo yote mtu alipashwa<br />

kuwa mtu asiyeweza kupinga uwezo wake.<br />

Kristo alitia uadui ndani <strong>ya</strong> mtu kumpinga Shetani. Pasipo neema hii <strong>ya</strong> kugeuka na nguvu<br />

inayomfan<strong>ya</strong> mp<strong>ya</strong>, mtu angaliendelea kuwa mtumishi ta<strong>ya</strong>ri daima kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong><br />

Shetani. Lakini kanuni mp<strong>ya</strong> katika nafsi inaleta vita; uwezo ambao Kristo anatoa unawezesha<br />

mtu kushindana na mkorofi mkuu. Kuchukia sana zambi badala <strong>ya</strong> kuipenda kunaonyesha<br />

kanuni kabisa kutoka juu.<br />

Uadui kati <strong>ya</strong> Kristo na Shetani ulionekana wazi namna dunia ilivyompokea Yesu. Usafi<br />

na utakatifu wa Kristo uliamsha juu <strong>ya</strong>ke uchuki wa wasiomuogopa Mungu. Kujikana kwake<br />

kulikuwa laumu la duhakikisho kwa wenye kiburi na wapenda anasa <strong>ya</strong> mwili. Shetani na<br />

malaika waba<strong>ya</strong> wakaungana na watu waba<strong>ya</strong> kupinga <strong>ya</strong> Mshindi wa kweli. Uadui wa namna<br />

moja unaonyeshwa kwa wafuasi wa Kristo. Ye yote anayesimama imara kwa jaribu ataamsha<br />

hasira <strong>ya</strong> Shetani. Kristo na Shetani hawawezi kupatana. Na wote wanaotaka kuishi maisha<br />

<strong>ya</strong> utawa katika Kristo Yesu watapata mateso.” 2 Timoteo 3:12.<br />

Wajumbe wa Shetani wanatafuta kudangan<strong>ya</strong> wafuasi wa Kristo na kuwavuta kwa utii<br />

wao. Wanapotosha Maandiko kwa kutirniza kusudi lao. Roho iliyotia Kristo kwa mauti<br />

inaamsha waovu kuharibu wafuasi wake. Yote hii inaonyeshwa mbele katika ule unabii wa<br />

kwanza: “Na nitatia uadui katikati <strong>ya</strong>ko na mwanamuke, na katikati <strong>ya</strong> uzao wako na uzao<br />

wake.”<br />

Sababu gani Shetani hakutani na ushindani mkubwa? Kwa sababu askari za Kristo<br />

wanakuwa na uhusiano mdogo sana pamoja na Kristo. Zambi haiwachukizi kama<br />

ilivyomchukiza Bwana wao. Hawajitoi kwa kupigana nayo. Tabia <strong>ya</strong> mkuu wa giza<br />

imewafan<strong>ya</strong> vipofu. Wengi hawajui kwamba adui wao ni mkubwa mwenye nguvu za<br />

kupigana kumpinga Kristo. Hata wahuduma wa habari njema hawaoni ushaihidi wa kazi <strong>ya</strong>ke.<br />

Wanaonekana kutojali kuwako kwa hakika kwake.<br />

Adui Mwangalifu<br />

207

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!