12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

za Mungu kama kizuio cha uhuru na akatangaza kusudi lake la kupata kuondoshwa kwa<br />

sheria. Kwa kuwekwa huru kwa amri hii, majeshi <strong>ya</strong> mbinguni wangeweza kuingia juu <strong>ya</strong><br />

hali <strong>ya</strong> kujipandisha zaidi katika maisha.<br />

Kufukuziwa Mbali Kutoka Mbinguni<br />

Shetani na jeshi lake wakatupa laumu la uasi wao juu <strong>ya</strong> Kristo; kama hawakulaumiwa,<br />

kama hawangeasi kamwe. Wagumu na wakiburi, huku wakajitangaza kwa matukano kuwa<br />

watu wasiokuwa na kosa na kwamba waliteswa na mamlaka makali. Muasi mkubwa wa<br />

waliomfuata wakafukuzwa kutoka mbinguni. Tazama Ufunuo 12:7-9.<br />

Roho <strong>ya</strong> Shetani ingali inaendesha uasi duniani katika wana wa uasi. Kama yeye<br />

wakaahidia watu uhuru kwa kuvunja sheria <strong>ya</strong> Mungu. Hakikisho la zambi likaendelea<br />

kuamsha uchuki. Shetani anaongoza watu kujihakikisha wao wenyewe na kutafuta huruma<br />

<strong>ya</strong> wengine katika zambi zao. Badala <strong>ya</strong> kusahihisha makosa <strong>ya</strong>o, wanaamsha hasira juu <strong>ya</strong><br />

mwenye kukaripia, kama kwamba wanakuwa chanzo cha shida. Kwa kusingizia kwa namna<br />

ileile <strong>ya</strong> tabia <strong>ya</strong> Mungu kama alivyo<strong>ya</strong>tumia mbinguni, kumfan<strong>ya</strong> kuwa kama mwenye<br />

kuzaniwa kama mkali na wa kushurutisha, Shetani akashawishi mtu kwa zambi. Akatangaza<br />

kwamba vizuizi visivyo na haki v<strong>ya</strong> Mungu viliongoza kuanguka kwa mtu, kama<br />

vilivyoongoza kwa uasi wake mwenyewe.<br />

Katika kufukuziwa kwa Shetani kutoka mbinguni, Mungu alitangaza haki <strong>ya</strong>ke na<br />

heshima. Lakini wakati mtu alipotenda zambi, Mungu alitoa ushuhuda wa upendo wake kwa<br />

kutoa Mwana wake kufa kwa ajili <strong>ya</strong> taifa lililoanguka. Katika upatanisho tabia <strong>ya</strong> Mungu<br />

imefunuliwa. Mabishanomakubwa <strong>ya</strong> msalaba <strong>ya</strong>naonyesha kwamba zambi haikuwa na<br />

hekima yo yote kulipizwa juu <strong>ya</strong> utawala wa Mungu. Wakati wa huduma <strong>ya</strong> kidunia <strong>ya</strong><br />

Mwokozi, mdanganyi mkubwa akafunuliwa. Matukano <strong>ya</strong> wazi <strong>ya</strong> kutaka kwamba Kristo<br />

amupe heshima kuu, uovu usiolala uliomuwinda pahali po pote, kuongoza mioyo <strong>ya</strong><br />

makuhani na watu kukataa upendo wake na kulalamika kwa sauti, “Asulibiwe! asulibiwe!” -<br />

-yote ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>liamsha mshangao na hasira <strong>ya</strong> ulimwengu. Mfalme wa zambi akatumia uwezo<br />

wake wote na werevu kuharibu Yesu. Shetani akatumia watu kama wajumbe wake kujaza<br />

maisha <strong>ya</strong> Mwokozi kwa mateso na huzuni. Chuki na wivu na uovu, machukio na kisasi,<br />

vikaanguka kutoka Kalvari juu <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu.<br />

Sasa kosa la Shetani likaonekana wazi. Alifunua tabia <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kweli. Mashitaki <strong>ya</strong><br />

uwongo <strong>ya</strong> Shetani juu <strong>ya</strong> tabia <strong>ya</strong> Mungu <strong>ya</strong>kaonekana katika nuru <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kweli. Alimshitaki<br />

Mungu juu <strong>ya</strong> kutafuta kujiinua mwenyewe katika kuomba utii kwa viumbe v<strong>ya</strong>ke na<br />

akatangaza kwamba wakati Muumba alipolazimisha wote kujikana mwenyewe, Yeye<br />

mwenyewe hakutumia kujikana mwenyewe na hakutoa kafara yo yote. Sasa ilionekana<br />

kwamba Mtawala wa ulimwengu alitoa kafara kubwa sana ambayo upendo uliweza kufan<strong>ya</strong>,<br />

“maana, Mungu alikuwa ndani <strong>ya</strong> Kristo, akipatanisha ulimwengu naye mwenyewe.” 2<br />

Wakorinto 5:19. Kusudi aharibu zambi Kristo akajinyenyekea mwenyewe na kuwa mtiifu<br />

hata mauti.<br />

205

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!